Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bodi ya pamba yatakiwa kupeleka mbegu mbadala

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, wameomba Bodi ya Pamba kuweka utaratibu wa kusambaza mbegu mbadala ya zao la pamba, baada ya zilizosambazwa na Kampuni ya Quton kubainika hazioti katika maeneo ya wilayani hapa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mbegu za pamba zawaliza madiwani

Wakulima wa pamba katika Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu, mkoani Shinyanga wanashindwa kununua mbegu kwa ajili ya msimu ujao wa kilimo kwa madai kwamba bei imepanda kutoka Sh300 kwa kilo hadi Sh500.

 

10 years ago

Habarileo

Mwanza yasambaza mbegu za pamba kila wilaya

Pamba ikiwa shambaniUMLA ya tani 1,295.65 za mbegu za pamba zimesambazwa kwa wakulima wa pamba kwa wilaya zote za mkoa wa Mwanza ikiwa ni sawa na asilimia 65.27 ya mgawo kutoka Bodi ya Pamba (TCB).

 

10 years ago

Habarileo

Wakulima wa pamba Mara wagomea mbegu za manyoya

WAKULIMA wa pamba wa Mara wameiomba Bodi ya Pamba kuwasambazia mbegu zisizo na manyoya kwa sababu ndizo zinazoota kwa urahisi na kwa wakati muafaka katika maeneo yao.

 

5 years ago

Michuzi

TARI UKIRIGURU YAGUNDUA AINA 10 ZA MBEGU BORA ZA PAMBA


Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa tai) akipata maelezo ya aina za mbegu bora ya pamba zilizogunduliwa na Kituo cha TARI Ukiriguru mkoa wa Mwanza leo.
Katibu Mkuu Wizara Kilimo Bw.Gerald Kusaya (katikati) akiongea na watumishi wa Chuo cha Mafunzo ya Kilimo MATI Ukiriguru alipofanya ziara ya kukagua utendaji kazi wa chuo hicho leo wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza.


Watumishi wa chuo cha Kilimo MATI Ukiriguru wilaya ya Misungwi wakimsikiliza Katibu Mkuu ( hayupo pichani)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yatakiwa kupeleka maboza ya maji Kondoa

MBUNGE wa Viti Maalum, Moza Abeid (CUF), ameitaka serikali kufanya haraka kuwapelekea maboza ya maji wananchi wa Mji Mdogo wa Kondoa wakati wakishughulikia mashine za kusukuma maji katika mji huo....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Bodi ya ugavi yatakiwa kusimamia wanataaluma

BODI ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB), imetakiwa kusimamia mienendo ya wanataaluma ili kuhakikisha kunakuwa na heshima na maadili ya fani na kazi. Rai hiyo imetolewa jijini Dar es...

 

5 years ago

Michuzi

MKANDARASI AAGIZWA KUPELEKA TAARIFA YA UTEKELEZAJI MRADI KWA BODI YA REA

Mjumbe wa mradi wa Wakala wa Nishati  vijijini REA HenryMwatwinza Akiongea na mkandarasi    anayetekeleza mradi wa Wakala wa Nishati  vijijini REA mkoa wa Arusha kutoka kampuni ya NIPO group  wakati walipofanya ziara ya kutembelea na kukagua kazi mkandarasi huyo alizozifanya juzi, ambapo  alimtaka kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa  mradi huo kwa kipindi cha miezi mitatu alichoomba kuongezewa.(picha Woinde Shizza)



Na Woinde Shizza,ARUSHA

MKANDARASI anayetekeleza mradi wa Wakala wa...

 

5 years ago

Michuzi

Bodi ya Chama kikuu cha Ushirika Rukwa yatakiwa kurudisha heshimuakwa Wakulima

Katibu Tawala wa mkoa wa Rukwa Benard Makali amewataka wajumbe wa Bodi ya Mpito ya Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Rukwa Ufipa Co-operative Union (UCU) kuhakikisha wanazingatia matakwa yote ya kisheria na miongozo ya usimamizi wa Chama hicho kwa weledi wa hali ua juu ili kurudisha heshimu ya Ushirika kwa wakulima na wananchi wa mkoa wa Rukwa.
Amesema kuwa utendaji kazi bora wa bodi hiyo utainua kipato cha wakulima ndani ya mkoa, na hatimae kuinua pato la taifa katika kukuza zao la mahindi na...

 

5 years ago

Michuzi

BODI YA MIKOPO YATAKIWA KUWA TAYARI KUTOA MIKOPO KWA WANAFUNZI PINDI VYUO VITAKAPOFUNGULIWA

 Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako akizungumza na Menejimenti ya Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya Juu (hawapo pichani)wakati alipofanya ziara Leo Jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu Abdul-Razaq Badru akizungumza wakati  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako alipofanya ziara katika ofisi zao  zilizopo eneo la Tazara jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani