Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima wa pamba Mara wagomea mbegu za manyoya

WAKULIMA wa pamba wa Mara wameiomba Bodi ya Pamba kuwasambazia mbegu zisizo na manyoya kwa sababu ndizo zinazoota kwa urahisi na kwa wakati muafaka katika maeneo yao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mbegu za pamba zawaliza madiwani

Wakulima wa pamba katika Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu, mkoani Shinyanga wanashindwa kununua mbegu kwa ajili ya msimu ujao wa kilimo kwa madai kwamba bei imepanda kutoka Sh300 kwa kilo hadi Sh500.

 

10 years ago

Habarileo

Mwanza yasambaza mbegu za pamba kila wilaya

Pamba ikiwa shambaniUMLA ya tani 1,295.65 za mbegu za pamba zimesambazwa kwa wakulima wa pamba kwa wilaya zote za mkoa wa Mwanza ikiwa ni sawa na asilimia 65.27 ya mgawo kutoka Bodi ya Pamba (TCB).

 

11 years ago

Mwananchi

Bodi ya pamba yatakiwa kupeleka mbegu mbadala

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, wameomba Bodi ya Pamba kuweka utaratibu wa kusambaza mbegu mbadala ya zao la pamba, baada ya zilizosambazwa na Kampuni ya Quton kubainika hazioti katika maeneo ya wilayani hapa.

 

5 years ago

Michuzi

TARI UKIRIGURU YAGUNDUA AINA 10 ZA MBEGU BORA ZA PAMBA


Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa tai) akipata maelezo ya aina za mbegu bora ya pamba zilizogunduliwa na Kituo cha TARI Ukiriguru mkoa wa Mwanza leo.
Katibu Mkuu Wizara Kilimo Bw.Gerald Kusaya (katikati) akiongea na watumishi wa Chuo cha Mafunzo ya Kilimo MATI Ukiriguru alipofanya ziara ya kukagua utendaji kazi wa chuo hicho leo wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza.


Watumishi wa chuo cha Kilimo MATI Ukiriguru wilaya ya Misungwi wakimsikiliza Katibu Mkuu ( hayupo pichani)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pamba iwakomboe wakulima

PAMBA ni miongoni mwa mazao  ya biashara nchini ambayo yamekuwa chimbuko la maendeleo yetu hata tukawa na viwanda. Pamoja na pamba yapo mazao ya korosho, kahawa,mkonge,alizeti na ufuta ambapo mengine...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Watakaowakopesha wakulima kuuziwa pamba’

Wadau wa Bodi ya Pamba mkoani Geita wamekubaliana kuwa kampuni zilizokopesha pembejeo kwa wakulima ndizo zitakazopewa leseni ya kununua pamba kwa kuzingatia ushiriki wa kampuni hizo katika kilimo cha mkataba.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakulima wa pamba walilia pembejeo

>Wakulima wa zao la pamba mkoani Mara, wamelalamikia ukosefu wa pembejeo, hususani dawa ya kunyunyuzi zao hilo pamoja na kilimo cha mkataba kwa madai sasa hakiwanufaishi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima wa pamba wazidi kukandamizwa

Wakulima wa pamba Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wameilalamikia Bodi ya Pamba kushindwa kuwasimamia na kuwatetea kwa kile walichodai kupandishwa bei ya mbegu ya zao hilo kutoka Sh 300 hadi 500.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanunuzi wa pamba, wakulima kuingia mkataba

Kikundi cha wanunuzi na wachambuzi wa pamba (Kiwapa) wilayani Kwimba mkoani Mwanza kimeanzisha kilimo cha pamba kwa mkataba ili kuongeza tija kwa wakulima.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani