kutoka maktaba: Kikosi cha pamba FC "TP LINDANDA" ya mwanza
![](http://1.bp.blogspot.com/-G-YO7jzB8SM/U4s_Msl9N6I/AAAAAAAFm_8/GOdoHhx3B9Q/s72-c/tp1.jpg)
Kikosi cha kazi cha Pamba FC a.k.a "TP Lindanda" ya Mwanza iliyokuwa moto wa kuotea mbali enzi zake. Mdau mwenye kukumbuka majina yao msaada tutani tafadhali
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Sep
Enyema ajiondoa kutoka kikosi cha Nigeria
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_pvAR8FtCOs/Vb5g1aA577I/AAAAAAAHtZE/0iV4bZiUNqs/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
KUTOKA MAKTABA: DKT.JOHN J.P MAGUFULI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM 1985/1986
![](http://1.bp.blogspot.com/-_pvAR8FtCOs/Vb5g1aA577I/AAAAAAAHtZE/0iV4bZiUNqs/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N1X5vtXQq9o/VekZ7ok0jEI/AAAAAAAH2Pg/wyP0EDlINcU/s72-c/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
Kutoka Maktaba: Dkt John Pombe Magufuli akiwa masomoni Chuo Kikuu cha Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-N1X5vtXQq9o/VekZ7ok0jEI/AAAAAAAH2Pg/wyP0EDlINcU/s640/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gfzuAqMyrXM/VUxLep4xMrI/AAAAAAABNqk/6h38CBibuYE/s72-c/0.1UAP5.jpg)
KIWANDA CHA PAMBA AMBACHO PAMBA YAKE ILITEKETEA KWA MOTO MKOANI SHINYANGA CHAPATA BIMA YAKE TOKA UAP
![](http://1.bp.blogspot.com/-gfzuAqMyrXM/VUxLep4xMrI/AAAAAAABNqk/6h38CBibuYE/s640/0.1UAP5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--6W2I83BmfI/VUxLgrxAv4I/AAAAAAABNqs/d1k3pQncsqY/s640/0.1UAP3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6aWqsbW3A8U/default.jpg)
Kutoka Maktaba: Magufuli - (2005) tutasafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami
Waziri Magufuli alisema kuwa nia ya msemo huo ni kuonesha kwamba wananchi wataweza kusafiri toka Mtwara hadi Bukoba kwa lami...
10 years ago
Habarileo19 Dec
Mwanza yasambaza mbegu za pamba kila wilaya
UMLA ya tani 1,295.65 za mbegu za pamba zimesambazwa kwa wakulima wa pamba kwa wilaya zote za mkoa wa Mwanza ikiwa ni sawa na asilimia 65.27 ya mgawo kutoka Bodi ya Pamba (TCB).
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
RC Mwanza azindua msimu wa ununuzi wa pamba 2014/15
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Eng. Everisti Ndikilo.
Na Mwandishi Wetu
MKUU wa mkoa wa Mwanza, Eng. Everisti Ndikilo, hivi karibuni amezindua rasmi msimu wa ununuzi wa pamba wa 2014/15 katika kijiji cha Isole Wilayani Sengerema.
Wadau wa msingi wa zao la pamba ambao ni pamoja na wanunuzi wa Pamba kupitia Chama cha Wafanyabiashara wa Pamba Tanzania (TCA), Wakulima kupitia Chama cha Wakulima wa Pamba Tanzania (TACOGA) Serikali kupitia Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika na Bodi ya Pamba pamoja na...
9 years ago
StarTV19 Aug
Vurugu za tawala kanisa la Baba God Pamba Mwanza
Mtaa wa Pamba jijini Mwanza umekumbwa na hali ya vurugu baada ya waumini wa kanisa la Trustees of Throne of Glory Ministries kuhamishwa kwa nguvu kutoka katika jengo walilokuwa wakilitumia kwa shughuli za ibada.
Waumini wa kanisa hilo linalojulikana kama kanisa La Baba God wamehamishwa kutokana na kuisha kwa mkataba baina yao na mmiliki wa jengo hilo.
Kumalizika kwa mkataba wa kutumia jengo hilo kwa shughuli za ibada kunawalazimu waumini wa kanisa la Trustees of throne of Glory ministries...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XqAdMr4VwhI/Ve8q48iyH3I/AAAAAAAA5VM/_QNXhDu0uxw/s72-c/TBL%2B6.jpg)
UMEME WA PUMBA ZA MCHELE, MASHUDU YA PAMBA WATUMIKA KUENDESHEA MITAMBO YA TBL MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XqAdMr4VwhI/Ve8q48iyH3I/AAAAAAAA5VM/_QNXhDu0uxw/s640/TBL%2B6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CfPAkjJIMhA/Ve8q4wGJfuI/AAAAAAAA5VA/dhoFTTxarV4/s640/TBL%2B8.jpg)