Enyema ajiondoa kutoka kikosi cha Nigeria
Kipa wa Nigeria Vincent Enyema ajiondoa kutoka kikosi cha Nigeria kitakachocheza na Tanzania Jumamosi kufuatia kifo cha mamake
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog07 May
Kikosi cha Marekani kusaidia Nigeria
Marekani imetangaza kwamba imetuma kikosi cha wataalamu nchini Nigeria kusaidia kuwatafuta wasichana takriban 200 wa shule waliotekwa nyara mwezi uliopita na wapiganaji wa kundi la Boko Haram.
Rais Barack Obama ameshutumu utekaji nyara wa wasichana hao na kusema kuwa mataifa yanapaswa kufanya kazi kwa pamoja ili kulikomesha Boko Haram.
Picha :Rais Barack Obama wa Marekani aliyeamuru msaada wa kijeshi na vifaa kuwatafuta wasichana Nigeria.
“Tayari tumetuma kundi letu Nigeria. Wamekubali...
11 years ago
Michuzi
kutoka maktaba: Kikosi cha pamba FC "TP LINDANDA" ya mwanza

10 years ago
Vijimambo31 Mar
Ujumbe kutoka Chuo cha Kijeshi cha Nigeria watembelea Wizara ya Mambo ya Nje
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
10 years ago
Michuzi
Kikosi cha muziki mnene cha EFM 93.7 chatoka sare na mlandizi veteran



5 years ago
Bongo514 Feb
Hiki ndio kikosi cha PFA cha wachezaji 11 bora Uingereza msimu huu
Chama cha wachezaji soka wakulipwa Uingereza (PFA) kimetaja kikosi chake bora cha ligi hiyo kwa msimu huu unaoelekea ukingoni.
Timu ya Chelsea na Tottenham Hotspurs ndizo zimeongoza kutoa wachezaji wengi katika kikosi hicho ambapo kila timu imetoa wachezaji wanne. Wachezaji wa Chelsea walioingia katika kikosi hicho ni pamoja na Gary Cahil, David Luiz, N’golo Kante na Eden Hazard.
Nao waliochaguliwa kutoka Spurs ni Kyle Walker, Danny Rose, Dele Alli na Harry Kane. Wachezaji wengine...
11 years ago
Michuzi
NEWZZZ ALERT:KIKOSI CHA UOKOAJI TANAPA CHAMNASUA MTALII ALIYENASA KILELE CHA MAWENZI

MTALII ALIYEKWAMA KILELE CHA MAWENZI MLIMA KILIMANJARO AOKOLEWA.
Kikosi cha Uokoaji katika Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro kimefanikiwa kumuokoa mtalii Bi. Jeanne Traska (32) kutoka Ujerumani pamoja na muongoza wageni Athuman Juma ambao jana walikwama katika kilele cha Mawenzi Mlimani Kilimanjaro. Kikosi cha Uokoaji cha TANAPA kiliweza kufika eneo la kilele cha Mawenzi na kwa kutumia mbinu za uokoaji za kisasa kabisa kiliweza kuwanasua...