Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazazi wa ‘Panya road’ wakamatwa

Jeshi la Polisi jijini hapa limewakamata wazazi wa vijana wanaounda kundi la uhalifu maarufu kama ‘Panya Road’ ili wasaidie kuwafichua watoto wao ambao wanahusika na uhalifu huo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

155 wakamatwa wakihusishwa Panya Road

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imewakamata watu 155 kwa tuhuma za kujihusisha na kundi la uhalifu la Panya Road. Kundi hilo wiki iliyopita lilivamia maeneo mbalimbali ya Dar...

 

10 years ago

Vijimambo

Watuhumiwa 510 mtandao wa panya road wakamatwa Dar

Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamanda Suleiman Kova
Vijana 510 wanaodaiwa kujihusisha na vitenda vya kihalifu chini ya kundi maarufu la ‘panya road’ wamekamatwa na jeshi la Polisi Kanda Maalum jijini Dar es Salaam kwa mahojiano.Watuhumiwa hao wamekatwa katika mikoa ya kipolisi ya Kinondoni, Temeke na Ilala ambapo jeshi la polisi limefanya msako mkali kuweza kuwabaini lengo likiwa ni kuimarisha ulinzi nchini.Kamishna wa Polisi Suleiman Kova ametoa wito kwa wazazi wa watoto...

 

10 years ago

CloudsFM

Panya Road 36 mbaroni

JESHI la Polisi nchini linawashikilia vijana 36 wanaotuhumiwa kujihusisha na kikundi cha uhalifu jijini Dar es Salaam, maarufu kama ‘panya road’, ambacho kilizua taharuki kubwa juzi.
Vijana wa kikundi hicho wenye umri wa kati ya miaka 16 mpaka 30, walizua vurugu katika maeneo mbalimbali ya jiji na kusababisha baadhi ya shughuli kusitishwa kwa muda.

Wananchi walikuwa na hofu ya kuvamiwa na wahalifu wa kikundi hicho, waliokuwa wanapiga watu, kupora na kuharibu magari.

Akizungumza na waandishi...

 

10 years ago

Mtanzania

Panya Road 500 mbaroni

Pg 1 kova

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limewatia mbaroni vijana 500, maarufu Panya Road ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha na uporaji.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleimani Kova, alisema vijana hao walikamatwa katika operesheni maalumu iliyofanyika katika mikoa mitatu ya kipolisi ya Ilala ambako walikamatwa vijana 104, Temeke (168) na Kinondoni (202).
Alisema operesheni hiyo ilitokana...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

500 Arrested Over 'Panya Road'


IPPmedia
500 Arrested Over 'Panya Road'
AllAfrica.com
POLICE in Dar es Salaam have arrested 510 youth, suspected of being members of a criminal group known as 'panya road,' who are alleged to have invaded and attacked people in the city on Friday evening. Special Zone Police Commander Suleiman Kova ...
510 'panya road' netted in Dar es SalaamIPPmedia
Tanzanian police arrest 36 in connection with gang violenceSabahi Online

all 18

 

10 years ago

TheCitizen

‘Panya Road’: Possible economic causes and solutions

On the 2nd of January 2015 a group of youth popularly known as ‘Panya Road’ caused havoc in several streets of Dar es Salaam. It is said that ‘Panya Road’ is a criminal gang that involves itself in armed and other kinds of robbery. Its actions are violent and involve attacking people on the streets as well as robbery in business premises.

 

10 years ago

Habarileo

Panya Road 510 mbaroni

Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman KovaJESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu 510 wakiwemo viongozi watatu wa kundi linalojihusisha na uhalifu la ‘Panya Road’ .

 

10 years ago

Mtanzania

Panya Road waivuruga Dar

Kamishna Suleiman Kova

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova

Na Waandishi Wetu
GENGE la vijana wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu jijini Dar es Salaam linalofahamika zaidi kwa jina la Panya Road, jana usiku lilivamia maeneo mbalimbali ya jiji na kufanya vitendo vya uhalifu.
Taarifa za kufanyika kwa vitendo hivyo vya uhalifu zilifika katika chumba cha habari cha gazeti la MTANZANIA Jumamosi saa 2.00 usiku na dakika chache baadaye zilisambaa katika mitandao ya kijamii huku zikiwa...

 

11 years ago

Daily News

149 'Panya Road' gangsters held


Daily News
149 'Panya Road' gangsters held
Daily News
POLICE in Dar es Salaam have arrested 149 youths who are suspected to be involved in the gang commonly known as 'Panya Road.' The arrests follow a special operation conducted in separate areas in the city from Saturday until early Monday morning.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani