Wazee Geita walia na wajumbe bunge maalum
BAADHI ya wazee Wilaya ya Geita mkoani hapa wamewalalamikia wajumbe waliopitisha rasimu ya Katiba iliyopitishwa hivi karibuni kwa kutoa mambo muhimu ya wananchi na kuweka yao wenyewe na kwa maslahi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
Michuzi20 Feb
taswira mbalimbali za WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jyUmlW2B5UM/UwYVaXuz21I/AAAAAAACprg/y0XD14-INGE/s1600/mtanda.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-15UcnFNNLik/UwYVcoRJp-I/AAAAAAACprw/eOOpdzCRJHA/s1600/WMK.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-FJdD5nbXlWw/UwYVS8qkz6I/AAAAAAACprY/5a9HX2w8teI/s1600/2B.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gb_hmItxCFM/U_yjdqFoofI/AAAAAAAGCiU/p2LUak-hf6c/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Ofisi ya Bunge yatoa ufafanuzi kuhusu malipo ya posho za Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba
Ufafanuzi huo umetolewa leo na Mkurugenzi wa Habari na Itifaki Bw. Jossey Mwakasiyuka wakati alopokutana na waandishi wa habari kwa lengo la kutolea ufafanuzi kuhusiana na taarifa hizo zilizoikera ofisi hiyo ya Bunge Maalum.
Mwakasyuka amevieleza vyombo vya habari kuwa, ofisi ya Bunge Maalum imekerwa na...
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo
Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.
Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...
11 years ago
Habarileo17 Apr
Wajumbe Bunge Maalum watukana, waonywa
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameonywa kuacha lugha za matusi, kejeli na dharau kwa waasisi wa Muungano, hayati Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Amaan Karume na pia kati yao wenyewe kwani kufanya hivyo ni kulidhalilisha Taifa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcLmiyXMxfKpAPcF5poTBl8sS8P1018L8mQ0ZTMclMl3rxPrgB0v6jcB2wbpUusb9ttbnL0NTfVjmWwK5o63RDJS/wajumbe.jpg?width=650)
UTEUZI WA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
11 years ago
Michuzi21 Mar
Taarifa kwa Wajumbe wa Bunge Maalum
Imetolewa na Ofisi ya Katibu wa Bunge Maalum DODOMA
21/03/2014