Waziri asisitiza utunzaji vyanzo vya maji nchini
SERIKALI imesisitiza umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji kwa faida ya ustawi wa wananchi na maendeleo ya uchumi wa taifa kwa ujumla. Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni mjini hapa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EO3IjRcm2R0/UySbduC5YoI/AAAAAAAFTwI/mtygWZRdf4I/s72-c/unnamed.jpg)
MKUU WA MKOA WA DODOMA AONGOZA MATEMBEZI KWAAJILI YAKUAMASISHA UTUNZAJI WA VYANZO VYA MAJI MKOANI DODOMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-EO3IjRcm2R0/UySbduC5YoI/AAAAAAAFTwI/mtygWZRdf4I/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LZPTBn_x9aw/VQwgkD0F1lI/AAAAAAAHLpI/pE3Ise93H2s/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Waziri Prof. Mghembe awaonya wanaoharibu vyanzo vya maji
![](http://2.bp.blogspot.com/-LZPTBn_x9aw/VQwgkD0F1lI/AAAAAAAHLpI/pE3Ise93H2s/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
Na Hussein Makame-MAELEZO, Musoma
WAZIRI wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amewaonya wananchi wanaoharibu vyanzo vya maji kwamba kufanya hivyo kunahatarisha uhai wa vyanzo hivyo.
Ametoa onyo hilo kwa nyakati tofauti wakati akiwa kwenye shughuli za kuweka mawe ya msingi kwenye miradi ya maji kwenye maeneo mbalimbali ya wilaya ya Serengeti mkoani Mara...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OPdGKi-4QLs/VVlvADOIeqI/AAAAAAAAPlw/kV_Xcyl-zTU/s72-c/DSCF5244%2B(800x600).jpg)
DC MAKUNGA ATEMBELEA VYANZO VYA MAJI VYA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OPdGKi-4QLs/VVlvADOIeqI/AAAAAAAAPlw/kV_Xcyl-zTU/s640/DSCF5244%2B(800x600).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s4wTb8103k8/VVlus-ncxNI/AAAAAAAAPk0/pP4kPZqI3ys/s640/DSCF5197%2B(800x600).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GJ2i5UWB5Ug/VVlvIgBLNYI/AAAAAAAAPmI/t_NqPHCjtXU/s640/DSCF5247%2B(800x600).jpg)
9 years ago
StarTV23 Nov
Uharibifu Vyanzo Vya Maji Mto Zigi vya waweza kusababisha tatizo la maji Tanga
Mamlaka ya majisafi na majitaka Tanga UWASA imesema uharibifu wa mazingira katika vyanzo vya maji vya mto Zigi unaweza kusababisha jiji hilo kuingia kwenye tatizo la maji.
Tayari Mamlaka hiyo imeanzisha Umoja wa Wakulima hifadhi Mazingira Kihuwhi Zigi, UWAMAKIZI kama harakati ya kukabiliana na uchimbaji wa madini, kilimo na ukataji wa miti kwa ajili ya mbao.
Jiji la Tanga hutegemea maji ya mto zigi kama chanzo pekee cha maji na shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya mto huo huenda...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0ku_BmEH1gE/VfpARhEXKUI/AAAAAAABVRg/CA5s4iTlR9A/s72-c/RC%2BDOM%2B%25284%2529.jpg)
CHAMA CHA WASAMBAZA MAJI NCHI (AWAC) CHAWAKUTANISHA WADAU MBALIMBALI WA MAJI ILI KUJADILI NAMNA YA KULINDA NA KUVITUNZA VYANZO VYA MAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-0ku_BmEH1gE/VfpARhEXKUI/AAAAAAABVRg/CA5s4iTlR9A/s640/RC%2BDOM%2B%25284%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nYaTmOUEGwQ/VfpAQkKxCkI/AAAAAAABVRM/fjDpVwB1e74/s640/RC%2BDOM%2B%25282%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi16 Jul
WAZIRI LAZARO NYALANDU ASHIRIKI HAFLA YA KUCHANGIA USTAWI WA MISITU KAMA VYANZO MUHIMU VYA MAJI BARANI AFRIKA JIJINI PENNSYLVANIA MAREKAN
![1](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/9Q2MJksCTJHWgjZVyV3nW7iqqXUD5lRIVNKCO6ZwiQTUWQ2a4o9yaI1wbLGR0kwmRnZDyVDJVt3aErSJg_qrfoehibOpGI7ZJw8B5bgmJGpp_3fKbPwv=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/125.jpg)
![2](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/CyaMr1wjCrxDkwHghtdXqW4iVNcRAfNm974JePmK0fAFUNarIE81F1SDWM7yIg6NiQDudF1tYOpI6cTdsWdQ_ex9UGXqCpd5ij0E_2JTO54TsFyQb5_-=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/218.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Mradi wa maji wa sh Milioni 343 wazinduliwa kijiji cha Mabogini, RC Makalla ataka vyanzo vya maji vitunzwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-sq8hYuBdAsQ/VnqQ4oM226I/AAAAAAAAJWU/RsmzTklLDGg/s640/1.jpg)
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla mwenye miwani akizindua huduma ya maji katika kijiji cha Mabogini, mkoani Kilimanjaro wenye thamani ya Sh Milioni 343.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
ZAIDI ya wananchi 3000 wa kijiji cha Mabogini, kitongoji cha Shabaha, mkoani Kilimanjaro, watanufaika na huduma ya maji safi na salama, baada ya kupelekewa mradi wenye thamani ya Sh Milioni 343. Mradi huo uliozinduliwa jana na Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, umesimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vxL-mmXSecQ/U3ePcVsw5BI/AAAAAAAAFbk/fFDG09JNY-c/s72-c/IMG_1393.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA AKAGUA UJENZI WA MIRADI YA MAJI KATIKA MANISPAA YA SUMBAWANGA, APIGA MARUFUKU UHARIBIFU WA VYANZO VYA MAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-vxL-mmXSecQ/U3ePcVsw5BI/AAAAAAAAFbk/fFDG09JNY-c/s1600/IMG_1393.jpg)