WAZIRI AWAOMBA RADHI WANAFUNZI KENYA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/24/141224135945_nkaiseri_512x288_bbc.jpg?width=650)
Waziri wa Usalama nchini Kenya, Joseph Nkaissery. Waziri wa Usalama nchini Kenya Joseph Nkaissery amewaomba radhi wanafunzi wa shule ya msingi waliofyatuliwa gesi ya kutoa machozi wakati walipokuwa wakiandamana kupinga unyakuzi wa kipande cha ardhi ambacho kilikuwa uwanja wao wa kuchezea. Wanafunzi waliofyatuliwa gesi ya kutoa machozi kwa kuandamana kupinga unyakuzi wa uwanja… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Waziri awaomba radhi wanafunzi Kenya
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Gavana awaomba radhi wanawake Kenya
10 years ago
Vijimambo23 Sep
Maximo awaomba radhi Yanga
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Maximo--September22-2014(1).jpg)
Kikianza na wachezaji wanne wa kimataifa, Wanyaruanda Haruna Nyinzoma na Mbuyu Twite, Mganda Hamis Kizza na Mbrazil Genilson Santos Santana ‘Jaja’, Kikosi cha Yanga kilijikuta kikikubali kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya timu isiyo na mchezaji hata mmoja wa kimataifa, Mtibwa...
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Ndugai awaomba radhi wabunge
NAIBU Spika wa Bunge Job Ndugai amewaomba radhi wabunge kwa madai kuwa pipi walizopewa katika ukumbi wa Bunge zilikuwa siyo safi. Kauli hiyo aliitoa jana wakati akitoa matangazo ndani ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Mainda.jpg?width=650)
MAINDA AWAOMBA RADHI MASHABIKI
11 years ago
Dewji Blog15 Apr
Kinana awaomba radhi wananchi wa Karema
-Awaomba radhi wananchi wa Karema kwa kuchelewa kukamilika kwa mradi wa bandari ambao umesimama kabisa baada ya mkandarasi aliyepewa mradi huo kushindwa kuumaliza .
-Asikitishwa na watumishi wengi wa serikali kuendeleza tabia ya umangi meza kwani miradi mingine inasimama kwa kipindi kirefu kwa sababu kuna kiongozi wa serikali amechelewa kujibu barua itakayofanikisha mradi kuendelea na kumalizika kwa wakati.
-Asisitiza Viongozi na wana CCM kuwa wakali katika kusimamia utekelezaji wa ilani ya...
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Mtulia wa CUF awaomba radhi wana kinondoni
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi64x3SpSVlVuo37hyc6YXnm3rMWilg6ajsBwVyP2FAvZc7lu-k0PsZgx8-2cSrTO7APF2PL--ycfCbbSMcQCfuOh/drdremaybehisrapnamebuthisrealnameisandreromelleyoung.jpg?width=650)
DR DRE AWAOMBA RADHI WOTE ALIOWAPA VICHAPO
10 years ago
StarTV08 May
Katibu Mkuu TFF awaomba radhi wanahabari.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, Mwesigwa Selestine ameomba radhi kwa vyombo kufuatia madai ya waandishi wa habari kupata usumbufu wakati wa utoaji wa zawadi kwa Mabingwa na washindi wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom.
Mwesigwa alisema kwa niaba ya TFF anaomba radhi kwa usumbufu wowote uliowapata waandishi na wadau wote walioshindwa kushuhudia vema tukio hilo.
“TFF na FIFA vinatambua umuhimu na nafasi ya wanahabri na vyombo vya habari si tu katika kuutangaza mchezo,...