WAZIRI DKT TITUS KAMANI ATEKETEZA ZANA HARAMU ZA UVUVI KATIKA ZIARA YAKE MKOANI RUKWA
![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUnCP0J-AvgWDGws2XHPaRJs1W93U2yrkiJwjWDL-**tR5J9ezmd*Rkryfxq3kOTCQgOIUxvI3v-XfSaXs22BOI4/AJALI11.jpg?width=650)
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dkt. Titus Mlengeya Kamani (wa kwanza kushoto) akiongoza zoezi la kuteketeza zana haramu za uvuvi huko Kasanga, Wilaya ya Kalombo mkoani Rukwa juzi wakati wa ziara yake. Zana haramu za uvuvi zikiteketea.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDkt. Kamani aendelea na ziara yake Mkoani Rukwa
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Kamani (Mb) (mwenye miwani), akiwa katika zoezi la kuteketeza nyavu haramu alipotembelea mwalo wa Kasanga katika Mkoa wa Rukwa.
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Kamani (Mb) (mwenye miwani), akwasaidia wavuvi kukarabari mtumbwi wao tayari kwa kazi ya uvuvi alipotembelea mwalo wa Kasanga mkoani Rukwa.
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Kamani (Mb) mwenye miwani, alipomtembelea mfugaji...
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. DKT. TITUS MLENGEYA KAMANI (Mb) AZINDUA MRADI WA UFUGAJI WA SAMAKI NDANI YA ZIWA VICTORIA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-A_wQLT3sgbs/VZt827ahdVI/AAAAAAAHnao/CFJuLE3jshM/s72-c/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
ZIARA YA MHE.DKT. TITUS KAMANI (MB) KATIKA WILAYA ZA KITETO NA KILINDI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aKMXL9OoOWw/Xpd1m8UDrII/AAAAAAALnG0/OiND5bQ1qJ0YTWMZ-k1pHokxizotxTuqACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_8435AAA-768x725.jpg)
ALIYEKAMATWA NA ZANA UVUVI HARAMU MWANZA ACHUKULIWE HATUA KALI - WAZIRI MKUU
“Yuko mfanyabiashara anaitwa Jeremiah Asam Omolo ambaye amekamatwa mara kadhaa kwa kukutwa na nyavu haramu. Wizara ilitoa specifications (aina ya nyavu) zinazoruhusiwa kutumika na KUU ya Mkoa ikasimamia lakini kuna maafisa wa Wizara waliingilia zoezi hilo mara tatu na akatozwa faini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dLwPaiQCdFk/XpcQ28x9r8I/AAAAAAALnEI/H4twfYpVdbIw76x_5yQCN2ExsEEZOMBxQCLcBGAsYHQ/s72-c/waziri%2Bmkuuu.jpg)
ALIYEKAMATWA NA ZANA UVUVI HARAMU MWANZA ACHUKULIWE HATUA KALI-WAZIRI MKUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-dLwPaiQCdFk/XpcQ28x9r8I/AAAAAAALnEI/H4twfYpVdbIw76x_5yQCN2ExsEEZOMBxQCLcBGAsYHQ/s640/waziri%2Bmkuuu.jpg)
“Yuko mfanyabiashara anaitwa Jeremiah Asam Omolo amekamatwa mara kadhaa kwa kukutwa na nyavu haramu. Wizara ilitoa specifications (aina ya nyavu) zinazoruhusiwa kutumika na KUU ya Mkoa ikasimamia lakini kuna maafisa wa Wizara waliingilia zoezi hilo mara tatu na akatozwa faini mara...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WRFpIS6kamo/VLYPdaDy7YI/AAAAAAAG9PI/BQ2tN2YPrwo/s72-c/Untitled1.png)
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi afanya ziara katika Wilaya ya Momba na Mkoa wa Rukwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-WRFpIS6kamo/VLYPdaDy7YI/AAAAAAAG9PI/BQ2tN2YPrwo/s1600/Untitled1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-clbeuTZwjIY/VLYPdcRyaeI/AAAAAAAG9PA/ht8-rdmhku8/s1600/Untitled2.png)
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU MAJALIWA AAGIZA ALIYEKAMATWA NA ZANA ZA UVUVI HARAMU MWANZA AKIONE CHA MTEMAKUNI
/
DODOMA, TanzaniaWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa (KUU) wa Mwanza imchukulie hatua za kisheria mfanyabiashara aliyekamatwa kwa makosa ya kujihusisha na biashara ya zana haramu za uvuvi.
“Yuko mfanyabiashara anaitwa Jeremiah Asam Omolo ambaye...
11 years ago
Habarileo04 May
Zana haramu za uvuvi zateketezwa
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Rachel Kassanda ameshiriki katika hafla ya kuteketeza zana haramu za uvuvi zenye thamani ya Sh milioni 68.6. Shughuli hiyo ilifanyika wilayani Muleba mkoani Kagera.