ZIARA YA MHE.DKT. TITUS KAMANI (MB) KATIKA WILAYA ZA KITETO NA KILINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-A_wQLT3sgbs/VZt827ahdVI/AAAAAAAHnao/CFJuLE3jshM/s72-c/unnamed%2B%252855%2529.jpg)
Mhe. Dkt. Titus Kamani (Mb) amefanya ziara katika Wilaya za Kiteto na Kilindi kukagua ujenzi wa malambo kwa ajili ya maji ya mifugo na binadamu. Malambo hayo yamegharamiwa na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi katika bajeti ya mwaka 2014/15. Lambo la Olpopong lililopo Wilaya ya Kiteto limegharimu Tshs.584 milioni. Aidha lambo la Kwamaliga lililopo Wilaya ya Kilindi litagharimu Tshs.1.25 bilioni. Mifugo zaidi ya 60,000 kutoka katika Vijiji vya Kimana, Ngabolona Ndaleta inatarajiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUnCP0J-AvgWDGws2XHPaRJs1W93U2yrkiJwjWDL-**tR5J9ezmd*Rkryfxq3kOTCQgOIUxvI3v-XfSaXs22BOI4/AJALI11.jpg?width=650)
WAZIRI DKT TITUS KAMANI ATEKETEZA ZANA HARAMU ZA UVUVI KATIKA ZIARA YAKE MKOANI RUKWA
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. DKT. TITUS MLENGEYA KAMANI (Mb) AZINDUA MRADI WA UFUGAJI WA SAMAKI NDANI YA ZIWA VICTORIA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-spLjDbC7NSg/VCK7kqhTyxI/AAAAAAAARLc/aWzl_mkM-9s/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KINANA KATIKA WILAYA YA KILINDI MKOANI TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-spLjDbC7NSg/VCK7kqhTyxI/AAAAAAAARLc/aWzl_mkM-9s/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IV2qKhhqwIw/VCK-CoidquI/AAAAAAAARMI/grZlN1AbzL0/s1600/2.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwaslimia wakazi wa Kwediboma wilaya ya Kilindi mkoani Tanga.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zS5-sCE-plI/VCK-j8wqSlI/AAAAAAAARMY/R6_tVjsOBXY/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eJSFURIiPa8/VCK-0Zfy4yI/AAAAAAAARMg/i8BQ7WP6A4M/s1600/4.jpg)
Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kutandaza mawe kwenye msingi wa kituo cha afya Kwediboma.
![](http://1.bp.blogspot.com/-qedmuAHCSFQ/VCK_m-P_AmI/AAAAAAAARMw/FfhDcoln_tM/s1600/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman...
10 years ago
MichuziDKT. TITUS KAMANI ATEMBELEA MAONESHO YA KIMATAIFA YA KILIMO NCHINI UFARANSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lQxpcKIoiHI/VPVwjwpFLDI/AAAAAAAHHTE/GCPHLe7N1Vs/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Jul
SIASA: Wadaiwa kutaka ‘kumvuruga’ Dk Titus Kamani
10 years ago
MichuziDkt. Kamani aendelea na ziara yake Mkoani Rukwa
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Kamani (Mb) (mwenye miwani), akiwa katika zoezi la kuteketeza nyavu haramu alipotembelea mwalo wa Kasanga katika Mkoa wa Rukwa.
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Kamani (Mb) (mwenye miwani), akwasaidia wavuvi kukarabari mtumbwi wao tayari kwa kazi ya uvuvi alipotembelea mwalo wa Kasanga mkoani Rukwa.
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Titus Kamani (Mb) mwenye miwani, alipomtembelea mfugaji...
5 years ago
MichuziMWENYEKITI WA TCDC DK. TITUS KAMANI AZINDUA MNADA WA CHOROKO KWA MFUMO WA MTANDAO
Mwenyekiti wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania Dk. Titus Kamani...
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Anusurika kuchinjwa katika ugomvi wa wakulima Wilaya ya Kiteto
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FiBR9DcjfH4/U7JnIMT8hmI/AAAAAAAFt48/RNNjV52OSQs/s72-c/20140630_111320.jpg)
Ziara ya naibu waziri maji Mhe Amos Makalla wilaya ya manyoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-FiBR9DcjfH4/U7JnIMT8hmI/AAAAAAAFt48/RNNjV52OSQs/s1600/20140630_111320.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9zoLqFo2brM/U7JnKAn74UI/AAAAAAAFt5I/NgkYqVholIQ/s1600/20140630_120613.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vc7K4ehE6sE/U7JnJmVDQKI/AAAAAAAFt5E/55tJ_W_LWII/s1600/20140630_160656.jpg)