Waziri Mhagama ashangazwa na gharama iliyotumika Ujenzi Wa Mfereji Boko Dar Â
Waziri wa Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Jenista Mhagama amefanya ziara ya kushtukiza katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, kukagua na kutathmini gharama iliyotumika kujenga mfereji wa maji katika eneo la Boko jijini Dar es salaam.
Mfereji huo ulijengwa kwa ajili ya kuondoa tatizo la mafuriko katika eneo la Boko ambao umegharimu kiasi cha shilingi bilioni moja lakini hali imezidi kuwa mbaya baada ya mvua kunyesha kwa muda wa saa moja.
Hali halisi ya matokeo...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA WAZIRI MHAGAMA AKIKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KIWANDA CHA BIDHAA ZA NGOZI KARANGA


5 years ago
Michuzi
WAZIRI MHAGAMA ATOA MAAGIZO UJENZI WA MRADI KIWANDA CHA MACHINJIO YA KISASA WA NGURU KUKAMILIKA KWA WAKATI


Mkurugenzi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa...
5 years ago
Michuzi
WAZIRI MHAGAMA APONGEZA MAFANIKIO YALIYOFIKIWA KATIKA UJENZI KIWANDA CHA BIDHAA ZA NGOZI CHA KARANGA

9 years ago
Michuzi14 Dec
WAZIRI MKUU MAJALIWA AMPOKEA WAZIRI JENISTA MHAGAMA NA NAIBU MAWAZIRI MAVUNDE NA POSSI


10 years ago
MichuziWAZIRI LUKUVI AMKABIDHI OFISI WAZIRI MHAGAMA LEO
5 years ago
Michuzi
WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA ILALA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UCHAFUZI WA MFEREJI WA MAJI YA MVUA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Mh. Mussa Azzan Zungu akiwa pamoja na Wadau mbalimbali wakikagua mfereji wa kupitisha maji ya mvua uliopo mtaa wa Shaurimoyo katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam.

Sehemu ya mfereji huo wa kupitisha maji ya mvua ukionekana jinsi ulivyoharibika kutokana na kutotunzwa vizuri na Wananchi wa Mtaa wa Shaurimoyo.
************************
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu...
10 years ago
VijimamboWaziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe Jenista Mhagama afanya Ziara ya Kiserikali katika Bunge la Zambia
11 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Waziri Mhagama aahidi kuipigania TEWW
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, amesema ili kukabiliana na changamoto zilizopo nchini katika kukua kwa uchumi ni lazima Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW),...
11 years ago
MichuziOkoa gharama na muda wa ujenzi wa nyumba yako