Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Mhagama aahidi kuipigania TEWW

NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, amesema ili kukabiliana na changamoto zilizopo nchini katika kukua kwa uchumi ni lazima Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW),...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MAJALIWA AMPOKEA WAZIRI JENISTA MHAGAMA NA NAIBU MAWAZIRI MAVUNDE NA POSSI

si11Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama wakati aliporipoti Ofisini kwake jijini Dar es salaam kuanza kazi Desemba 14, 2015. si12Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Naibu Waziri wa Nchi, ofisi ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde  wakati aliporipoti Ofisini kwake jijini Dar es salaam kuanza kazi Desemba 14, 2015. Katikati ni Waziri wa Nchi  Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenisa...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI LUKUVI AMKABIDHI OFISI WAZIRI MHAGAMA LEO

Waziri mpya wa Ardhi, Nyumba na Makazi Mhe. William Lukuvi (Mb) (Kulia) ambaye awali alikuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) akifafanua jamabo kuhusu masuala ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Waziri wa Nchi aliyeteuliwa kushika wadhifa huo Mhe. Jenesta Mhagama (Mb) (kushoto ) wakati wa kumkabidhi ofisi, leo, Jijini Dar e es Salaam. Waziri mpya wa Ardhi, Nyumba na Makazi Mhe. William Lukuvi (Mb) (mwenye shati) ambaye awali alikuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri...

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe Jenista Mhagama afanya Ziara ya Kiserikali katika Bunge la Zambia

Mhe Jenista Mhagama tarehe 21 April 2015 alifanya Ziara ya Kiserikali katika Bunge la Zambia.  Dhumuni ya ziara hiyo ilikuwa kujifunza taratibu na mambo mbali mbali yanayohusiana na Bunge la Zambia. Katika ziara hiyo Mhe Waziri aliongozana na Balozi wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Balozi Grace J. Mujuma.

 Mhe. Jenista Mhagama na Mhe Balozi Grace Mujuma wakipewa maelezo na Spika wa Bunge la Zambia Jaji, Dkt. Patrick Matibini (hayupo pichani)Mhe. Jenista Mhagama na Mhe Balozi Grace Mujuma...

 

9 years ago

StarTV

Waziri Mhagama ashangazwa na gharama iliyotumika Ujenzi Wa Mfereji Boko Dar  

 

Waziri wa Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Jenista Mhagama amefanya ziara ya kushtukiza katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, kukagua na kutathmini gharama iliyotumika kujenga mfereji wa maji katika eneo la Boko jijini Dar es salaam.

Mfereji huo ulijengwa kwa ajili ya kuondoa tatizo la mafuriko katika eneo la Boko ambao umegharimu kiasi cha shilingi bilioni moja lakini hali imezidi kuwa mbaya baada ya mvua kunyesha kwa muda wa saa moja.

Hali halisi ya matokeo...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MHAGAMA AMEKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI MKOANI MANYARA


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi kuhusu masuala mbalimbali ya wafanyakazi walipokutana katika ukumbi wa Hazina ndogo, Mkoani Manyara.Sehemu ya Viongozi wa Vyama vya Wafanyakazi wa Mkoa wa Manyara wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama alipokutana nao na...

 

11 years ago

Michuzi

NAIBU WA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI Mhe. JENISTA MHAGAMA ATEMBELEA BODI YA MIKOPO

 Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Jenista Mhagama (MB) akikaribishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Bw. George R.W. Nyatega (kushoto)) katika Ofisi za Bodi hiyo zilizoko Mwenge,  Dar Es Salaam.

 Mh.Naibu Waziri akipeana mkono na baadhi ya wawakilishi wa Menejimenti ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu.



Naibu Waziri Mhe. Jenista Mhagama (kushoto) wakiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MHAGAMA AITAKA CWT KUCHUKUA TAHADHARI YA KUJIKINGA NA CORONA KWENYE MKUTANO WAO

Charles James, Michuzi TVWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama amekagua maandalizi ya mkutano mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) utakaofanyika Juni 5 mwaka huu na kuwataka kuchukua tahadhari ya kujinga na Corona.
Mhe Mhagama ametembelea Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma ambao ndio mkutano huo utakapofanyika ambapo pia utatumika kuchagua viongozi wakuu kitaifa wa CWT.
Akizungumza baada ya kukagua maandalizi na kuzungumza na viongozi wa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MHAGAMA APONGEZA WANANCHI KWA KUJITOKEZA NA KUBORESHA TAARIFA ZAO KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (kulia) akizungumza na wakazi wa Kijiji cha Kelema alipofanya ziara ya kukagua zoezi la uwekaji wazi wa Daftari la Mpiga Kura pamoja na kuangalia uboreshaji wa taarifa za wapiga kura Wilayani Chemba.Sehemu ya wakazi wa Kijiji cha Kelema wakifuatilia maelezo ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana,...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI NGAZI YA TAIFA NA KAMATI YA UTENDAJI CHAMA CHA WALIMU TANZANIA (CWT)


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Viongozi wa ngazi ya taifa na Kamati ya utendaji ya Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) alipokutana nao kwa lengo la kuwapongeza viongozi hao. Kulia ni Rais wa Chama Walimu Tanzania (CWT) Bi. Leah Ulaya.Sehemu ya Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) wakifuatilia kwa makini maelezo ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani