Waziri Mhagama aahidi kuipigania TEWW
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama, amesema ili kukabiliana na changamoto zilizopo nchini katika kukua kwa uchumi ni lazima Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW),...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi14 Dec
WAZIRI MKUU MAJALIWA AMPOKEA WAZIRI JENISTA MHAGAMA NA NAIBU MAWAZIRI MAVUNDE NA POSSI


10 years ago
MichuziWAZIRI LUKUVI AMKABIDHI OFISI WAZIRI MHAGAMA LEO
10 years ago
VijimamboWaziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe Jenista Mhagama afanya Ziara ya Kiserikali katika Bunge la Zambia
9 years ago
StarTV17 Dec
Waziri Mhagama ashangazwa na gharama iliyotumika Ujenzi Wa Mfereji Boko Dar Â
Waziri wa Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Jenista Mhagama amefanya ziara ya kushtukiza katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, kukagua na kutathmini gharama iliyotumika kujenga mfereji wa maji katika eneo la Boko jijini Dar es salaam.
Mfereji huo ulijengwa kwa ajili ya kuondoa tatizo la mafuriko katika eneo la Boko ambao umegharimu kiasi cha shilingi bilioni moja lakini hali imezidi kuwa mbaya baada ya mvua kunyesha kwa muda wa saa moja.
Hali halisi ya matokeo...
5 years ago
CCM Blog24 Jun
WAZIRI MHAGAMA AMEKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI MKOANI MANYARA


11 years ago
Michuzi
NAIBU WA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI Mhe. JENISTA MHAGAMA ATEMBELEA BODI YA MIKOPO




Naibu Waziri Mhe. Jenista Mhagama (kushoto) wakiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya...
5 years ago
Michuzi
WAZIRI MHAGAMA AITAKA CWT KUCHUKUA TAHADHARI YA KUJIKINGA NA CORONA KWENYE MKUTANO WAO
Mhe Mhagama ametembelea Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma ambao ndio mkutano huo utakapofanyika ambapo pia utatumika kuchagua viongozi wakuu kitaifa wa CWT.
Akizungumza baada ya kukagua maandalizi na kuzungumza na viongozi wa...
5 years ago
Michuzi
WAZIRI MHAGAMA APONGEZA WANANCHI KWA KUJITOKEZA NA KUBORESHA TAARIFA ZAO KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (kulia) akizungumza na wakazi wa Kijiji cha Kelema alipofanya ziara ya kukagua zoezi la uwekaji wazi wa Daftari la Mpiga Kura pamoja na kuangalia uboreshaji wa taarifa za wapiga kura Wilayani Chemba.

5 years ago
Michuzi
WAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI NGAZI YA TAIFA NA KAMATI YA UTENDAJI CHAMA CHA WALIMU TANZANIA (CWT)

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Viongozi wa ngazi ya taifa na Kamati ya utendaji ya Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) alipokutana nao kwa lengo la kuwapongeza viongozi hao. Kulia ni Rais wa Chama Walimu Tanzania (CWT) Bi. Leah Ulaya.

