Waziri Mkuu azungumzia Matukio ya watu Kutekwa na Kupotea
Mheshimiwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema Serikali imesikia matukio yote yanaondelea nchini na kuwataka Watanzania kuwa watulivu na kuipa serikali na vyombo vya ulinzi muda.
Pichani: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
Waziri Majaliwa ametoa kauli hiyo katika Mkutano wa Saba wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linaloendelea mjini Dodoma, kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo ya wabunge kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani, Mbunge wa Hai, Mh....
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo16 May
Waziri Mkuu azungumzia mgomo Tazara
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali inalifanyia kazi suala la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) ambao wamegoma ili kurejesha mawasiliano ya usafiri.
5 years ago
Michuzi
MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI

5 years ago
CCM BlogMATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI DODOMA
5 years ago
CCM BlogMATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI DODOMA LEO
5 years ago
MichuziMATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI JIJINI DODOMA LEO
11 years ago
Dewji Blog05 Jun
Matukio ya Waziri Mkuu Pinda Bungeni mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu Mawsali Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji ambaye pia ni Mbunge wa Hanang, Dr. Mary Nagu, Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Ndege akiwa kwenye zuria la Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Wabunge Zainab Kawawa...