Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Mkuu azungumzia Matukio ya watu Kutekwa na Kupotea

Mheshimiwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema Serikali imesikia matukio yote yanaondelea nchini na kuwataka Watanzania kuwa watulivu na kuipa serikali na vyombo vya ulinzi muda.


Pichani: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa

Waziri Majaliwa ametoa kauli hiyo katika Mkutano wa Saba wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linaloendelea mjini Dodoma, kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo ya wabunge kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani, Mbunge wa Hai, Mh....

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Waziri Mkuu azungumzia mgomo Tazara

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali inalifanyia kazi suala la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) ambao wamegoma ili kurejesha mawasiliano ya usafiri.

 

5 years ago

Michuzi

MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akizungumza na Mbunge wa Sikonnge, Joseph Kakunda (kushoto) na Mbunge wa Viti Maalum, Felista Bura, (wapili kushoto) nje ya Jengo la Utawala, Bungeni jijini Dodoma, May 15, 2020. ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

5 years ago

CCM Blog

MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI DODOMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mpwapwa, George Lubeleje, Bungeni jijini Dodoma, Juni 13, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Vunjo na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR- MAGEUZI, James  Mbatia, Bungeni jijini Dodoma, Juni 13, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

5 years ago

CCM Blog

MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI DODOMA LEO

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mvomero,  Suleiman Ahmed Saddiq kwenye Viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 15, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa  Kiembesamaki, Ibrahim Raza kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 15, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Baraza la Wawakilishi, Amina Mabrouk kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 15, 2020. (Picha...

 

5 years ago

Michuzi

MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI JIJINI DODOMA LEO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimpongeza Mbunge wa Momba, David Silinde baada ya kuchangia Azimio la kumpongeza Rais John Magufuli  kwa namna alivyoongoza taifa katika mapambano dhidi ya janga la Corona, Bungeni jijini Dodoma, Juni, 8, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

11 years ago

Dewji Blog

Matukio ya Waziri Mkuu Pinda Bungeni mjini Dodoma

PG4A1532

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu Mawsali Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1583

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi Ofisi  ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji  ambaye pia ni Mbunge wa Hanang, Dr. Mary Nagu, Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1718

Ndege akiwa kwenye zuria la Bungeni mjini Dodoma Juni 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1784

Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Wabunge Zainab  Kawawa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani