Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI MKUU PINDA AWASILI MWANZA KUFUNGA MAONYESHO YA NANENANE

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Mwanza, Dr. Anthony Diallo baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza  August 7, 2014  ambako anatarajiwa kuwa  mgeni rasmi katika kilele cha sherehe za wakulima Nanenane mjini Mwanza August 8, 2014.Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi, Evarest Ndikilo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula  na Ushirika, Erasto Zambi baada ya kuwasili...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MH. PINDA AFUNGA MAONYESHO YA NANENANE KANDA YA ZIWA JIJINI MWANZA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea tuzo ya Kilimo Kwanza kutoka kwa Yusuf Sinare Yusuf ambayo imetolea na Baraza la Taifa la Kueneleza Wakulima (ACT) kwa niaba ya wakulima, wafugaji na wavuvi nchini katika monyesho ya wakulima Nanenane yaliyofanyika kikanda na kufungwa na Waziri Mkuu jijini Mwanza August 8, 2014. Waziri Mkuu, izengo Pinda akitazama batamzinga kwenyebanda la wilaya ya Ukerewe katika maonyesho ya wakulima Nanenane ya kanda ya ziwa yaliyofanyika jijini Mwanza August 8,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu afunga Nanenane Mwanza

PG4A9231

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama Batamzinga kwenye banda la wilaya ya Ukerewe katika maonyesho ya wakulima Nanenane ya kanda ya ziwa yaliyofanyika  jijini Mwanza  August 8, 2014 na kufungwa na  Waziri Mkuu. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mwanza , Mhandisi Evarest Ndikilo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9464

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea tuzo ya Kilimo Kwanza kutoka kwa Yusuf Sinare Yusuf  ambayo imetolea na Baraza la  Taifa la Kuendeleza Wakulima (ACT) kwa niaba ya wakulima, wafugaji na...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MKUU PINDA ALIPOFUNGA MAONESHO YA WAKULIMA NANENANE KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI‏

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa hotuba ya kufunga maonesho ya wakulima nanenane 2015 Kanda ya Nyanda za juu kusini.Meneja wa Uwanja wa John Mwakangale, Mwakibete Kasilati akitoa taarifa ya hali ya uwanja kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda.Meneja wa Uwanja wa John Mwakangale, Mwakibete Kasilati akitoa taarifa ya hali ya uwanja kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda.Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo kutoka kwa Bwana shamba wa Balton alipotembelea banda lao.Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda afungua maonyesho ya Nanenane Mbeya

PG4A8231

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kitazama mkungu wa Ndizi uliletwa katika maonyesho ya nanenane Mbeya na Bosco Luambano (kulia) wa Kijiji cha Hanga wilayani Namtumbo katika maonyesho yaliyofanyika kwenye viwanja vya John Mwakangale Augost 2, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A8242

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama Mhogo kutoka kijiji cha Itunya wilayani Mpanda katika maonyesho ya nanenane aliyoyafungua jana kwenye viwanja vya John Mwakangale Mbeya.

PG4A8358

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akibeba Boga...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AWASILI MJINI DODOMA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi na walimu wa Shule ya Msingi ya Rasaisei English Medium ya mjini Dodoma baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Aprili 24, 2015. Wapili kulia ni Rubani wa Ndege za serikali, Narzis Kisimbo , kulia ni Mwalimu Esther Minja na kushoto ni mwalimu Emmanuel Kubyo.Wanafunzi hao walikuwa kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma kwa ziara ya kujifunza. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wafanyakazi wa Wakala wa Ndege za...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda afungua maonyesho ya nanenane kitaifa Lindi

IMGS7391

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua maonyesho ya Nanenane  kitaifa  kwenye uwanja wa Ngongo Lindi Agosti 4, 2015.  Kushoto  ni Mkuu wa Mkoa wa lindi, Mwantumu Mahiza na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendego. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGS7426

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama mashine ya kunyonyoa kuku wakati alipotembelea banda la kampuni ya ubia kati ya watanzania na wachina ya  Poly Machinery ya Millennium Busibess Park jijijni Dares salaam, baada ya kufungua maonyesho ya...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU,MH. PINDA AFUNGA MAONYESHO YA TAASISI ZA MUUNGANO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi ya kinyago cha umoja kutoka kwa Naibu Waziri , Ofisi ya Makau wa Rais, Umy Mwalimu baada ya kufunga monyesho ya Taasisi za Muungano kwenye viwanja vya Mnazi Moja jijini dar es salaam Aprili 19, 2014. Kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, Mwiguli Nchemba na kulia kwake Ni Kati Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Florens Turuka. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu)

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MKUU MHE MIZENGO PINDA AWASILI MKOANI DODOMA

waz1Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi na walimu wa Shule ya Msingi ya Rasaisei English Medium ya mjini Dodoma baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Aprili 24, 2015. Wapili kulia ni Rubani wa Ndege za serikali, Narzis Kisimbo , kulia ni Mwalimu Esther Minja na kushoto ni mwalimu Emmanuel Kubyo.Wanafunzi hao walikuwa kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma kwa ziara ya kujifunza. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) waz2Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU PINDA AWASILI OMAN KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua gwaride baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Muscut wa Royal  Airport kwa ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Oman Oktoba 27, 2014. Kushoto ni Naibu Waziri Mkuu wa Oman Mheshimiwa Sayyid Fahad Mahmoud Al Said.  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiongozana na Naibu Waziri Mkuu wa Oman,  Mheshimiwa Sayyid Fahad Mahmoud Al Said  (kushoto kwake) baada  ya kuwasili kwenye  uwanja wa ndege wa  Kimataifa wa  Muscut wa Royal Airport kwa ziara ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani