Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Mkuu afunga Nanenane Mwanza

PG4A9231

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama Batamzinga kwenye banda la wilaya ya Ukerewe katika maonyesho ya wakulima Nanenane ya kanda ya ziwa yaliyofanyika  jijini Mwanza  August 8, 2014 na kufungwa na  Waziri Mkuu. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mwanza , Mhandisi Evarest Ndikilo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A9464

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea tuzo ya Kilimo Kwanza kutoka kwa Yusuf Sinare Yusuf  ambayo imetolea na Baraza la  Taifa la Kuendeleza Wakulima (ACT) kwa niaba ya wakulima, wafugaji na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU PINDA AWASILI MWANZA KUFUNGA MAONYESHO YA NANENANE

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Mwanza, Dr. Anthony Diallo baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza  August 7, 2014  ambako anatarajiwa kuwa  mgeni rasmi katika kilele cha sherehe za wakulima Nanenane mjini Mwanza August 8, 2014.Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi, Evarest Ndikilo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula  na Ushirika, Erasto Zambi baada ya kuwasili...

 

11 years ago

Michuzi

MH. PINDA AFUNGA MAONYESHO YA NANENANE KANDA YA ZIWA JIJINI MWANZA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea tuzo ya Kilimo Kwanza kutoka kwa Yusuf Sinare Yusuf ambayo imetolea na Baraza la Taifa la Kueneleza Wakulima (ACT) kwa niaba ya wakulima, wafugaji na wavuvi nchini katika monyesho ya wakulima Nanenane yaliyofanyika kikanda na kufungwa na Waziri Mkuu jijini Mwanza August 8, 2014. Waziri Mkuu, izengo Pinda akitazama batamzinga kwenyebanda la wilaya ya Ukerewe katika maonyesho ya wakulima Nanenane ya kanda ya ziwa yaliyofanyika jijini Mwanza August 8,...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MKUU PINDA ALIPOFUNGA MAONESHO YA WAKULIMA NANENANE KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI‏

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa hotuba ya kufunga maonesho ya wakulima nanenane 2015 Kanda ya Nyanda za juu kusini.Meneja wa Uwanja wa John Mwakangale, Mwakibete Kasilati akitoa taarifa ya hali ya uwanja kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda.Meneja wa Uwanja wa John Mwakangale, Mwakibete Kasilati akitoa taarifa ya hali ya uwanja kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda.Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo kutoka kwa Bwana shamba wa Balton alipotembelea banda lao.Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU,MH. PINDA AFUNGA MAONYESHO YA TAASISI ZA MUUNGANO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi ya kinyago cha umoja kutoka kwa Naibu Waziri , Ofisi ya Makau wa Rais, Umy Mwalimu baada ya kufunga monyesho ya Taasisi za Muungano kwenye viwanja vya Mnazi Moja jijini dar es salaam Aprili 19, 2014. Kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, Mwiguli Nchemba na kulia kwake Ni Kati Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Florens Turuka. (Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu)

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AFUNGA MKUTANO WA KUHUSU KUWALINDA TEMBO AFRIKA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Kiongozi wa Shirika la Maendeleo la wa Mataifa (UNDP Adminostrator) na Waziri Mkuu wa zamani wa Newzealand, Helen Clark wakati alipofungua mkutano kuhusu Tembo barani Afrika (The African Elephant Conference) kwenye hoteli ya Hyatt Regency mjini Dar es salaam May 10, 2014.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MHE. MIZENGO PINDA ATEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA WILAYA YA SUMBAWANGA KATIKA MAADHIMISHO YA NANENANE NYANDA ZA JUU KUSINI JIJINI MBEYA LEO

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda akisalimiana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga Ndugu Adam Misana alipotembelea banda la Halmashauri ya Wilaya hiyo leo tarehe 02/08/2014 katika maonyesho ya wakulima Nanenane nyanda za juu kusini Jijini Mbeya ambapo alipokelewa na viongozi waandamizi wa Serikali ya Mkoa wa Rukwa wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Eng. Stella Manyanya (Pichani Kulia).

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa afunga maadhimisho ya miaka 20 ya Kanisa la Africa Inland Church Pwani!

IMGS3102

 Waziri  Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa  akisalimiana na baadhi ya viongozi wa kanisa la Africa Inland Church  wakati alipohitimisha maadhimisho ya miaka 20 tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo katika Dayosisi ya Pwani yaliyofanyika kwenye ukumbi wa PTA katika uwanja wa maonyesho wa Mwalimu Nyerere Kilwa Road jijini Dar es salaam Novemba 29, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

IMGS3110

 

IMGS3121

Waziri  Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa  akizungumza  wakati alipohitimisha maadhimisho ya miaka 20 ya Kanisa la...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGA maadhimisho ya miaka 20 ya Dayosisi ya Pwani ya Kanisa la African Inland Church Tanzania (AICT)

 Waziri  Mkuu Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa  akisalimiana na baadhi ya viongozi wa kanisa la Africa Inland Church  wakati alipohitimisha maadhimisho ya miaka 20 tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo katika Dayosisi ya Pwani yaliyofanyika kwenye ukumbi wa PTA katika uwanja wa maonyesho wa Mwalimu Nyerere Kilwa Road jijini Dar es salaam Novemba 29, 2015.

 Waziri  Mkuu Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa  akizungumza  wakati alipohitimisha maadhimisho ya miaka 20 ya Kanisa la Africa Inland Church Dayosi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani