Waziri Mwakyembe akutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Qatar
![](https://1.bp.blogspot.com/-GIJIPAGrolI/XmJb607vEgI/AAAAAAALhkc/lhCmHxkTwVEiECYGtb_yPFE_3mYqgsB5wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akifafanua jambo kwa Balozi wa Qatar nchini Tanzania, Mhe. Hussain Ahmad Al-Homaid Wakati Balozi huyo alipomtembelea leo 6 Machi katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam na kujadiliana masuala mbalimbali ya kushirikiana katika sekta ya Michezo.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akibadilishana kadi za mawasiliano na Balozi wa Qatar nchini Tanzania, Mhe....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BAj2sq0GrYM/XvJm6zcB5lI/AAAAAAALvHY/Rb4ZMUxFL58SKAM2B7NsMMBriD5d3ghJACLcBGAsYHQ/s72-c/1beb7da4-a2b8-4941-a655-54e95998934c.jpg)
WAZIRI KIGWANGALLA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA NERTHERLAND KUHUSU UTALII
![](https://1.bp.blogspot.com/-BAj2sq0GrYM/XvJm6zcB5lI/AAAAAAALvHY/Rb4ZMUxFL58SKAM2B7NsMMBriD5d3ghJACLcBGAsYHQ/s640/1beb7da4-a2b8-4941-a655-54e95998934c.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/15fa8a26-ae7e-49e9-9661-68ce5ab8435d.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/215adcd3-3915-4d54-845d-33f83287eded.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/eb2e2ed5-9248-4d78-9540-d4f2e79eb16d.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4d79bd08-04ab-4a91-9ac9-313b3cae77dc.jpg)
5 years ago
MichuziBALOZI KANALI IBUGE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KAIMU BALOZI WA PAKISTAN
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge akisalimiana na Kaimu Balozi wa Pakistan nchi Bw. Mohammad Saleem alipowasili katika Ofisi za Makao Makuu ya Wizara jijini Dodoma. Wawili hao wamejadili masuala mbalimbali ya kudumisha na kukuza uhusiano wa kidiplomasia baina ya nchi hizi mbili.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge na Kaimu Balozi wa Pakistan nchi Bw. Mohammad...
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU BALOZI KANALI IBUGE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA VIETNAM
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje naUshirikiano wa Afrika Mashariki BaloziCol. Wilbert A. Ibuge katikati akimkaribisha Balozi wa Vietnam chini Mhe.Nguyen Kim Doanh katika ofisi za Wizara Jijini Dodoma alipofika kuitikia wito wa Katibu Mkuu kulia ni KaimuMkurugenzi anayeshughulikianchi za Asia na AustralasiaBw. Ceasar Waitara.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje naUshirikiano wa Afrika Mashariki BaloziCol. Wilbert A. Ibuge (kulia) akizungumza na Balozi wa Vietnam chini Mhe.Nguyen Kim Doanh...
9 years ago
VijimamboPINDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAWI
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKUTANA NA BALOZI WA BURUNDI NA QATAR
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA KWANZA WA RAIS, MAALIM SEIF AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UFARANSA NCHINI
10 years ago
Michuzi11 Sep
WAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI NCHINI
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Waziri Mahiga akutana kwa mazungumzo na Balozi wa China nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kp_OC1WMnEM/XlQGS-UZ-_I/AAAAAAALfLg/wwc5c1PMpmI4ZxeNRV0KjI6__bqZEVB3gCLcBGAsYHQ/s72-c/cc47967d-3f65-4779-9bdc-95afb624b502-1024x472.jpg)
DKT.JINGU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAENDELEO NA BIASHARA YA KIMATAIFA WA FINLAND
![](https://1.bp.blogspot.com/-kp_OC1WMnEM/XlQGS-UZ-_I/AAAAAAALfLg/wwc5c1PMpmI4ZxeNRV0KjI6__bqZEVB3gCLcBGAsYHQ/s640/cc47967d-3f65-4779-9bdc-95afb624b502-1024x472.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/8b513a06-2db6-4c29-85c3-8c51213b0555-1024x472.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/b613463b-9fd5-4166-8690-b57cbdba43a3-1024x472.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2a28675c-4275-4f6a-8d3b-c52cb682765a-1024x472.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/408c7524-0ee2-4821-9832-1437f5181d94-1024x472.jpg)
Waziri wa maendeleo na biashara ya nje wa Finland Bw. Ville Skinnari na ujumbe wake alipokutana na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Wizarani hapo, Jijini Dodoma leo tarehe 24/02/2020 …………………………
Waziri wa Maendeleo na Biashara ya kimataifa wa Finland Bw. Ville Skinnari amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto(Idara Kuu ya Mendeleo ya Jamii), Dkt. John Jingu kuhusu maendeleo na usawa wa jinsia hapa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10