Waziri Mwigulu aisimamisha bodi ya NARCO kwa Ubadhilifu Ranchi Ya Taifa
Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba ameisimamisha kazi Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa kutokana na kinachodaiwa kushindwa kusimamia majukumu yake yakiwepo ya manunuzi na usimamiaji wa ujenzi wa machinjio ya kisasa ya kampuni hiyo iliyopo Ruvu Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.
Bodi hiyo inadaiwa kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya Bilioni 3 zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa machinjio ya kisasa ya kimataifa ambayo yangetumia shilingi bilioni 10.7...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Ranchi ya Taifa Mkata kupewa wawekezaji
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Dk Magufuli: Waziri aligawa ovyo ranchi
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iY_bo53Ifzg/VoO31l64NVI/AAAAAAAIPV0/vWkzURf3iWw/s72-c/20151230023015.jpg)
WAZIRI MKUU, MAJALIWA ATAKA MAELEZO JUU YA UBADHILIFU WA MALI ZA UMMA HALMASHAURI YA KIGOMA UJIJI
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amemtaka Mkurugenzi wa manispaa ya Kigoma Ujiji, Mhandisi na Mhasibu kupeleka taarifa ya maandishi kwa katibu tawala wa mkoa juu ubadhirifu waliofanya wa mali za umma.
Hayo ameyasema leo wakati akiongea na watumishi wa Wilaya zote kwenye kikao cha majumuisho ya ziara yake kilichofanyika katika ukumbi wa NSSF .
Alisema kuwa katika halmashauri ya Kigoma Ujijikuna ubadhirifu wa malu za umma umefanyika wa kuuza soki la...
9 years ago
Michuzi03 Sep
MWIGULU NCHEMBA ALIPUA UKAWA KWA KUNUKUU MANENO YA BABA WA TAIFA
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/b4MYzsjA-KTjQMAT7zVz6YzpB-8FE99eMNIgDlsKbH-9PHP6uGDEi8bIyUnwXkNKCsOC_vZYZIO4fFqZY6UcLxWa_hjRsoe2GaTtIXjSHzlJxpk63aFvtCPBPC-H8qc24mPsvVFSxKXgXRcdj3KsXBeLxMb69-XIrciagYjAxlXk98MvBYODX7wuDqvyRi0mDGHw1QETfY2z0zarw033njbDDcHGbZFRRzaomFTO8I1LYt9P=s0-d-e1-ft#https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11947676_423169441218623_4148583794825625009_n.jpg?oh=0f84ba486afb78f84eb33a4d8c716610&oe=56714DA1)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/5aO5foSfu9HkgsKO8oyvyrr4Btg8Gwj-MOZH-T5or0tM6Z6OogJ1TgkVC2hAWK8VR6lkl8-tUGGkfgmSWu93XlVmvIGJvkcosrfGZx7N8JUccQzy6xPSW0I5O7zH5BgtFyVB9qcYpsL5VWz0XfwDjgLxzNDqNbGfJJP8OM0f4oX97Quw9E2Q5Q59mLj0wsGRiHQhLzysZLvAXkbcX7wUX3Cn1o4UHcZOlacpe3vPWDXFj3Ck=s0-d-e1-ft#https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11937942_423169661218601_1676314127316112351_n.jpg?oh=81222d521cbdbc9496855651a7eab523&oe=5660B2E5)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/7tSNiwuTXBokTeFm-Fg4nAMIFQ_z0lIKw4S-2d5R6E4MUr7q1chVm7XS_OH01jMCOKxipDI95xb11gsuTXd8k4c8wm6X30HBMdUx5su7ceow68YLIshRZSUDLVrBk3w1eD8swnFj3m5d3H1vyXubdmwhmr9uNnwjfwjZtUACSMkO9tH4Isq7Xor20pjXo913ITw5xEMNqH0Kk4IUxUt5n9KrIOlczgENrFIbmautFy8izVPV=s0-d-e1-ft#https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/11953037_423169527885281_6387678350303757731_n.jpg?oh=32268e6a0d9b6d80fc5d47947bdc4ae5&oe=5666F7FD)
9 years ago
Dewji Blog04 Sep
Mwigulu Nchemba awashukia wapinzani wanaotumia hotuba za Baba wa Taifa kwa mtaji wa kisiasa
Mwigulu Nchemba akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Nkungi, wilayani Mkalama (Picha ya Maktaba yetu)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/VIBt_u8-KOQ/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HRTez0bJclA/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Apr
Naibu Waziri aitaka Bodi ya Mikopo kutoa elimu zaidi kwa wadaiwa
Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Bw. Cosmas Mwaisobwa (kulia) akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majuku ya Bodi kwa Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Anne Kilango Malecela leo (Jumatano, Aprili 22, 2015) jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri alifanya ziara ya kikazi katika Bodi hiyo na kukutana na uongozi wa Bodi.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Anne Kilango Malecela (wa pili kulia)...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Qa740tZBaKI/VTf5IMKdl0I/AAAAAAABsf4/x4cy9STOuDw/s72-c/1.jpg)
Naibu Waziri Malecela aitaka Bodi ya Mikopo kutoa elimu zaidi kwa wadaiwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qa740tZBaKI/VTf5IMKdl0I/AAAAAAABsf4/x4cy9STOuDw/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pOC4aThcwik/VTf5LdLo2XI/AAAAAAABsgA/6sbtb9l5mKo/s640/2.jpg)