Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Magufuli: Waziri aligawa ovyo ranchi

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli ameendelea kukosoa Serikali zilizopita, akisema ranchi 52 ziligawiwa ovyo na Waziri wa Maji na Mifugo wa Serikali ya Awamu ya Tatu na kuahidi kuzishughulikia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Waziri Mwigulu aisimamisha bodi ya NARCO kwa Ubadhilifu Ranchi Ya Taifa

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Mwigulu Nchemba ameisimamisha kazi Bodi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa kutokana na kinachodaiwa kushindwa kusimamia majukumu yake yakiwepo ya manunuzi na usimamiaji wa ujenzi wa machinjio ya kisasa ya kampuni hiyo iliyopo Ruvu Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.

Bodi hiyo inadaiwa kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya Bilioni 3 zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa machinjio ya kisasa ya kimataifa ambayo yangetumia shilingi bilioni 10.7...

 

10 years ago

Mtanzania

Lipumba aligawa Bunge

Duni Pg 4Maregesi Paul, Dodoma na Grace Shitundu, Dar

WABUNGE wa vyama vya upinzani jana waliungana kulilaani Jeshi la Polisi nchini kutokana na jinsi lilivyoshiriki kumpiga Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wenzake jijini Dar es Salaam.

Wakichangia kauli ya Serikali iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe kuhusu suala hilo, wabunge hao kwa nyakati tofauti walilaani tukio hilo huku wakitaka walioshiriki kwa namna yoyote, wachukuliwe...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Bunge latishwa na madudu Ranchi ya Ruvu


NA KHADIJA MUSSA
MSAJILI wa Hazina kwa kushirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, wametakiwa kupitia upya ripoti ya ukaguzi ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) na kuchukua uamuzi ndani ya wiki tatu.
Pia Bodi ya NARCO imeagizwa kufanya tathmini iwapo menejimenti ya NARCO na ya Ranchi ya Ruvu kama zinastahili kuendelea na kazi zao na kutoa majibu katika kipindi cha wiki tatu.
Msajili ya Hazina ametakiwa kutathmini na kubaini kama Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Ranchi ya Taifa Mkata kupewa wawekezaji

Wizara ya Mifugo na Uvuvi inakusudia kutoa kwa wawekezaji kutoka Marekani, eneo la Ranchi ya Taifa ya Mkata lililopo wilayani Kilosa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakiri kuwepo mgogoro ranchi ya Kalambo

SERIKALI imekiri kuwepo kwa mgogoro kati ya wananchi wa Kijiji cha Katapulo na ranchi ya Kalambo, mkoani Rukwa. Hata hivyo, imesema iko katika mchakato wa kuhakikisha inamaliza migogoro hiyo hata...

 

11 years ago

Michuzi

Mh. Mkapa atembelea shule ya msingi Manyara Ranchi,Wilayani Monduli

Rais mstaafu wa awamu wa tatu Mh Benjamin Mkapa leo(jumatatu) amefanya ziara kumtembelea Shule ya msingi ya Manyara Ranchi inayofadhiliwa na shirika la kimataifa la uhifadhi wa wanyamapori la African wildlife foundation wilayani Monduli.
Mzee Mkapa ni Makamu mwenyekiti wa shirika hilo lenye makao yake mjini Washington Marekani.picha mbalimbali zinamuonesha waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akimuongoza Rais Mkapa kuzuru shule hiyo. Rais mstaafu wa awamu wa...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MAGUFULI AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMI YA KIDATO CHA SITA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA CHATO, AAHIDI MAJENGO YA KAMBI YA MKANDARASI KUWA MALI YA SHULE YA MAGUFULI

 Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chato Mkoani Geita, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapongeza wanafunzi wa kidato cha Sita katika Shule ya Sekondari ya Chato wanaotarajiwa kuhitimu masomo yao mwezi ujao. Wanafunzi wa kidato cha Sita katika Shule ya Sekondari ya Chato Mkoani Geita wanaotarajiwa kuhitimu masomo yao mwezi ujao wakiimba wimbo maalum wa Shule hiyo katika Mahafali ya 10 shuleni hapo.

 Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chato Mheshimiwa Dkt....

 

11 years ago

Mwananchi

Biashara zisifanywe ovyo barabarani

Watanzania tumekuwa wepesi mno kulalamika na kutaka maendeleo wakati huohuo tunashiriki kwa kiasi kikubwa katika kukwamisha juhudi hizo za maendeleo.

 

10 years ago

Habarileo

‘Walimu jiepusheni na mambo ya ovyo’

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu), Kassim MajaliwaNAIBU Waziri wa Elimu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Kassim Majaliwa amewataka walimu nchini kujiepusha na mambo yanayochangia kukiuka misingi ya haki za binadamu na maadili mema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani