Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Biashara zisifanywe ovyo barabarani

Watanzania tumekuwa wepesi mno kulalamika na kutaka maendeleo wakati huohuo tunashiriki kwa kiasi kikubwa katika kukwamisha juhudi hizo za maendeleo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SUMATRA YAWATAKA ASKARI WA USALAMA BARABARANI KUKAMATA MABASI YANAYOSIMAMA KUCHIMBA DAWA OVYO PORINI

          Mwanasheria mkuu  wa  SUMATRA Bi Leticia Mutaki  Bw  Mpina wa Sumatra  makao  makuu  akifafanua  jambo wakati wa semina elekezi  kwa askari wa usalama barabarani Watenda kazi  wa Sumatra  Iringa  wakiwa na mwanahabari wa TBC Taifa  Iren Mwakalinga  kulia  wakifuatilia  semina  hiyo.
..................................................... ASKARI  wa usalama barabarani  nchini  wamepewa  rungu  la kuwakamata  madereva  wa mabasi ya abiria na magari mengine  ambayo yatapatikana...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL, BARAZA LA USALAMA BARABARANI KUHAMASISHA USALAMA BARABARANI MSIMU WA SIKUKUU‏

Meneja wa huduma za kijamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi (kulia) akisisitiza juu ya umuhimu wa wananchi kujikinga na ajali za barabarani kwenye msimu huu wa sikukuu leo wakati wa kikao na waandishi wa habari kilichofanyika makao makuu ya Airtel jijini Dar es salaam.  Katikati ni Katibu Mtendaji wa Baraza na Kamanda mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani cha Tanzania, DCP Mohammed Mpinga akifuatiwa na Balozi wa kampeni za...

 

10 years ago

Habarileo

‘Walimu jiepusheni na mambo ya ovyo’

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu), Kassim MajaliwaNAIBU Waziri wa Elimu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Kassim Majaliwa amewataka walimu nchini kujiepusha na mambo yanayochangia kukiuka misingi ya haki za binadamu na maadili mema.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli: Waziri aligawa ovyo ranchi

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli ameendelea kukosoa Serikali zilizopita, akisema ranchi 52 ziligawiwa ovyo na Waziri wa Maji na Mifugo wa Serikali ya Awamu ya Tatu na kuahidi kuzishughulikia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kim Kardashian akiri kujikojolea ovyo

Kim Kardashian West amekiri kwamba licha ya kuvaa nguo zinazowavutia wengi ulimwenguni yeye hujikojolea mara kwa mara

 

10 years ago

Mwananchi

Matumizi ovyo ya umeme yaumiza viwanda nchini

Viwanda vilivyopo nchini vinaweza kuongeza tija katika uzalishaji na kupata faida kubwa ikiwa vitapunguza matumizi ya nishati ya umeme, imeelezwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ukuta kuadhibu waendao haja ndogo ovyo

Manispaa moja jijini London imeanza kutekeleza mbinu mpya ya kukabiliana na waendao haja ndogo ovyo ovyo kwa kuweka rangi yenye uwezo wa kurushia anayekojoa mkojo wake kwenye kuta.

 

9 years ago

Mwananchi

Tabia za ovyo za wazazi zinaathiri makuzi ya watoto

Upo msemo wa Kiswahili usemao; mtoto wa nyoka ni nyoka au mwana wa muhunzi asipo sana, hufukuta. Huu ni ukweli usiopingika kwa kutazama jinsi tabia nzuri au mbaya za mzazi zinavyoweza kuathiri makuzi ya mtoto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani