Waziri Nagu akiwa nchini Ubelgiji
Waziri wa Uwekezaji na Uwezashaji Mhe. Dr Mary Michael Nagu akibadilishana mawazo na wamiliki wa Viwanda wa Wetteren Ubelgiji baada ya kumaliza ziara ya kutembelea baadhi ya Viwanda. Jana Waziri Nagu alibainisha fursa mbalimbali za uwekezaji zilizo Tanzania katika Kongamano la Biashara liloandaliwa na Taasisi ya Biashara ya Ubelgiji kwa kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji. Kongamano hilo lilifanyika jijini Brussels Ubelgiji.
Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji Dr. Mary Michael Nagu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8D2pcmCgfJQ/VBASkuYsAXI/AAAAAAAGiXE/ZGRtzNgAidg/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
WAZIRI NAGU AHUTUBIA WAFANYABIASHARA WA UBELGIJI NA LUXEMBOURG
![](http://3.bp.blogspot.com/-8D2pcmCgfJQ/VBASkuYsAXI/AAAAAAAGiXE/ZGRtzNgAidg/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Akiwa Waziri Mkuu eti wapigwe tu, akiwa rais si atasema wachinjw
MOJA ya wosia wa Baba wa Taifa Julius Nyerere ni kutaka wanaoutamani urais wa nchi kujitokeza mapema ili wananchi wapate muda wa kutosha wa kuwatambua, kuwafahamu na kuwajadili. Alisema hivyo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-unHIwAIZ8PM/U8LE74puILI/AAAAAAAF13Y/LHyy6E8qcjU/s72-c/1009.jpg)
Wajasiriamali nchini kujengewa uwezo zaidi-Dr Nagu
![](http://4.bp.blogspot.com/-unHIwAIZ8PM/U8LE74puILI/AAAAAAAF13Y/LHyy6E8qcjU/s1600/1009.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eyfHLLrzuqE/VG2oTVltvLI/AAAAAAAGyY8/JA7XxDdmWag/s72-c/unnamed.jpg)
WAZIRI NAGU AZINDUA ZIARA YA WAFANYABIASHARA KUTOKA UBELIGIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-eyfHLLrzuqE/VG2oTVltvLI/AAAAAAAGyY8/JA7XxDdmWag/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI NAGU ATEMBELEA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO
Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu amefanya ziara ya kujitambulisha kwa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ambayo ni moja taasisi anazoziratibu.
Akizungumza wakati wa ziara hiyo Dkt. Nagu alitoa wito kwa Tume ya Mipango ijielekeze katika kujibu changamoto kuu za kiuchumi zinazowakabili watanzania kwa sasa ikiwemo umaskini miongoni kwa Watanzania walioko vijijini, ukosefu wa wa viwanda vya kuongeza thamani mazao hasa kipindi hiki Tanzania...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g9XhbTZMRJk/U_MwBZjNw6I/AAAAAAAGAt0/pLMtqnG6If4/s72-c/001.TPSF.jpg)
WAZIRI MARY NAGU AFUNGUA WARSHA YA WAFANYABIASHARA NA WATOA HUDUMA SEKTA YA FEDHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g9XhbTZMRJk/U_MwBZjNw6I/AAAAAAAGAt0/pLMtqnG6If4/s1600/001.TPSF.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tzup1XUsUwE/U_MwKQMYArI/AAAAAAAGAug/0Mn3SpQ-kco/s1600/002.TPSF.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sYs9lZ-4b3c/U8kh_rIVF0I/AAAAAAAF3ZM/CiCJLNEJ2FA/s72-c/unnamed.jpg)
MH. LOWASSA AKUTANA NA BALOZI WA UBELGIJI NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-sYs9lZ-4b3c/U8kh_rIVF0I/AAAAAAAF3ZM/CiCJLNEJ2FA/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3I0EAUfI-rA/VUy3WFAXmhI/AAAAAAAHWSM/vzjCOiARcUA/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
Waziri Nagu amwakilisha Rais Kikwete kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Asia na Afrika, Jakarta,Indonesia
![](http://1.bp.blogspot.com/-3I0EAUfI-rA/VUy3WFAXmhI/AAAAAAAHWSM/vzjCOiARcUA/s640/unnamed%2B(28).jpg)