Waziri Nyalandu atoa mpya
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema kuanzia sasa mwanamke yeyote atakayekutwaa amevalia urembo uliotengenezwa kwa nakshi na malighafi ya meno ya tembo atakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Nov
WAZIRI NYALANDU ATOA WITO KWA VIONGOZI WA DINI KUHUSU KUKEMEA UJANGILI NCHINI.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/nyalandu-jan23-2014.jpg)
Na Anitha Jonas – Maelezo.03 Novemba, 2014.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu ametoa wito kwa Viongozi wa dini wote nchini kupaza sauti kwa pamoja kukemea vitendo vya Ujangili pamoja na Uharibifu wa mazingira nchini.
Wito huo ameutoa leo jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua mkutano wa viongozi wa dini unaolenga kuwaelimisha viongozi hao kutoa elimu kwa waumini wao juu ya kupinga suala la ujangili na kuwasihi juu ya...
10 years ago
MichuziWAZIRI NYALANDU APOKEA NDEGE MPYA LEO
Akipokea ndege hiyo jijini Dar es Salaam,Waziri Nyalandu alisema ndege hiyo ni mpya kabisa na ya usalama wa hali ya juu kutokana na muunekano wake kuwa wakisasa zaidi.
"Hii ndege ni salama zaidi kwasababu yenyewe imejengwa na...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Ninazo picha za Lazaro Nyalandu akikabidhi rasmi ofisi kwa Waziri mpya wa Maliasili na Utalii
Dec 23 2015 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alimalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake. Sasa leo Dec 29, 2015 aliyekuwa waziri wa Utalii na Maliasili, Lazaro Nyalandu amekabidhi rasmi ofisi […]
The post Ninazo picha za Lazaro Nyalandu akikabidhi rasmi ofisi kwa Waziri mpya wa Maliasili na Utalii appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yNaMN-ZUtdQ/VZJfxCoyz2I/AAAAAAAC79s/8snjCh3cANI/s72-c/10.jpg)
WAZIRI NYALANDU AZINDUA KAMPENI MPYA YA KUWAHAMASISHA WATANZANIA KUTEMBELEA HIFADHI ZA TAIFA JIJINI MWANZA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-yNaMN-ZUtdQ/VZJfxCoyz2I/AAAAAAAC79s/8snjCh3cANI/s640/10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mQmu0-DQUYY/VZJf6EfuA7I/AAAAAAAC790/z1DpqFwjTjQ/s640/11.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7F975s5rOKj9as-7TklWRFpQnCrmLP4fKunjdxT2SNd6t550CwhT3gbi2M1cm5farmmRwjRorvSQdvTrnMUPplwLvvsjkGY5/unnamed1.jpg?width=650)
WAZIRI NYALANDU AKUTANA NA WAZIRI MWENZAKE WA UTALII WA KENYA KWENYE MAONESHO YA ITB BERLIN
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XgbQEQme7mo/VPpCGLJQEuI/AAAAAAAHIc8/1KvRQe_z8i4/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
WAZIRI NYALANDU AKUTANA NA WAZIRI MWENZAKE WA UTALII WA KENYA KWENYE MAONESHO YA ITB BERLIN
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IlUX14oJkoE/VoJZY-7_rNI/AAAAAAAAASs/Iz1fKrcaDRI/s72-c/DSC_4403.jpg)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII PFOF. JUMANNE MAGHEMBE AKABIDHIWA RASMI OFISI LEO NA ALIYEKUWA WAZIRI WA WIZARA HIYO LAZARO NYALANDU
![](http://3.bp.blogspot.com/-IlUX14oJkoE/VoJZY-7_rNI/AAAAAAAAASs/Iz1fKrcaDRI/s640/DSC_4403.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b1A2YvSAAcw/VoJZcRwLIQI/AAAAAAAAAS4/2ZSG905gCwQ/s640/DSC_4409.jpg)
11 years ago
Habarileo12 Jul
Waziri Nyalandu acharuka
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ameifutia umiliki wa vitalu vitatu kampuni ya Green Miles Safaris Ltd pamoja na vibali vya uwindaji kwa kuvunja sheria ya uhifadhi wa wanyamapori.
10 years ago
Habarileo09 Oct
Lukuvi amshitaki Waziri Nyalandu
MBUNGE wa Ismani na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi amemtaka Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana kuhoji utendaji kazi wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.