Waziri wa mambo ya ndani Mh. Mathias Chikawe kuwa mgeni rasmi katika kongamano la Usalama wa mitandao (Cyber Defence East Africa 2014).
![](http://2.bp.blogspot.com/-8ARzDGN4qvE/U9ot_3c_3pI/AAAAAAACmgs/MNpL8iMm9Ws/s72-c/New+Picture+(1).png)
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mh Mathias Chikawe atakuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa kangamano la usalama wa mitandao (Cyber Defense East Africa 2014) tar 16-19 Septemba.
Wadau mbalimbali wa sekta ya ulinzi na usalama wa mitandao wakiwemo wanasheria, wakaguzi wa kifedha na wale wa mitandao, wataalamu wa utunzaji mifumo ya kopyuta na mitando yake, wakuu wa vitengo vya TEHAMA wanatarajiwa kuhudhuria kongamano hilo.
Mkutano wa ulinzi na usalama wa mitandao hufanyika kila mwaka hapa Tanzania na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziHOTUBA YA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MATHIAS CHIKAWE (Mb) ALIYOTOA KATIKA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI TAREHE 21 OKTOBA, 2015 KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA WIZARA
Ndugu Waandishi wa Habari, Mabibi na Mabwana,Kama mnavyojua tarehe 25 ya mwezi huu wa Oktoba mwaka 2015 siku ya Jumapili katika nchi yetu kutafanyika Uchaguzi Mkuu kwa ajili ya kuchagua rais, wabunge na madiwani zoezi ambalo litawashirikisha watanzania wote...
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MHE. MATHIAS CHIKAWE AZINDUA RASMI HUDUMA ZA "DUTY FREE SHOP" GEREZA KUU LILUNGU, MKOANI MTWARA
Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza nchini wametakiwa kutumia fursa ya maduka yenye bidhaa nafuu "Duty Free Shop" zilizofunguliwa katika Magereza mbalimbali ili kupata vifaa vya ujenzi na kujenga makazi yaliyobora na ya kudumu kabla ya kustaafu Utumishi wao Jeshini.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe alipokuwa akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Magereza "Duty Free Shop" ya Gereza Kuu Lilungu, Mkoani Mtwara.
Amesema kuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mv_9QLnuN7g/U6RUtrMpfxI/AAAAAAAFsA4/90w4MqCyKMg/s72-c/PIX+1.jpg)
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MATHIAS CHIKAWE ATEMBELEA MABANDA YA WIZARA YAKE KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA, VIWANJA VYA MANAZI MMOJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mv_9QLnuN7g/U6RUtrMpfxI/AAAAAAAFsA4/90w4MqCyKMg/s1600/PIX+1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GrgsMUWVNB4/UvjBuH4z65I/AAAAAAAFMLE/fpdVIawxr2E/s72-c/unnamed+(29).jpg)
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI MH. MATHIAS CHIKAWE AKUTANA NA MWAKILISHI MKAZI WA UNHCR TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-GrgsMUWVNB4/UvjBuH4z65I/AAAAAAAFMLE/fpdVIawxr2E/s1600/unnamed+(29).jpg)
10 years ago
Michuzi09 Sep
10 years ago
Michuzi19 Jun
9 years ago
MichuziUJUMBE WA KAMPUNI YA POLY TECHNOLOGIES, INC. YA CHINA WAMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI , MHE. MATHIAS CHIKAWE OFISINI KWAKE