Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wema na wenzake kunadi amani, utulivu

KUNDI la wasanii wa kike wa Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ wakiongozwa na Wema Sepetu wanatarajia kufanya tamasha kubwa la Mama Ongea na Mwanao 2015 kwa ajili ya kuhamasisha watu kuwaheshimu wanawake na kuwathamini kuelekea kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu 2015.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Tunawatakia uchaguzi wa amani na utulivu

JUMAPILI ijayo, Watanzania watafanya uamuzi wa kuchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Habarileo

‘CCM italinda amani, utulivu’

Rais na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na wananchi na wanaCCM wa mikoa ya Pemba katika uzinduzi wa sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM Uwanja wa Gombani Wilaya ya Chake Chake, Pemba jana. (Picha na Mpigapicha Wetu).MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema CCM itasimamia misingi yake mikuu ya kuasisiwa kwake, ambayo ni kulinda amani na utulivu wa wananchi wake.

 

9 years ago

Habarileo

Mitihani yaanza kwa amani na utulivu

MTIHANI wa kidato cha nne ulioanza jana nchini kote umeanza kwa hali ya utulivu na amani katika shule mbalimbali za jiji la Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania watakiwa kulinda amani, utulivu

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWATANZANIA wametakiwa kulinda amani ya nchi kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo ili kuliletea taifa maendeleo.

 

11 years ago

Habarileo

IGP: Amani, utulivu nchini ni lazima

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu mkakati wa Jeshi lake katika kupambana na vitendo vya uhalifu. Mwingine ni Naibu wake, Abdulrahman Kaniki. (Picha na Fadhili Akida).MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu, amesema ni lazima nchi ikae kwa amani na utulivu, hivyo wananchi wanapaswa kutii sheria bila shuruti kwa kutumia njia halali za kudai haki na kufuata utaratibu unaokubalika.

 

10 years ago

Habarileo

Asisitiza amani na utulivu kwenye uchaguzi

KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga, Shija Othmani amewahimiza wafuasi wa vyama mbalimbali na wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu kwenye kipindi hiki cha kumalizia kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na siku ya uchaguzi ili kufanikisha kazi hiyo.

 

9 years ago

StarTV

Wanasiasa wahimizwa kulinda amani na utulivu

 

Wanasiasa wa vyama mbalimbali wametakiwa kuilinda na kuiendeleza amani  na utulivu iliyopo nchini katika kipindi hiki cha kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu kwa kutotoa maneno yatakayo hamasisha watanzania kufanya vurugu

Wakiongea na Star Tv baadhi ya wananchi wamesema kuwa toka nchi ipate uhuru haijawahi kufanya uchaguzi uliyo na ushindani mkubwa kama wa mwaka huu kutokana na joto la uchaguzi na ushabiki kuwa kubwa .

 

Mkuu wa wilaya ya Kondoa Shabani Kisu  anapata nafasi katika uzinduzi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wasira asifu amani na utulivu kwa Watanzania

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira, amesema Watanzania wamebarikiwa amani, umoja na utulivu ndiyo maana kila jambo wanalolifanya linafanikiwa bila matatizo. Wassira alisema miongoni mwa...

 

9 years ago

Habarileo

Upigaji kura waendelea kwa amani na utulivu

WATANZANIA leo waliamka mapema na kuwahi katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuchagua viongozi wao watakaoliongoza taifa lao katika kipindi cha miaka mitano ijayo.

Misururu mirefu imeonekana katika maeneo mengi ya nchi hususani katika jiji la Dar es Salaam, hali inayoonesha kuwa watu wajejawa na hamasa kubwa ya kuchagua kiongozi wao kama walivyokuwa wakijitokeza katika mikutano ya kampeni.

Watu wengi wamejitokeza katika vituo mapema kabisa leo alfajiri ambapo vituo vilifunguliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani