Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wema: Umaarufu hauna faida kwake

Dk. Damas Ndumbaru MWANADADA anayetamba katika tasnia ya filamu nchini, Wema Sepetu amesema kuwa kila kukicha yeye anafikiria jinsi ya kupata mafanikio makubwa zaidi kushinda aliyonayo sasa kwani umarufu kwake...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

FAIZA: USHINDI WA SUGU HAUNA FAIDA KWANGU

Lady Gaga wa Bongo, Faiza Ally. Imelda mtema Lady Gaga wa Bongo, Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi amefungukia ushindi wa mzazi mwenzake huyo na kudai kuwa haumsaidii chochote. Akizungumza juzi na Ijumaa, Faiza alisema alivyosikia ushindi wa Sugu wala hakufurahi kwani alimchukulia kama mtu mwingine tu aliyeshinda. “Mimi kwa kweli ushindi wa Sugu naona kama wa mtu mwingine, haunihusu wala...

 

10 years ago

Bongo Movies

HOJA:Ni kweli umaarufu wa Wema Sepetu umeshuka baada ya kuachana na Diamond?

Miaka kadhaa iliyopita, Diamond Platnumz alikuwa kijana mwenye ndoto kama underground wengine wa muziki walivyo na hasira ya kutoka. 

Kutoka kwenye familia ya kawaida (kama zilivyo familia nyingi za Kitanzania), Diamond alikuwa akihaha huku na kule kutafuta fedha ya kuingia studio. 

Fast forward – kwa kuungaunga hivyo hivyo alifanikiwa kurekodi wimbo uliokuja kubadilisha maisha yake, ‘Kamwambie’.

Ni wimbo aliouandika kwa hisia kutokana na kuhusisha kisa cha kweli cha kuachwa na msichana....

 

11 years ago

GPL

WEMA AFUTURISHA NYUMBANI KWAKE, AITA WAKWE, MAWIFI ZAKE

Wema akishukuru baada ya dua. Diamond akiwa katika dua. Baadhi ya futari.…

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Aendelea Kuwapa Hamasa Wanawake,Chukua Hii Kutoka Kwake

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu  mwenye followers zaidi ya laki nne kwenye mtandao wa Instagram kwa siku za hivi karibuni ameonyesha njia kwa mastaa na watu wengine baada ya kuamua kuanza kuposti  jumbe mabalimbali zenye manufaa kwa jamii na sio majungu ambayo hayana faida yoyote, Wema amekua akiachia jumbe hizo na  huku akitumia tag mbili za BeWemaFanyaWema na 2015WalkToRemember.

Amekuwa akiandika vingi kuhamasisha wanawake kwenye kujitafutia maendeleo huu ni muendelezo tu....

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe: Usaliti hauna msamaha

>Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema chama chake hakitavumilia vitendo vya usaliti na kwamba mwanachama yeyote atakayekiuka maagizo ya chama hicho atachukuliwa hatua kali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Nigeria hauna uhakika

Uchaguzi mkuu wa Nigeria huenda ukaakhirishwa iwapo majadiliano ya tume ya uchaguzi na pande husika yataafikiana

 

10 years ago

Mwananchi

Hauna ushirikina katikanmimba hizi

Yapo mambo mengi ambayo hutokea katika jamii zetu na kwa mtazamo wa haraka huonekana kuwa pengine ni kiini macho na pengine kuhusisha na imani za kishirikina.

 

9 years ago

GPL

MKWASA: MPIRA WA SASA HAUNA MWENYEWE

Kocha wa Taifa Stars mzawa, Charles Boniface Mkwasa. *Aizungumzia kambi ya Taifa Stars Afrika Kusini Na Saleh Ally KIKOSI cha timu ya taifa ya soka ya Tanzania, Taifa Stars kimeweka kambi jijini Johannesburg,  Afrika Kusini kujiandaa na mechi dhidi ya Algeria. Stars itaivaa Algeria katika mechi ya kuwania kucheza Kombe la Dunia mwaka 2018. Mechi hiyo itapigwa Novemba 14 jijini Dar es Salaam, kabla ya kurudiana Novemba 17 jijini...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli: Uadilifu wangu hauna shaka

MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema uadilifu wake ni wa kuaminika na ameamua kujitoa sadaka kwa ajili ya kutumikia Watanzania katika uhai wake. Akihutubia mkutano wa kampeni mjini Katesh wilayani Babati mkoani Manyara, jana, Magufuli alisema anachotaka ni kufanya kazi na si siasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani