Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WENGI WAJITOKEZA MAZISHI YA EVERLYNE MACHELLAH

 Katekista wa Kanisa Katoliki Mwananyala akiongoza ibada ya kuaga mwili wa marehemu, Everlyne Michael Machellah nyumbani kwao Mwananyamala jijini Dar es Salaam leo. (Picha zote na Francis Dande)Ibada ikiendelea.Michael Machellah akiwa na waombolezaji wengine. Ibada ikiendelea. Mama wa marehemu (kulia) akiwa na huzuni wakati wa ibada ya kuaga mwili nyumbani kwao Mwanyamala.Michael Machellah akiwa na huzuni wakati wa ibada ya kuaga mwili wa mtoto wake Everlyne.

BOFYA HAPA KWA PICHA...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WENGI WAJITOKEZA MAZISHI YA MWANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO, MAREHEMU BARAKA KARASHANI LEO

 Mwili wa Mwandishi wa Habari marehemu Baraka Karashani ukiwasili katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande) Mke wa Marehemu, Baraka Karashani, Gloria na watoto wake Bonny na Belinda wakiweka shada la maua katika kaburi wakati wa mazishi yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es SalaamMzee Phili Karashani akitoa neno la shukrani wakati wa mazishi ya mtoti wake Baraka Karashani. Mtoto wa marehemu, Baraka Karashani akiwa ameshika picha ya...

 

11 years ago

Michuzi

WENGI WAJITOKEZA KATIKA BANDA LA UTT ASSET MANAGEMENT

Ofisa Mwendeshaji Mafunzo  UTT Asset Management, Hilder Lyimo (kulia),  akitoa maelezo kwa mwananchi aliyefika katika banda la UTT jinsi mifuko ya Uwekezaji wa pamoja inavyoweza kumpa fursa ya kushiriki katika Masoko ya Fedha na Mitaji ili kukuza pesa zake.  Ofisa Mwendeshaji wa UTT Asset Management, Ahmed Salmin Mabrouk akielezea faida za kuwekeza katika mifuko ya uwekezaji wa pamoja inayoendeshwa na utt asset managenet  kwa wananchi waliotembelea banda lao katika viwanja vya Nanenane ...

 

10 years ago

GPL

WENGI WAJITOKEZA KWENYE USAILI WA SHINDANO LA TMT JIJINI MWANZA

Baadhi ya washiriki kutoka Kanda ya Ziwa wakipewa maelekezo kutoka kwa mfanyakazi wa TMT kwa ajili ya kuanza usaili. Washiriki wa shindano la TMT 2015 jijini Mwanza wakipewa semina elekezi. Washiriki wakiwa tayari kuingia chumba cha majaji kwa ajili ya kuanza usaili. Na Andrew…

 

11 years ago

GPL

WANANCHI WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI JIMBO LA KIEMBESAMAKI

Wananchi Jimbo la Kiembesamaki, Zanzibar wakiangalia majina yao kujua vituo vyao walivyopangiwa kupiga kura leo asubuhi. Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
HABARI kutoka Zanzibar zinasema uchaguzi mdogo wa uwakilishi Jimbo la Kiembesamaki kisiwani humo unaendelea vizuri na wapiga  kura wengi wamejitokeza kwenda kutimiza haki yao ya kimsingi. Ulinzi umeimarishwa katika vituo vya kupigia kura. Mwandishi wetu wa huko anasema jana...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WENGI WAJITOKEZA ZOEZI LA USAJILI NA UTAMBUZI WA WATU MKOANI MTWARA

Zoezi la Usajili Vitambulisho vya Taifa limeendelea mkoani Mtwara, ambapo wananchi wamejitokeza kwa wingi kujisajili, kama wakazi hawa wa Wilaya za Tandahimba na Newala walivyokutwa wakishiriki kikamilifu kujisajili.
Moja ya changamoto kubwa iliyojitokeza ni wakazi wengi hususani maeneo ya vijijini kukosa mashine za photocopy, huku baadhi wakikosa nyaraka muhimu za kuwatambulisha. Changamoto nyingine ni waombaji wengi kutokuwa na taarifa sahihi za umri wao binafsi na wazazi huku...

 

9 years ago

Vijimambo

KITUO CHA SEGEREA MAGEREZA HALI NI SHWARI WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA

 Wakazi wa Segerea wakiwa katika foleni kwaajili ya kuendelea na zoezi la kupiga kura katika kituo cha Magereza Segerea muda huu huku hali ya usalama ikiwa shwari kabisa Foleni ikiwa bado ndefu huku mwamko ukiwa mkubwa kwa rika zote kuanzia vijana na wakina mama na baba zoezi linaendelea vizuri mpaka sasa
 Blogger Josephat Lukaza akiwa katika  foleni ya kupiga kura katika kituo changu cha Magereza segerea kwaajili ya kupiga kura kumchagua kiongozi atakayenifaaPicha zote na Josephat Lukaza wa...

 

11 years ago

Michuzi

WENGI WAJITOKEZA KWENYE SEMINA MAALUM YA UONGOZI BORA ILIYOANDALIWA NA MIKONO SPEAKERS

Nguli wa Maswala ya Uongozi na Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Kimataifa ya Brian Tracy kutoka nchini Marekani,Brian Tracy akikiongoza semina maalum ya uongozi bora iliyoandaliwa na Mikono Speakers,iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere,Jijini Dar es Salaam.Nguli mwingine alietoa mada kwenye Semina hiyo ni Azim Jamal ambaye ni Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Corporate Sufi Worldwide Inc. kampuni inayojihusisha na kusaidia wadau na makampuni kupata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani