WENGI WAJIUNGA NA NSSF MAONYESHO YA NANENANE
![](http://3.bp.blogspot.com/-9M8T88w0SLs/VcQ2OHyPAII/AAAAAAABetg/XqfXU_Zvj7o/s72-c/CMPR2.jpg)
Meneja Kiongozi wa Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume akiwaelezea faidaza kujiunga na mfuko huo wakazi wa Mkoa wa Lindi waliofika kwenye banda la NSSF kwenye maonesho ya Nanenane yanayofanyika kitaifa mkoani humo.
Meneja Kiongozi wa Masoko Na Uhusiano Eunice Chiume akiwapa Maelezo ya Faida za kuwa Mwanachama wa NSSF wanachama waliotembelea banda la NSSF mkoani Lindi.
Mwanachama wa Hiari, Mrisho Mpoto akilipia michango yake kwenye maonesho ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PkWFCRKOPBA/VcBkWhhCi3I/AAAAAAABeko/ziu4xXzPqEg/s72-c/MENEJA%2BPPF.jpg)
BANDA LA NSSF LAVUTIA WENGI MAONYESHO YA NANENANE
![](http://4.bp.blogspot.com/-PkWFCRKOPBA/VcBkWhhCi3I/AAAAAAABeko/ziu4xXzPqEg/s640/MENEJA%2BPPF.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tB6Rr8lm3L0/Vb93Vuy7l6I/AAAAAAABej8/M4Vbp-eOino/s640/KABONA.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--Cy7E4ZjVWk/Vb93VjN6AMI/AAAAAAABej0/DOJymq28cF0/s640/MSTAAFU.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZywaiZ1akQ4/Vb93VuZ1jCI/AAAAAAABej4/mKEbgNO18FA/s640/TAZPAD.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QfKUtqKSCiA/Vlwd-1NXThI/AAAAAAABlDU/3OXh7_7qZqk/s72-c/Eunice.jpg)
WAKULIMA ZAIDI YA 300 WA MKOA WA MTWARA WAJIUNGA NA NSSF
Kampeni hiyo yenye malengo ya kufikia umma wa Watanzania ambao haujafikiwa na elimu ya Hifadhi ya jamii, Kuwaandikisha kujiunga na NSSF ili kuongeza wigo wa wanachama na pia Kupata mrejesho wa huduma zetu kutoka kwa wanachama wa mfuko.
Imemaliza mkoani Mtwara na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-42J_0TeU7nw/Vb2R_cnDOgI/AAAAAAABedc/Q6H6_Ru09Lo/s72-c/MAAFISA%2BGAZETI.jpg)
NSSF YASHIRIKI MAONESHO YA KITAIFA YA NANENANE LINDI
11 years ago
Dewji Blog03 Aug
Pinda afungua maonyesho ya Nanenane Mbeya
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kitazama mkungu wa Ndizi uliletwa katika maonyesho ya nanenane Mbeya na Bosco Luambano (kulia) wa Kijiji cha Hanga wilayani Namtumbo katika maonyesho yaliyofanyika kwenye viwanja vya John Mwakangale Augost 2, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama Mhogo kutoka kijiji cha Itunya wilayani Mpanda katika maonyesho ya nanenane aliyoyafungua jana kwenye viwanja vya John Mwakangale Mbeya.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akibeba Boga...
10 years ago
Mwananchi07 Aug
Tuyape maonyesho ya Nanenane mtazamo mpya
10 years ago
Dewji Blog05 Aug
Pinda afungua maonyesho ya nanenane kitaifa Lindi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua maonyesho ya Nanenane kitaifa kwenye uwanja wa Ngongo Lindi Agosti 4, 2015. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa lindi, Mwantumu Mahiza na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendego. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
MichuziSIKU YA PSPF YAFANA SABASABA WENGI WAJIUNGA NA MFUKO
Siku ya PSPFiliyoandaliwa na Mfuko wa Pensheni wa PSPF ilifana na kuvutia mamia ya wananchi waliotembelea maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam yaliyomalizika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.Siku hiyo ni maaluma kwa ajili ya kutoa elimu ya Mfuko wa PSPF kwa umma ili waweze kupata uelewa mpana wa sekta ya Hifadhi ya Jamii hususan bidhaa na huduma zinazotolewa na PSPF, kwa mwaka huu, PSPF ililenga kuhimiza watanzania kujiunga na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jNXOK5856h8/U-TVr-pnDCI/AAAAAAAF96k/egiG2tm5l9g/s72-c/unnamed+(73).jpg)
MH. PINDA AFUNGA MAONYESHO YA NANENANE KANDA YA ZIWA JIJINI MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-jNXOK5856h8/U-TVr-pnDCI/AAAAAAAF96k/egiG2tm5l9g/s1600/unnamed+(73).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-691VFTxJ90U/U-TVtDO-coI/AAAAAAAF96s/JX6dIPjzVts/s1600/unnamed+(74).jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA AWASILI MWANZA KUFUNGA MAONYESHO YA NANENANE