Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Western Jazz ilivyotesa na mtindo wa Saboso katika muziki

Bendi ya Western Jazz ilikuwa kongwe miongoni mwa bendi za wakati wake na ilianzishwa mwaka 1959, kabla ya nchi yetu haijapata Uhuru.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watoto na muziki wa Jazz, Kenya

Watoto katika kitongoji kimoja Nairobi Kenya, wamekuwa wakifunzwa na kucheza muziki wa Jazz kama njia ya kuepukana na maovu.

 

9 years ago

Bongo5

Mc Koba aeleza sababu za kuamua kutumia mtindo wa mchiriku na mdundiko kwenye muziki wake

koba

Aliyewahi kuwa muimbaji wa kundi la zamani la Watu Pori kutoka Morogoro, Mc Koba amesema ameamua kufanya mabadiliko kidogo katika style ya muziki wake ili kwenda sawa na matarajio ya wengi ambao hupenda kuona mabadiliko kutoka kwa wasanii ambao wako kwenye game kwa muda mrefu.

koba

Akizungumza kupitia E Newz ya EATV, Koba ametoa sababu nyingine ya kuamua kufanya aina ya muziki wenye mchanganyiko wa mdundiko na mchiriku.

“Kwanini nimeamua kufanya mtindo huu aina ya mchanganyiko wa mdundiko na...

 

10 years ago

Michuzi

COPY & PASTE YA TP OK JAZZ YA KILWA JAZZ ENZI HIZO

Ukimaliza wimbo huu sikiliza wa hapo chini....

 

10 years ago

Mwananchi

Makonda aapishwa rasmi, aja na mtindo wa STK katika utendaji

Licha ya baadhi ya watu kubeza uteuzi wake, Mkuu  wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda ameapishwa leo jijini Dar es Salaam na kusema kuwa atatekeleza majukumu yake kwa mtindo alioupa jina la STK, akimaanisha atafuata Sheria, Taratibu na Kanuni.

 

9 years ago

Mtanzania

Mr. Blue: Ndoa ina neema katika muziki

Mr. Blue, mkewe na watotoNA THERESIA GASPER

MSANII wa kizazi kipya nchini, Khery Sameer ‘Mr Blue’, amewaeleza wasanii wenzake ambao hawajaolewa na wale wasiooa kwamba ndoa ina neema kubwa kimuziki hivyo watimize jambo hilo mapema.

“Inasikitisha vijana wengi wake kwa waume waliofikisha umri wa kuoa na wale wa kuolewa wanakwepa kutimiza ndoa wakihofu kupotea kimuziki lakini nawaeleza kwamba ndoa ina uhusiano mzuri na mafanikio ndiyo maana wengi waliooana wanafanya vizuri katika mambo yao,” alieleza Mr...

 

10 years ago

GPL

JOH MAKINI: TUKUBALI KUKOSELEWA KATIKA MUZIKI

Ofisa wa sanaa kutoka Balaza la sanaa (BASATA)Augustino Kihiyo(kushoto) John Saimon 'Joh Makin'(katikati) pamoja na G-Nako. Baadhi ya wasanii na wanafunzi wa Chuo Cha Habari cha DSJ wakifuatilia mkutano huo.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

H BABA: Mwanasoka anayetikisa katika muziki ‘Takeu’

WAHENGA walisema: ‘Mshika mbili moja humponyoka’. Ni usemi unaotumiwa na kuitahadharisha jamii kutoshiriki masuala mawili kwa wakati mmoja, kwani kuna uwezekano mkubwa wa kutofanikiwa yote. Ni sawa na kusema: ‘Mtaka...

 

10 years ago

Mwananchi

Vee Money azungumzia fitina katika muziki

 Mwanamuziki wa kike, Vanessa Mdee maarufu kwa jina la Vee Money, amewataka wasanii kujituma katika kazi na kuachana na fikra hasi anazoamini ni kikwazo kwa walio wengi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani