Wezi mafao ya wastaafu kukiona
SERIKALI imewakemea watumishi wake wanaoiba fedha za mafao ya wastaafu, kwa kushirikiana na benki zinakopitishwa au kuhifadhiwa, na kusema kuwa, itawachukulia hatua za kisheria, ikiwa ni pamoja na kuwafukuza kazi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Wastaafu wataka mafao
WASTAAFU wa iliyokuwa Tanganyika Packers, wameitaka serikali kuwalipa mafao yao kabla ya kuruhusu Shirika la Nyumba (NHC), kubomoa nyumba zao. Wakizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, wazee...
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Mafao ya pensheni ya wastaafu juu
KILIO cha muda mrefu cha wastaafu kutofautina mafao ya pensheni katika Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, sasa kimepatiwa majibu baada ya Serikali kuamua kuanzisha fomula mpya ya kukokotoa. Fomula hiyo mpya...
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Talgwu yapinga mafao ya wastaafu kupunguzwa
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Serikali yakana wastaafu kupunjwa mafao
SERIKALI imesema madai kuwa mafao yanayolipwa kwa wastaafu sio sahihi hayana ukweli wowote. Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima, alieleza hayo bungeni jana alipokuwa akijibu swali la Mbunge...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Wezi wa maji kukiona
SERIKALI imeimarisha mapambano dhidi ya watu wanaotumia maji bila kufuata taratibu na sheria na kusababisha upungufu kwa watumiaji wengine na hasara kubwa ya mapato. Mwenyekiti wa Kamati Maalum ya Wizara...
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wastaafu watakiwa kuhakiki taarifa za mafao yao ya uzeeni
Meneja Uhusiano na Masoko kutoka Mfuko wa Pensheni wa PPF Bi. Lulu Mengele akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo Pichani) kuhusu wastaafu kwenda kuhakiki taarifa za mafao katika Ofisi za Mfuko huo, wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Frank Mvungi.
Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria Mkutano huo wakimsikiliza Meneja Uhusiano na Masoko kutoka Mfuko wa Pensheni wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZIdjl36CuVI/VVtjxnqCavI/AAAAAAABTiw/jrYNsecPhJ0/s72-c/DSC04406.jpg)
SSRA yatoa ufafanuzi kuhusu Kanuni No. 13 ya mafao ya wastaafu
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZIdjl36CuVI/VVtjxnqCavI/AAAAAAABTiw/jrYNsecPhJ0/s640/DSC04406.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nQ47uTNjpsk/VVtjw3Bsi5I/AAAAAAABTio/qAf-u-uQ5k4/s640/SSRA.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XydCh_5OdxI/Xp7L9YM9izI/AAAAAAALntQ/z1175iEDe20W4rbtO7tpFytfAVXzhUwkgCLcBGAsYHQ/s72-c/001-1.jpg)
SERIKALI KUTATUA SUALA LA WASTAAFU KUTOPATA MAFAO KWA WAKATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-XydCh_5OdxI/Xp7L9YM9izI/AAAAAAALntQ/z1175iEDe20W4rbtO7tpFytfAVXzhUwkgCLcBGAsYHQ/s640/001-1.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George Huruma Mkuchika (Mb) akitoa ahadi Bungeni ya kutatua changamoto ya ucheleweshwaji wa mafao ya wastaafu wakati akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021.
………………………………………………………………..
James K. Mwanamyoto-Dodoma
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imepanga kukutana na Maafisa Utumishi wote nchini ili kuwakumbusha na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zHUf-Q1ME7A/U-MK5IolFHI/AAAAAAACm8I/nqzn1mpKM2E/s72-c/IMG_5616.jpg)
WEZI WA KAZI ZA WASANII KUKIONA,KAMATA KAMATA YAANZA RASMI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zHUf-Q1ME7A/U-MK5IolFHI/AAAAAAACm8I/nqzn1mpKM2E/s1600/IMG_5616.jpg)
Mkurugenzi wa kampuni hiyo,Bwana Alex Msama amesema hayo jijini dar ,kuwa zoezi hilo limekwishaanza, na mpaka sasa wamekamatwa vijana wane katika mkoa wa Dodoma na watatu jijini Mwanza.
‘’Kuna kazi mbalimbali ambazo zinaibiwa kila kukicha huku wamiliki wa kazi hizo wakiendelea kushuka...