Wezi wa maji kukiona
SERIKALI imeimarisha mapambano dhidi ya watu wanaotumia maji bila kufuata taratibu na sheria na kusababisha upungufu kwa watumiaji wengine na hasara kubwa ya mapato. Mwenyekiti wa Kamati Maalum ya Wizara...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo24 Jun
Wezi mafao ya wastaafu kukiona
SERIKALI imewakemea watumishi wake wanaoiba fedha za mafao ya wastaafu, kwa kushirikiana na benki zinakopitishwa au kuhifadhiwa, na kusema kuwa, itawachukulia hatua za kisheria, ikiwa ni pamoja na kuwafukuza kazi.
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI(MUWSA) YAKAMATA WEZI WA MAJI
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAJI, MAKALLA AWANASA WEZI WA MAJI DAR NA KUTANGAZA KUFILISI MALI ZAO.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya ufyatuaji matofali ya Ujenzi Solutions, ya Kimara kwa Msuguri, Dar es Salaam, Rahim Hamis na mfanyabiashara wa kampuni isiyo na jina, Credo Rajab (kulia) wakiwa chini ya uliznzi wa Polisi huku wakiwa wamevishwa pingu baada Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla kuamuru kuwakamata alipokagua viwanda vyao vya ufyatuaji na kugundulika kuwa wanatumia maji isivyo halali kwa kujiunganishia kwenye bomba kuu la Mamlaka ya Maji Safi na Taka Dar ws Salaam (DAWASA). ...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zHUf-Q1ME7A/U-MK5IolFHI/AAAAAAACm8I/nqzn1mpKM2E/s72-c/IMG_5616.jpg)
WEZI WA KAZI ZA WASANII KUKIONA,KAMATA KAMATA YAANZA RASMI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zHUf-Q1ME7A/U-MK5IolFHI/AAAAAAACm8I/nqzn1mpKM2E/s1600/IMG_5616.jpg)
Mkurugenzi wa kampuni hiyo,Bwana Alex Msama amesema hayo jijini dar ,kuwa zoezi hilo limekwishaanza, na mpaka sasa wamekamatwa vijana wane katika mkoa wa Dodoma na watatu jijini Mwanza.
‘’Kuna kazi mbalimbali ambazo zinaibiwa kila kukicha huku wamiliki wa kazi hizo wakiendelea kushuka...
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Sadiki alia na wezi wa maji Dar
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MGNw72Z0tIs/U1oMdqIrr0I/AAAAAAAFc8o/i1ftT1RhpiM/s72-c/unnamed+(29).jpg)
MANAWASA yalia na wezi wa mita za maji Masasi
hivyo Mamlaka ya MANAWASA inawaomba wakazi wote wa mji wa masasi wenye nia njema na huduma hii muhimu kwa wananchi kutoa...
11 years ago
Habarileo02 Aug
Wezi waiba nyaya Zawa, uzalishaji maji wasimama
WATU wasiojulikana wameiba nyaya zenye madini ya shaba katika visima vya kusambaza maji vya Mamlaka ya Majisafi na salama Zanzibar ((Zawa).
10 years ago
Michuzi16 Dec
WAZIRI MAKALA AWATAKA WANANCHI KUWAFICHUA WEZI WA MAJI
Waziri Makala alisema kuwa serikali inafanya jitihada ya kuboresha huduma ya maji...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”