Sadiki alia na wezi wa maji Dar
KATIKA kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya maji Duniani, Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki amesema Mamlaka ya Maji Safi na Majitaka inatarajia kuanza kuzalisha maji kiasi cha lita 710milioni zaidi ya mahitaji ya sasa ambayo ni lita 450milioni ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAJI, MAKALLA AWANASA WEZI WA MAJI DAR NA KUTANGAZA KUFILISI MALI ZAO.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya ufyatuaji matofali ya Ujenzi Solutions, ya Kimara kwa Msuguri, Dar es Salaam, Rahim Hamis na mfanyabiashara wa kampuni isiyo na jina, Credo Rajab (kulia) wakiwa chini ya uliznzi wa Polisi huku wakiwa wamevishwa pingu baada Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla kuamuru kuwakamata alipokagua viwanda vyao vya ufyatuaji na kugundulika kuwa wanatumia maji isivyo halali kwa kujiunganishia kwenye bomba kuu la Mamlaka ya Maji Safi na Taka Dar ws Salaam (DAWASA). ...
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI(MUWSA) YAKAMATA WEZI WA MAJI
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Wezi wa maji kukiona
SERIKALI imeimarisha mapambano dhidi ya watu wanaotumia maji bila kufuata taratibu na sheria na kusababisha upungufu kwa watumiaji wengine na hasara kubwa ya mapato. Mwenyekiti wa Kamati Maalum ya Wizara...
9 years ago
IPPmedia06 Jan
Dar es Salaam Regional Commissioner Said Meck Sadiki
IPPmedia
IPPmedia
A total of 681 people with residences in Dar es Salaam's Msimbazi valley found reason to heave sighs of relief yesterday after the High Court (Land Division) ordered the demolition of their houses suspended pending the hearing of their petition ...
New classrooms ready soonDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 3
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MGNw72Z0tIs/U1oMdqIrr0I/AAAAAAAFc8o/i1ftT1RhpiM/s72-c/unnamed+(29).jpg)
MANAWASA yalia na wezi wa mita za maji Masasi
hivyo Mamlaka ya MANAWASA inawaomba wakazi wote wa mji wa masasi wenye nia njema na huduma hii muhimu kwa wananchi kutoa...
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Mar
Shekifu alia na tatizo la maji
MBUNGE wa Lushoto (CCM), Henry Shekifu, amelalamikia tatizo la maji mkoa wa Tanga na kuilaumu serikali kwa kutoa ahadi za mara kwa mara huku ikishindwa kuzitekeleza.
Akiuliza swali bungeni mjini hapa jana, Shekifu alisema kwa muda mrefu serikali iliahidi kupeleka maji katika wilaya ya Muheza lakini haijatimiza.
Aidha, Shekifu alitaka kuhakikishiwa kama kuna fungu lolote lililotengwa kwa ajili ya utekelezaji miradi ya maji katika wilaya hiyo kwenye bajeti ya mwaka huu wa fedha.
“Serikali...
11 years ago
Habarileo02 Aug
Wezi waiba nyaya Zawa, uzalishaji maji wasimama
WATU wasiojulikana wameiba nyaya zenye madini ya shaba katika visima vya kusambaza maji vya Mamlaka ya Majisafi na salama Zanzibar ((Zawa).
10 years ago
Michuzi16 Dec
WAZIRI MAKALA AWATAKA WANANCHI KUWAFICHUA WEZI WA MAJI
Waziri Makala alisema kuwa serikali inafanya jitihada ya kuboresha huduma ya maji...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CkikTYdzhG8/VTXoYuS7RTI/AAAAAAABsYo/dNVo0pwJHh0/s72-c/RC%2B1.jpg)
DC SAIDI MECK SADIKI AZUNGUMUZA NA WATENDAJI WAGANGA WAKUU MKOANI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-CkikTYdzhG8/VTXoYuS7RTI/AAAAAAABsYo/dNVo0pwJHh0/s1600/RC%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ox5EJ6YxCIo/VTXobnbwGNI/AAAAAAABsYw/SW7fbO7UJVE/s1600/RC%2B2.jpg)