Wastaafu watakiwa kuhakiki taarifa za mafao yao ya uzeeni
Meneja Uhusiano na Masoko kutoka Mfuko wa Pensheni wa PPF Bi. Lulu Mengele akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo Pichani) kuhusu wastaafu kwenda kuhakiki taarifa za mafao katika Ofisi za Mfuko huo, wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Frank Mvungi.
Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria Mkutano huo wakimsikiliza Meneja Uhusiano na Masoko kutoka Mfuko wa Pensheni wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Aug
CWT:Tutaandamana kupinga sheria mpya ya mafao ya uzeeni
10 years ago
Michuzi
MAAFISA WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA MAFAO YA UZEENI KENYA (RBA) WAFURAHISHWA NA HUDUMA ZA PPF


11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Wastaafu wataka mafao
WASTAAFU wa iliyokuwa Tanganyika Packers, wameitaka serikali kuwalipa mafao yao kabla ya kuruhusu Shirika la Nyumba (NHC), kubomoa nyumba zao. Wakizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, wazee...
10 years ago
Habarileo24 Jun
Wezi mafao ya wastaafu kukiona
SERIKALI imewakemea watumishi wake wanaoiba fedha za mafao ya wastaafu, kwa kushirikiana na benki zinakopitishwa au kuhifadhiwa, na kusema kuwa, itawachukulia hatua za kisheria, ikiwa ni pamoja na kuwafukuza kazi.
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Mafao ya pensheni ya wastaafu juu
KILIO cha muda mrefu cha wastaafu kutofautina mafao ya pensheni katika Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, sasa kimepatiwa majibu baada ya Serikali kuamua kuanzisha fomula mpya ya kukokotoa. Fomula hiyo mpya...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Serikali yakana wastaafu kupunjwa mafao
SERIKALI imesema madai kuwa mafao yanayolipwa kwa wastaafu sio sahihi hayana ukweli wowote. Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima, alieleza hayo bungeni jana alipokuwa akijibu swali la Mbunge...
11 years ago
Mwananchi22 Aug
Talgwu yapinga mafao ya wastaafu kupunguzwa
10 years ago
Michuzi
SSRA yatoa ufafanuzi kuhusu Kanuni No. 13 ya mafao ya wastaafu


10 years ago
Michuzi08 Aug
TAARIFA KWA UMMA: KUHAKIKI TAARIFA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
07/08/201511/08/20152Pwani na...