MAAFISA WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA MAFAO YA UZEENI KENYA (RBA) WAFURAHISHWA NA HUDUMA ZA PPF
![](http://3.bp.blogspot.com/-veO808vm0Bs/VQLsOy2RBhI/AAAAAAAHKFI/9Ci7lQOHvsQ/s72-c/02.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Vupe Ligate, (kulia), na Meneja Miundombinu ya IT wa Mfuko huo, Gilbert W. Chawe, (katikati), wakimsikiliza afisa mwandamizi kutoka Mamlaka ya Usimamizi Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, (SSRA), Rehema Kabongo, wakati wa ziara ya Maafisa kutoka Mamlaka ya Usimamizi Mafao ya Uzeeni, nchini Kenya, (RBA), kwenye makao makuu ya PPF barabara ya Samora/Morogoro jijini Dar es Salaam.
Maafisa toka Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wastaafu watakiwa kuhakiki taarifa za mafao yao ya uzeeni
Meneja Uhusiano na Masoko kutoka Mfuko wa Pensheni wa PPF Bi. Lulu Mengele akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo Pichani) kuhusu wastaafu kwenda kuhakiki taarifa za mafao katika Ofisi za Mfuko huo, wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Frank Mvungi.
Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria Mkutano huo wakimsikiliza Meneja Uhusiano na Masoko kutoka Mfuko wa Pensheni wa...
10 years ago
Mwananchi27 Aug
CWT:Tutaandamana kupinga sheria mpya ya mafao ya uzeeni
10 years ago
MichuziPPF YAWANOA WAAJIRI KUHUSIANA NA HUDUMA ZAKE MPYA IKIWEMO PPF TAARIFA APP
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UNqbAHKfh7U/VdxuqzjGWXI/AAAAAAAAYPM/p4gN-ItTNqw/s72-c/SAADA_CHEQUE.jpg)
WAZIRI WA FEDHA SAADA MKUYA SALUM AZINDUA BODI YA PPF NA MAFAO MAPYA YA MFUKO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UNqbAHKfh7U/VdxuqzjGWXI/AAAAAAAAYPM/p4gN-ItTNqw/s640/SAADA_CHEQUE.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5vgiKwffKIQ/VdxulzLOAtI/AAAAAAAAYPA/nEXGSCmyiRY/s640/Saada%2Bhotuba2.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
VijimamboWAZIRI WA FEDHA, SAADA MKUYA SALUM AZINDUA BODI MPYA YA PPF NA MAFAO MAPYA YA MFUKO HUO
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum azindua bodi mpya ya PPF na mafao mapya ya mfuko huo
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya uzinduzi wa Bodi Mpya ya PPF na Mafao Mapya ya Mfuko huo Dar es Salaam jana.
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum, (kushoto), akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. milioni moja, mwanachama wa mfuko huo, Sara Haule kama malipo ya fao la uzazi katika hafla ya uzinduzi wa bodi hiyo sanjari na uzinduzi wa fao la uzazi.
Waziri Fedha, Saada Mkuya akipeana mkono wa pongezi Mwanachama wa mfuko huo, Caroline Kiswaga, baada ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y4H957UjvOo/VZYaY-m6MNI/AAAAAAAAtI0/CAkGjtsT6nU/s72-c/unnamedh1.jpg)
Wananchi wa mkoa wa Shinyanga wafurahishwa na huduma za matibabu ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa
Wakizungumza na mwandishi wetu aliyetembelea katika hospitali hiyo, mmoja wa wazee waliopata huduma ya matibabu ya ugonjwa wa moyo Bi. Salu Shinge amesema amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya moyo kwa muda mrefu lakini baada ya kuonana na Daktari bingwa siku ya Jumatatu na kuanza kutumia dawa, hali yake imbadilika na kwamba anajisikia...
10 years ago
MichuziMamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), yajipanga kuikabili Ebola
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GzaHmcW2AcA/Vf_35a3K5VI/AAAAAAAH6gs/CzT3YBm6rpI/s72-c/images.jpg)
UTEUZI WA MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BODI YA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI TANZANIA (TAWA)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GzaHmcW2AcA/Vf_35a3K5VI/AAAAAAAH6gs/CzT3YBm6rpI/s200/images.jpg)
Wizara ya Maliasili na Utalii inapenda kuujulisha umma kuwa, Bodi mpya ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (Tanzania Wildlife Authority -TAWA), imeteuliwa rasmi kuanzia tarehe 09 mwezi Septemba, 2015. Katika uteuzi huo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua...