What Tanzanians tweet, why they do so at night
With the current political changes in the country, most Tanzanians use Twitter as a way to express their anguish on politics and development issues, The Citizen has revealed.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80457000/jpg/_80457145_socialmedia.jpg)
11 years ago
Habarileo16 Apr
Tweet bora za Dk Mengi kuandikiwa kitabu
KITABU kitakachokuwa na mawazo yaliyoshinda kwenye shindano la tweet na Mengi kinaandikwa ili kuwapa fursa Watanzania kusoma na kuyatumia mawazo hayo bora ili kuweza kutambua fursa zilizopo zitakazowawezesha kujiajiri.
5 years ago
The Verge20 Mar
Twitter won’t remove irresponsible Elon Musk tweet about coronavirus
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uGIVdkcQHqE/VbeUi8yNZCI/AAAAAAAAyi4/PPdSLGnRyLE/s72-c/Kikwete-and-Lowassa.jpg)
TWEET YA RAIS KIKWETE BAADA YA KUSIKIA LOWASA KAJISALIMISHA KWA UKAWA JITIRIRISHE CHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-uGIVdkcQHqE/VbeUi8yNZCI/AAAAAAAAyi4/PPdSLGnRyLE/s640/Kikwete-and-Lowassa.jpg)
While everyone is talking about Hon. Edward Lowassa and UKAWA right now, the is one of the more recent tweets from the President of Tanzania Hon. Dr. Jakaya Kiwete. I’m just wondering if it has anything to do with the Lowassa-UKAWA issue.
![](http://4.bp.blogspot.com/-gVVcB5HIxEI/VbeU1Rm0pzI/AAAAAAAAyjA/GOUlXjUPeDA/s640/Kikwete-Tweet-e1438079537317.jpg)
9 years ago
Bongo519 Dec
Exclusive: Ben Pol aeleza kwanini alimuandikia Alikiba tweet iliyozua utata mkubwa!
![Kiba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Kiba-300x194.jpg)
Ben Pol amesema tweet ya utata aliyomuandikia Alikiba, alikusudia kumtumia kwenye ujumbe wa siri wa mtandao wa Twitter (DM) lakini akakosea na kuiweka wazi!
Juzi kupitia mtandao huo, Ben Pol alimuuliza Alikiba swali, “Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?”
Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa wasanii wamekuwa wakiambiana ukweli kuhusu muziki na maisha yao ili kuwekana sawa.
“Ile tweet kwanza nilikuwa nataka iende DM,” alisema.
“Unajua sisi...
9 years ago
Bongo506 Jan
Mtandao wa Twitter kuongeza kikomo cha idadi maneno kwenye tweet moja kufikia 10,000 – ripoti
![tweet limit](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/tweet-limit-300x194.jpg)
Mtandao wa kijamii wa Twitter inasemekana una mpango wa Kuongeza kikomo cha idadi ya maneno wakati wa Ku-tweet ‘character limit’ na kufikia maneno 10,000 kwa tweet moja.
Ripoti zinasema mpango huo mpya utatumika pia na kwenye ujumbe wa moja kwa moja – DM (Direct Message) ambapo sasa mtumiaji wa Twitter atakuwa na uwezo wa kutuma DM yenye maneno elfu kumi kwenye ujumbe mmoja.
kwa sasa Twitter inaruhusu mtu kuandika maneno yasiyozidi 140 kwenye kila tweet moja.
Inasemekana mpango huo...
5 years ago
The Sun03 Apr
10.30am Arsenal news LIVE: Ozil sends Gnabry tweet after he wears Gunners shirt, Gary Neville reveal, Jose