Wilaya ya Muheza yaongoza kwa mapato
Halmashauri ya Wilaya ya Muheza imekuwa ya kwanza nchini katika orodha ya Halmashauri zilizofanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato kwa kipindi cha mwaka wa fedha uliopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cGVCcnrr0ag/Ve68GlVPTlI/AAAAAAAH3SE/MAr1Xmy8xHU/s72-c/_MG_3138.jpg)
MAGUFULI APOKELEWA KWA KISHINDO LEO MCHANA WILAYA YA MUHEZA AKITOKEA WILAYA YA HANDENI MKOANI TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-cGVCcnrr0ag/Ve68GlVPTlI/AAAAAAAH3SE/MAr1Xmy8xHU/s640/_MG_3138.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ivQRUbeccjw/Ve68HA24R2I/AAAAAAAH3SI/KyVDpOvNyfs/s640/_MG_3165.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7q0jt56p8ZU/Ve68J7SNMsI/AAAAAAAH3SU/uTDrcEwzdC8/s640/_MG_3187.jpg)
10 years ago
VijimamboWilaya ya Mbeya Mjini yaongoza kwa matokeo bora ya kujifunza. Kenya imezishinda Tanzania na Uganda
Matokeo haya yametolewa na Uwezo iliyopo Twaweza, kwenye ripoti yao Je, Watoto wetu wanajifunza? Uwezo wa kusoma na kuhesabu Afrika Mashariki. Takwimu...
10 years ago
MichuziMhe .Ummy Mwalimu Aendesha Mafunzo ya Kuwajengea Uwezo Wasichana wa Wilaya ya Muheza - Tanga
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aRz-xSCkYIQ/VgpISkuB8gI/AAAAAAAH7r4/AWl37wt07E8/s72-c/images.jpg)
BENKI YA DUNIA: TANZANIA YAONGOZA DUNIANI KUTOA HUDUMA ZA PESA KWA SIMUTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
![](http://3.bp.blogspot.com/-aRz-xSCkYIQ/VgpISkuB8gI/AAAAAAAH7r4/AWl37wt07E8/s200/images.jpg)
TANZANIA ni nchi ya kwanza duniani kutoa huduma za pesa, kutoa mikopo na kutoa riba kwa kutumia mawasiliano ya simu, Benki ya Dunia imesema na kuongeza kuwa Tanzania ni moja ya masoko makubwa zaidi duniani ya kutoa huduma ya fedha kwa njia ya simu.
Benki hiyo ya Dunia pia imesema kuwa Serikali ya Tanzania imewekeza kwa kiwango cha juu katika mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) ikilinganishwa na nchi...
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Idara ya polisi yaongoza kwa ufisadi TZ
10 years ago
BBCSwahili07 Aug
Argentina yaongoza kwa ubora duniani
10 years ago
BBCSwahili08 Feb
Chelsea sasa yaongoza kwa pointi saba
11 years ago
Mwananchi30 Jan
MCL yaongoza kwa kuwania Tuzo MCT