Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wilaya ya Muheza yaongoza kwa mapato

Halmashauri ya Wilaya ya Muheza imekuwa ya kwanza nchini katika orodha ya Halmashauri zilizofanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato kwa kipindi cha mwaka wa fedha uliopita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI APOKELEWA KWA KISHINDO LEO MCHANA WILAYA YA MUHEZA AKITOKEA WILAYA YA HANDENI MKOANI TANGA

 Mgombe Urais wa CCM Dkt Magufuli akiwahutubia wananchi wa Muheza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa CCM mapema leo mchana wilayani humo mkoani Tanga Mgombe Urais wa CCM Dkt Magufuli akisisitiza jambo kwa Wananchi wa Muheza waliojitokeza kwa wingi kumsikiliza kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa CCM mapema leo mchana wilayani humo mkoani TangaWananchi wa Muheza na vitongoji vyake wakiwa wamejitokeza kwa wingi mapema leo mchana wakimsikiliza...

 

10 years ago

Vijimambo

Wilaya ya Mbeya Mjini yaongoza kwa matokeo bora ya kujifunza. Kenya imezishinda Tanzania na Uganda

13 Mei 2015, Dar es Salaam: Watoto wa Afrika Mashariki hawajifunzi stadi za msingi za kusoma na kuhesabu. Ni watoto wawili tu kati ya kumi (20%) wa darasa la tatu wanaoweza kusoma na kufanya hesabu za darasa la pili. Wanapohtimu elimu ya msingi, mtoto mmoja kati ya wanne Afrika Mashariki (24%) anakuwa bado hajamudu stadi za kusoma na kuhesabu.

Matokeo haya yametolewa na Uwezo iliyopo Twaweza, kwenye ripoti yao Je, Watoto wetu wanajifunza? Uwezo wa kusoma na kuhesabu Afrika Mashariki. Takwimu...

 

10 years ago

Michuzi

Mhe .Ummy Mwalimu Aendesha Mafunzo ya Kuwajengea Uwezo Wasichana wa Wilaya ya Muheza - Tanga

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Tanga na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais,Mhe Ummy Mwalimu kupitia Taasisi ya Maendeleo ya Wanawake wa Mkoa wa Tanga (TAWODE) ameendesha mafunzo ya kuwajengea uwezo wasichana wa Wilaya ya Muheza, Mkoani Tanga wenye umri kati ya miaka 10 - 24. Lengo la mafunzo hayo ni kuwawezesha wasichana hao kujitambua na kujithamini katika masuala ya afya ya uzazi ili kujikinga na mimba na ndoa za utotoni na maambukizi ya VVU/UKIMWI.Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki

01

Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.

02

 Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA DUNIA: TANZANIA YAONGOZA DUNIANI KUTOA HUDUMA ZA PESA KWA SIMUTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
TANZANIA ni nchi ya kwanza duniani kutoa huduma za pesa, kutoa mikopo na kutoa riba kwa kutumia mawasiliano ya simu, Benki ya Dunia imesema na kuongeza kuwa Tanzania ni moja ya masoko makubwa zaidi duniani ya kutoa huduma ya fedha kwa njia ya simu.


Benki hiyo ya Dunia pia imesema kuwa Serikali ya Tanzania imewekeza kwa kiwango cha juu katika mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) ikilinganishwa na nchi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Idara ya polisi yaongoza kwa ufisadi TZ

Idara ya polisi ndio taasisi inayochukua hongo zaidi nchini Tanzania kulingana na ripoti ya ufisadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Argentina yaongoza kwa ubora duniani

Argentina imeendelea kushika nafasi ya kwanza katika ubora wa Soka duniani

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea sasa yaongoza kwa pointi saba

Mourinho amesema kwamba haoni uongozi wa alama 7 juu ya jedwali la ligi ya Uingereza ni fursa ya timu hiyo kushinda ligi

 

11 years ago

Mwananchi

MCL yaongoza kwa kuwania Tuzo MCT

Gazeti la Mwananchi kwa mara ya pili mfululizo waandishi wake wameongoza kwa kupeleka kazi nyingi zaidi ya vyombo vingine vya habari katika Shindano la Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kwa mwaka 2013.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani