Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MCL yaongoza kwa kuwania Tuzo MCT

Gazeti la Mwananchi kwa mara ya pili mfululizo waandishi wake wameongoza kwa kupeleka kazi nyingi zaidi ya vyombo vingine vya habari katika Shindano la Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kwa mwaka 2013.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

MCT yataja wateule wa tuzo EJAT

BARAZA la Habari Tanzania (MCT) limetangaza majina ya wateuliwa wa kinyang’anyiro cha tuzo za umahiri wa uandishi wa habari Tanzania (EJAT) 2013 huku waandishi wawili wa Tanzania Daima wakiwa miongoni...

 

11 years ago

Mwananchi

Hongera Diamond kwa kuteuliwa kuwania tuzo za BET

Nyota ya Tanzania katika sanaa imepata mwangaza na msukumo mpya baada ya msanii wake mahiri, Naseeb Abdul au Diamond kuteuliwa kuwania tuzo maarufu za BET zitakazofanyika baadaye mwaka huu kule Marekani.

 

11 years ago

Mwananchi

MCL yaendelea kutesa Tuzo za Umahiri nchini

Waandishi wa habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd, MCL, wameendelea ‘kutesa’ katika tuzo mbalimbali za uandishi wa habari baada ya jana kushinda tena Tuzo ya Uandishi wa habari za Ukimwi, shindano lililoandaliwa na Taasisi ya Waandishi wa Habari za Ukimwi (AJAAT),

 

9 years ago

Mwananchi

Mwandishi MCL ashinda tuzo ya SFW 2015

Mwandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Maimuna Kubegeya ameshinda tuzo ya mwandishi bora wa mitindo kwa mwaka 2015 iliyotolewa na Swahili Fashion Week.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanahabari MCL waongoza uteuzi Tuzo za Ejat 2013

Waandishi wa Habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) inayochapisha magazeti ya Mwananchi, Mwanaspoti na The Citizen wanaongoza katika orodha ya wateule wa Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari 2013 (Ejat 2013) kwa kuingiza majina 15 kati ya 76 ya wateule watakaotunukiwa zawadi zao Machi 14 mwaka huu.

 

10 years ago

Bongo5

BASATA lawapongeza Diamond, Msechu na Vanessa kwa kutajwa kuwania tuzo za AFRIMA 2014

Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA, limewapongeza Diamond Platnumz, Vanessa Mdee na Peter Msechu kwa kutajwa kuwania kwenye tuzo za All Africa Music Awards, AFRIMA 2014. Pia baraza hilo limempongeza Diamond kwa kuchagulikuwa kuwa msanii wa mwezi wa MTV Base. Haya ni maelezo yaliyotolewa na Katibu Mkuu Mtendaji wa BASATA, Godfrey Mngereza. Baraza la Sanaa […]

 

9 years ago

Bongo5

Ma-producer wenzangu wafanye kazi kwa bidii ili wapate nafasi ya kuwania tuzo za kimataifa — Sheddy Clever

Producer Sheddy Clever ambaye alipata nafasi ya kuchaguliwa mara mbili kuwania tuzo za nje za AFRIMMA akiwa producer pekee wa Tanzania kwenye tuzo hizo, ametoa wito kwa watayarishaji wenzake kufanya kazi kwa bidii ili nchi yetu iwe inawawakilishi wengi katika tuzo mbalimbali za kimataifa. Sheddy ambaye ametayarisha hit song ya Diamond ‘Number One’ iliyomfungulia mafanikio […]

 

10 years ago

Bongo5

Peter Msechu aelezea furaha aliyoipata baada ya kutajwa kuwania tuzo (AFRIMA) kwa mara ya kwanza, ‘leo siogi’…!

Mwimbaji Peter Msechu ameelezea furaha yake baada ya kutajwa kuwania tuzo za kimataifa za ‘All African Music Awards’ 2014 (AFRIMA) za Nigeria (Ingia hapa), ambazo majina ya wanaoshindanishwa yalitangazwa wiki iliyopita. Msechu ambaye ametajwa kuwania tuzo hizo pamoja na Diamond na Vanessa Mdee, amesema kuwa ameweka rekodi katika historia yake ya muziki kwa kuwa hajawahi […]

 

10 years ago

Habarileo

965 kuwania tuzo za EJAT

KAZI 965 zimepelekwa kushindania tuzo 21 za shindano la sita la Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) huku kazi 42 zikitoka Kampuni ya Tanzania Standard Newspapers Limited (TSN).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani