Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanahabari MCL waongoza uteuzi Tuzo za Ejat 2013

Waandishi wa Habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) inayochapisha magazeti ya Mwananchi, Mwanaspoti na The Citizen wanaongoza katika orodha ya wateule wa Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari 2013 (Ejat 2013) kwa kuingiza majina 15 kati ya 76 ya wateule watakaotunukiwa zawadi zao Machi 14 mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Daily News

EJAT 2013 entries register slight decline


Daily News
EJAT 2013 entries register slight decline
Daily News
THE number of entries which have been received to contest for 19 awards in the 2013 Excellence in Journalism Awards Tanzania (EJAT) has declined compared to last year. Chairperson of the EJAT organizing committee Mr Kajubi Mukajanga said on ...

 

11 years ago

TheCitizen

MCT nominates over 100 entries for 2013 Ejat finals

The Media Council of Tanzania (MCT) yesterday announced the nominees for the 2013 Excellence in Journalism Awards Tanzania (Ejat) where out of 101 nominees, 46 were from print.

 

10 years ago

Habarileo

965 kuwania tuzo za EJAT

KAZI 965 zimepelekwa kushindania tuzo 21 za shindano la sita la Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) huku kazi 42 zikitoka Kampuni ya Tanzania Standard Newspapers Limited (TSN).

 

11 years ago

Tanzania Daima

MCT yataja wateule wa tuzo EJAT

BARAZA la Habari Tanzania (MCT) limetangaza majina ya wateuliwa wa kinyang’anyiro cha tuzo za umahiri wa uandishi wa habari Tanzania (EJAT) 2013 huku waandishi wawili wa Tanzania Daima wakiwa miongoni...

 

11 years ago

Mwananchi

MCL yaendelea kutesa Tuzo za Umahiri nchini

Waandishi wa habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd, MCL, wameendelea ‘kutesa’ katika tuzo mbalimbali za uandishi wa habari baada ya jana kushinda tena Tuzo ya Uandishi wa habari za Ukimwi, shindano lililoandaliwa na Taasisi ya Waandishi wa Habari za Ukimwi (AJAAT),

 

11 years ago

Mwananchi

MCL yaongoza kwa kuwania Tuzo MCT

Gazeti la Mwananchi kwa mara ya pili mfululizo waandishi wake wameongoza kwa kupeleka kazi nyingi zaidi ya vyombo vingine vya habari katika Shindano la Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT) kwa mwaka 2013.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwandishi MCL ashinda tuzo ya SFW 2015

Mwandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Maimuna Kubegeya ameshinda tuzo ya mwandishi bora wa mitindo kwa mwaka 2015 iliyotolewa na Swahili Fashion Week.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHI TUZO YA UMAHIRI WA UANDISHI WA HABARI (EJAT) JIJINI DAR ES SALAAM

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya Utoaji Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari, iliyofanyika jana usiku April 24, 2015 kwenye Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi mfano wa Hundi ya Sh. Milion tatu na Laki Nane (M.3.8) mshindi wa jumla katika kinyang’anyiro cha Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT), Mwandishi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majaji tuzo za wanahabari waapishwa

RAIS wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Dk. Robert Kisanga, ameapisha jopo la majaji tisa watakaosimamia mchakato wa kutafuta washindi wa tuzo za umahiri wa uandishi wa habari Tanzania EJAT...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani