Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wilaya za Dodoma zaagizwa kujipanga kwa kilimo

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa a m e z i a g i z a wilaya kujipanga ili kuweza kufanikisha shughuli za kilimo na hata kuwahimiza wakulima kutumia vizuri mvua zinazonyesha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DC CHEMBA: TAARIFA MNAZOKUSANYA ZITAISADIA WILAYA YETU KUJIPANGA VYEMA

 Mkuu wa Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma Simon Odunga amepongeza kazi nzuri ya kutenga maeneo ya kuhesabia watu inayofanywa na wataalamu wa Mifumo ya Taarifa ya Kijiografia (GIS) kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Zanzibar (OCGS).Mkuu wa Wilaya huyo alitoa pongezi hizo ofisini kwake hivi karibuni wakati alipokuwa akizungumza na wataalamu hao wakiongozwa na Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dk. Albina Chuwa ambao walimtembelea.Mtakwimu Mkuu wa Serikali...

 

10 years ago

StarTV

Halmashauri Dodoma zaagizwa kutafuta wawekezaji katika Zabibu.

Na Magreth Tengule,

Dodoma.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameiagiza Manispaa ya Mkoa wa Dodoma na Halmashauri za wilaya kwa ujumla kutafuta wawekezaji wa viwanda ili kutatua kilio cha muda mrefu cha wakulima wa Zabibu kukosa soko la zao hilo.

 

Waziri Mkuu ametoa agizo huo alipokuwa akizungumza na Askofu Mndolwa wa Kanisa Anglikana Dayosisi ya Tanda na Askofu Dickson Chilongani wa Dodoma pamoja na waumini wa kanisa hilo  walipotembelea shambani kwa kiongozi huyo eneo la Zuzu mkoani...

 

11 years ago

Mwananchi

Mkuu wa Wilaya Chamwino ahimiza kilimo kwa vitendo

>Wilaya ya  Chamwino mkoani Dodoma ni miongoni kwa maeneo ambayo yamekuwa yakikumbwa na uhaba wa chakula na kusababisha wananchi wake kukumbwa na njaa ya mara kwa mara.

 

11 years ago

GPL

MKUU WA WILAYA YA MAKETE AFUNGA WARSHA YA MAAFISA KILIMO WILAYA YA MAKETE‏

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro (katikati) akisisitiza jambo wakati akifunga mafunzo ya siku 3 kwa maafisa ugani wilayani hapo yaliyotolewa na TAHA hii leo, kushoto ni mwakilishi wa shirika la TAHA Bw. Manfred Bitala na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete Bw. Iddi Nganya.  Miongoni mwa bwana shamba… ...

 

11 years ago

GPL

MKUU WA WILAYA YA MAKETE AFUNGA WARSHA YA MAAFISA KILIMO WILAYA YA MAKETE

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro (katikati) akisisitiza jambo wakati akifunga mafunzo ya siku 3 kwa maafisa ugani wilaya hapo yaliyotolewa na TAHA hii leo, kushoto ni mwakilishi wa shirika la TAHA Bw. Manfred Bitala na kulia ni mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Makete Bw. Iddi Nganya.…

 

10 years ago

Michuzi

MHE. CHIKU GALLAWA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WATEULE WA WILAYA ZA MKOA WA DODOMA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa (kulia) akimuapisha Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Dkt. Jasmine Bendantunguka Tiisekwa Februari 25, 2015, anaeshuhudia katikati ni Katibu Tawala wa Dodoma Ndg. Rehema Madenge.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa (kulia) akimuapisha Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Mhe Shabaan Kondo Kissu Februari 25, 2015, anaeshuhudia katikati ni Katibu Tawala wa Dodoma Ndg. Rehema Madenge.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

10 years ago

Dewji Blog

JK amemteua Bwana Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa-Dodoma, ,afanya uhamisho wa wakuu 10 wa wilaya

Ikulu-tz

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Anthony Peter Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma, kuanzia leo, Jumatatu, Mei 25, 2015. Aidha, Rais Kikwete amefanya uhamisho wa wakuu 10 wa Wilaya kwa nia ya kuongeza ufanisi katika uongozi wa Wilaya mbali mbali nchini. Katika mabadiliko hayo, Rais Kikwete amemhamisha Luteni Edward Ole Lenga kutoka Wilaya ya Mkalama, Mkoa wa Singida kwenda kuwa mkuu wa wilaya mpya ya Kyerwa, Mkoa...

 

10 years ago

GPL

MHE. CHIKU GALLAWA AZINDUA MSIMU WA KILIMO KWA MWAKA 2015 KATIKA MKOA WA DODOMA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa akilakiwa na wananchi wa kijiji cha Damai Kondoa alipowasili kijijini hapo kuzindua msimu wa kilimo Mkoa wa Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa akiwaelezea wananchi wa kijiji cha Damai Kondoa malengo ya kuzindua msimu wa kilimo mwaka 2015 Mkoani Dodoma.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani