DC CHEMBA: TAARIFA MNAZOKUSANYA ZITAISADIA WILAYA YETU KUJIPANGA VYEMA
Mkuu wa Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma Simon Odunga amepongeza kazi nzuri ya kutenga maeneo ya kuhesabia watu inayofanywa na wataalamu wa Mifumo ya Taarifa ya Kijiografia (GIS) kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Zanzibar (OCGS).Mkuu wa Wilaya huyo alitoa pongezi hizo ofisini kwake hivi karibuni wakati alipokuwa akizungumza na wataalamu hao wakiongozwa na Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dk. Albina Chuwa ambao walimtembelea.Mtakwimu Mkuu wa Serikali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Dec
Wilaya za Dodoma zaagizwa kujipanga kwa kilimo
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa a m e z i a g i z a wilaya kujipanga ili kuweza kufanikisha shughuli za kilimo na hata kuwahimiza wakulima kutumia vizuri mvua zinazonyesha.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oaTrVdosLis/XqqXG5lkWSI/AAAAAAALon0/gp5nU_2J1DwqRooEOdvcCHLO06-MORe0QCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA YATOA UAMUZI RUFAA YA MKUU WA WILAYA YA CHEMBA
Uamuzi huo umetolewa leo Aprili 29, 2020 na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Glory Nkwera ambaye amekazia hukumu hiyo na kumtaka Odunga kutoa kiasi hicho cha fedha Kama ilivyoamuliwa na mahakama ya mwanzo ya Ukonga...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cy2X8io8-do/U-MrZPuJY3I/AAAAAAAF9rg/g-AE14ImzrY/s72-c/IMG_7058.jpg)
Wizara ya Habari Vijana,Utamaduni na Michezo yakagua miradi ya vikundi vya Vijana vya Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-cy2X8io8-do/U-MrZPuJY3I/AAAAAAAF9rg/g-AE14ImzrY/s1600/IMG_7058.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gpnxq7LzDZg/U-MraFOyqFI/AAAAAAAF9ro/yEISLAEsulA/s1600/IMG_7079.jpg)
10 years ago
Michuzi18 Jun
TAARIFA KWA UMMA: YETU MICROFINANCE PLC YATANGAZA MAUZO YA HISA
Jumla ya hisa baada ya toleo 36,972,249 ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pDkoXbExGOA/U7wCaVnHUNI/AAAAAAAFyZA/4gRp1NM76tc/s72-c/Marehem+Iraki+Hudu+aka+Kimbunga+(RIP)+1965-+2014.jpg)
TAARIFA YA KISOMO CHA AROBAINI YA NDUGU YETU MAREHEMU (BONDIA) IRAKI HUDU (RIP)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pDkoXbExGOA/U7wCaVnHUNI/AAAAAAAFyZA/4gRp1NM76tc/s1600/Marehem+Iraki+Hudu+aka+Kimbunga+(RIP)+1965-+2014.jpg)
Ndugu wanajumuiya, mabibi na mabwana Familia ya marehemu (Bondia) Iraki Hudu,inapenda kuwajulisha maadhimisho ya arobaini ya marehemu Iraq Hudu itayofanyika siku ya 19 Julai 2014 Shughuli hii itafanyika jioni wakati kufutari nyumbani kwa marehem huko Buguruni ,Rozana,Dar-es-salaam .
Shughuli hii ya arobaini kwa kuwa imengia katika mwezi mtukufu wa mfungo wa Ramadhan,familia ya marehem imeamua kutimiza shughuli hii kwa kufuturisha na kisomo.
Kwa heshima na taazima...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-I-Pxp5bMEPM/XrQRejvOVXI/AAAAAAALpaQ/LI7OY7geLiYRrM3SRKKXhBA1Swx0asxewCLcBGAsYHQ/s72-c/51127f94-59cf-434e-81bb-172758dfa411.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UHYpsTi4Y0E/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VrURXFYDJfQ/VYlSqXENEUI/AAAAAAAHiwA/BZnm1492qww/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
TAARIFA YA MSIBA: MKUU wa Wilaya mstaafu, Margaret Kipaya afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-VrURXFYDJfQ/VYlSqXENEUI/AAAAAAAHiwA/BZnm1492qww/s400/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
9 years ago
MichuziWATANZANIA TUTAMBUE AMANI YETU NI FAHARI YETU.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10