Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA YA KISOMO CHA AROBAINI YA NDUGU YETU MAREHEMU (BONDIA) IRAKI HUDU (RIP)

MAREHEMU IRAKI HUDU (RIP)
Ndugu wanajumuiya, mabibi na mabwana Familia ya marehemu (Bondia) Iraki Hudu,inapenda kuwajulisha maadhimisho ya arobaini ya marehemu Iraq Hudu itayofanyika siku ya 19 Julai 2014 Shughuli hii itafanyika jioni wakati kufutari nyumbani kwa marehem huko Buguruni ,Rozana,Dar-es-salaam .
Shughuli hii ya arobaini kwa kuwa imengia katika mwezi mtukufu wa mfungo wa Ramadhan,familia ya marehem imeamua kutimiza shughuli hii kwa kufuturisha na kisomo.
Kwa heshima na taazima...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA IBADA TAKATIFU YA KISOMO CHA AROBAINI YA MAREHEMU ANDREA CONSTANTINE LUPILYA

FAMILIA YA MAREHEMU ANDREA CONSTANTINE LUPILYA INAPENDA KUWAJULISHA NDUGU JAMAA NA MARIFIKI KUWA TAREHE 28/12/2014 SIKU YA JUMAPILI KUTAFANYIKA  IBADA TAKATIFU  YA KISOMO CHA AROBAINI  TOKA KUFARIKI KWA BABA YETU  MPENDWA ANDREA CONSTANTINE LUPILYA KUANZIA SAA TANO ASUBHUHI NYUMBANI KWAKE NYAKATO – MJINI MWANZA. 
AIDHA, IBADA HII ITAJUMUISHA IBADA TAKATIFU YA KUMUOMBEA MTOTO WA MAREHEMU BWANA ANTHONY LUPILYA ALIYEFARIKI LEO TAREHE 25/12/2014.
FAMILIA YA MAREHEMU KWA HESHIMA KUBWA...

 

11 years ago

GPL

BONDIA IRAKI HUDU AFARIKI

Bondia Iraki Hudu enzi za uhai wake. BONDIA mkongwe nchini, Iraki Hudu amefariki dunia leo asubuhi akiwa katika Hospitali ya Hindu Mandal illiyopo maeneo ya Posta, Dar alipokuwa akitibiwa. Msiba upo nyumbani kwake Buguruni. Marehemu Hudu anatarajiwa kuzikwa kesho (Jumamosi) Juni 14, 2014 saa saba mchana.

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAREHEMU ZAINAB MUSSA CHAFANYIKA DMV


Ustaadh Mudy Mabenzi akiongoza kisomo cha mama yake Yasin Randi Marehemu Zanab Mussa kilichofanyika siku ya Jumampili Desemba 14, 2014 nyumbani kwao Hyattsville, Maryland nchini Marekani.
Ustaadh Ally Mussa aisaidiana na mauutadh wenzake katika kisomo na mpendwa mama yake Yasin Randi marehemu Zainab Mussa kilichofanyika siku ya Jumapili Desemba 14, 2014. Kushoto ni Abdul Sebo akifuatilia kisomo.Ustaadh Abdulmalik akisaidiana na Ally Mussa na Mudy Mabenzi (hawapo pichani) kuongoza kisomo cha...

 

11 years ago

GPL

KISOMO CHA MAREHEMU ZAINAB BUZOHERA DMV‏

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Iddi Sandaly akiongea kwenye kisomo cha mpendwa wetu Zainab Buzohera kulichofanyika jana Jumanne Jan 7, 2013 katika ukumbi wa mirage uliopo Langeley Park, Maryland na kuhudhuriwa na Watanzania wa DMV na majimbo mengine kama New York, New Jersey, Massachusetts, Georgia, Ohio, Pennsylvania na kwingineko. Mwili utaondoka leo Jumatano Jan 8, 2014 na kufika Ijumaa Dar ses Salaam, Tanzania siku ya...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAREHEMU MAMA MPENDWA BI. AZIZA S. BORORO DMV

Familia ya Bwana Shariff na Bi Jamila inapenda kuwataarifu juu ya KISOMO cha kumaliza msiba wa mpendwa marehemu Mama yao Bi Aziza S.Bororo kitakachofanyika siku ya Jumamosi 01/10/15 nyumbani kwao kuanzia saa nane na nusu (2.30pm) Adress ni 12726 Gladys Retreat Circle Bowie ,Md 20720 .Tafadhali ukipata taarifa hii mjulishe mwenzako .Contact # 301-674-9667 Shariff202 -271-1860 Aunt Grace 301-395-5133 Aisha.

 

11 years ago

Michuzi

Kisomo cha 40 ya Marehemu Amina Ngaluma kufanyika Jumamosi jijini Dar

Na Mwandishi Wetu
KISOMO cha 40 ya aliyekuwa mwimbaji mahiri nchini, marehemu Amina Ngaluma ‘Japanese’ kinatarajiwa kufanyika Jumamosi wiki hii Kitunda, Machimbo Dar es Salaam.
Akizungumza na gazeti hili, mume wa marehemu Rashid Sumuni, alisema kisomo hicho kitafanyika nyumbani kwa wazazi wake marehmu na kwamba pia watakuwa na shughuli maalum ya kufutarisha waumini baada ya kumalizika kisomo hicho.
“Tunaomba ndugu, jamaa na marafiki wote tulioshiriki kwa namna mbalimbali wakati wa msiba wa...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA KUMUOMBEA MAREHEMU NA FUTARI YA PAMOJA SIKU YA JUMAPILI HUKO SILVER SPRING MD USA



 Baada ya kisomo cha kumuombea  marehemu baba wa Fatma Khalfan, ikiendelea ikiongozwa na ustadh Mohammed Saleh, baadae sala ya magharib ikifuatiwa na kama desturi waumini kupata futari





























Keki ya Father's Day ilioandaliwa na akina mama kuwapongea baba wa watoto wao katika futari ya pamoja iliofanyika katika mji wa Silver Spring Maryland, USA


 Dada Asha Haridh akiwahudukia watoto kukata keki ya Father's Day, ikiwa ishara ya kuwapongeza akina baba
 meya wa jiji la greenbelt Sheikh Seif akiwa na...

 

11 years ago

Michuzi

Mamia wamzika bondia mkongwe Iraq Hudu jijini Dar es salaam leo

Na Francis Dande MAMIA ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaamna vitongoji vyake, wakiwemo wanamichezo, leo wamejitokeza katika mazishi ya bondia wa zamani wa masumbwi ya kulipwa, Iraq Hudu (49). Marehemu Hudu, maarufu kama ‘Kimbunga’, aliyefariki dunia Ijumaa mjini Dar es Salaam, amezikwa leo  majira ya saa 10:00 alasiri katika makaburi ya Kisutu, jijini Dar es Salaam.

Bondia huyo aliyewahi kutamba vilivyo katika ulingo wa masumbwi, alifariki alfajiri ya Ijumaa katika hospitali ya Hindu...

 

11 years ago

Michuzi

Tanzia: Bondia wa zamani iraq hudu afariki dunia leo, kuzikwa kesho kisutu Dar es salaam

BONDIA wa zamani wa ngumi za kulipwa nchini, Iraq Hudu 'Kimbuga' (49) amefariki dunia, baada ya kuugua kwa muda mfupi.   Akizungumza jijini Dar es Salaam leo,  Dada wa Marehemu Tiba Takadiri, alisema kuwa Hudu amefariki jana majira ya saa 11 ya alfajiri kwenye hospitali ya Hindu Mandal, alikokuwa amelazwa. Takadiri, alimesema kuwa mazishi ya Hudu yatafanyika leo kwenye makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam.  Alisema kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na tatizo la ini na figo kutofanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani