Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA YA IBADA TAKATIFU YA KISOMO CHA AROBAINI YA MAREHEMU ANDREA CONSTANTINE LUPILYA

FAMILIA YA MAREHEMU ANDREA CONSTANTINE LUPILYA INAPENDA KUWAJULISHA NDUGU JAMAA NA MARIFIKI KUWA TAREHE 28/12/2014 SIKU YA JUMAPILI KUTAFANYIKA  IBADA TAKATIFU  YA KISOMO CHA AROBAINI  TOKA KUFARIKI KWA BABA YETU  MPENDWA ANDREA CONSTANTINE LUPILYA KUANZIA SAA TANO ASUBHUHI NYUMBANI KWAKE NYAKATO – MJINI MWANZA. 
AIDHA, IBADA HII ITAJUMUISHA IBADA TAKATIFU YA KUMUOMBEA MTOTO WA MAREHEMU BWANA ANTHONY LUPILYA ALIYEFARIKI LEO TAREHE 25/12/2014.
FAMILIA YA MAREHEMU KWA HESHIMA KUBWA...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA KISOMO CHA AROBAINI YA NDUGU YETU MAREHEMU (BONDIA) IRAKI HUDU (RIP)

MAREHEMU IRAKI HUDU (RIP)
Ndugu wanajumuiya, mabibi na mabwana Familia ya marehemu (Bondia) Iraki Hudu,inapenda kuwajulisha maadhimisho ya arobaini ya marehemu Iraq Hudu itayofanyika siku ya 19 Julai 2014 Shughuli hii itafanyika jioni wakati kufutari nyumbani kwa marehem huko Buguruni ,Rozana,Dar-es-salaam .
Shughuli hii ya arobaini kwa kuwa imengia katika mwezi mtukufu wa mfungo wa Ramadhan,familia ya marehem imeamua kutimiza shughuli hii kwa kufuturisha na kisomo.
Kwa heshima na taazima...

 

11 years ago

Michuzi

SHUKURANI NA MWALIKO KATIKA IBADA YA MISA TAKATIFU KWA AJILI YA MAREHEMU LEEFORD C. CENGE SIMBA

 Mhe. Sophia M. Simba (Mb) na Familia yake,  anatoa shukrani zake za dhati kwa wote walioshirikiana naye katika kipindi kigumu cha kumuuguza mtoto wake mpendwa LEEFORD C. CENGE SIMBA (pichani), hadi alipoiaga dunia tarehe 06 Machi, 2014 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na kuzikwa tarehe 08 Machi, 2014 katika makaburi ya Kinondoni.
Kwa heshima kubwa tunatoa shukrani  za dhati  kwa Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mohamed Gharib Bilal Makamu wa...

 

11 years ago

GPL

KISOMO CHA MAREHEMU ZAINAB BUZOHERA DMV‏

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn. Iddi Sandaly akiongea kwenye kisomo cha mpendwa wetu Zainab Buzohera kulichofanyika jana Jumanne Jan 7, 2013 katika ukumbi wa mirage uliopo Langeley Park, Maryland na kuhudhuriwa na Watanzania wa DMV na majimbo mengine kama New York, New Jersey, Massachusetts, Georgia, Ohio, Pennsylvania na kwingineko. Mwili utaondoka leo Jumatano Jan 8, 2014 na kufika Ijumaa Dar ses Salaam, Tanzania siku ya...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAREHEMU ZAINAB MUSSA CHAFANYIKA DMV


Ustaadh Mudy Mabenzi akiongoza kisomo cha mama yake Yasin Randi Marehemu Zanab Mussa kilichofanyika siku ya Jumampili Desemba 14, 2014 nyumbani kwao Hyattsville, Maryland nchini Marekani.
Ustaadh Ally Mussa aisaidiana na mauutadh wenzake katika kisomo na mpendwa mama yake Yasin Randi marehemu Zainab Mussa kilichofanyika siku ya Jumapili Desemba 14, 2014. Kushoto ni Abdul Sebo akifuatilia kisomo.Ustaadh Abdulmalik akisaidiana na Ally Mussa na Mudy Mabenzi (hawapo pichani) kuongoza kisomo cha...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAREHEMU MAMA MPENDWA BI. AZIZA S. BORORO DMV

Familia ya Bwana Shariff na Bi Jamila inapenda kuwataarifu juu ya KISOMO cha kumaliza msiba wa mpendwa marehemu Mama yao Bi Aziza S.Bororo kitakachofanyika siku ya Jumamosi 01/10/15 nyumbani kwao kuanzia saa nane na nusu (2.30pm) Adress ni 12726 Gladys Retreat Circle Bowie ,Md 20720 .Tafadhali ukipata taarifa hii mjulishe mwenzako .Contact # 301-674-9667 Shariff202 -271-1860 Aunt Grace 301-395-5133 Aisha.

 

11 years ago

Michuzi

Kisomo cha 40 ya Marehemu Amina Ngaluma kufanyika Jumamosi jijini Dar

Na Mwandishi Wetu
KISOMO cha 40 ya aliyekuwa mwimbaji mahiri nchini, marehemu Amina Ngaluma ‘Japanese’ kinatarajiwa kufanyika Jumamosi wiki hii Kitunda, Machimbo Dar es Salaam.
Akizungumza na gazeti hili, mume wa marehemu Rashid Sumuni, alisema kisomo hicho kitafanyika nyumbani kwa wazazi wake marehmu na kwamba pia watakuwa na shughuli maalum ya kufutarisha waumini baada ya kumalizika kisomo hicho.
“Tunaomba ndugu, jamaa na marafiki wote tulioshiriki kwa namna mbalimbali wakati wa msiba wa...

 

9 years ago

Vijimambo

ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahili


Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahili
Ibada itafanyika katika kigango cha
Capuchin College4121 Harewood Road, NE, Washington, DC, 20017
Jumapili Tarehe 25 Octoba 2015. Saa nane kamili mchana (2:00 PM).
Karibu sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa zako.
Unakaribishwa kujiunga kwa mawasiliano ya barua pepe na Wakatoliki DMV anwani. Tupatie mawasiliano yako kwenda kwa:-WauminiWakatoliki@gmail.com
Kwa niaba ya Fr. Leandry Kimario, ni...

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA KUMUOMBEA MAREHEMU NA FUTARI YA PAMOJA SIKU YA JUMAPILI HUKO SILVER SPRING MD USA



 Baada ya kisomo cha kumuombea  marehemu baba wa Fatma Khalfan, ikiendelea ikiongozwa na ustadh Mohammed Saleh, baadae sala ya magharib ikifuatiwa na kama desturi waumini kupata futari





























Keki ya Father's Day ilioandaliwa na akina mama kuwapongea baba wa watoto wao katika futari ya pamoja iliofanyika katika mji wa Silver Spring Maryland, USA


 Dada Asha Haridh akiwahudukia watoto kukata keki ya Father's Day, ikiwa ishara ya kuwapongeza akina baba
 meya wa jiji la greenbelt Sheikh Seif akiwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

AROBAINI YA MAREHEMU MZEE ABASS KHALFAN MANG'ULO:

Asalaam aleikum, Kwa niaba ya familia nzima ya Mang'ulo na binti ya marehemu Swalha Kibodya, tunapenda kuwapa taarifa kutakuwa na kisomo cha Arobaini kumrehemu mzee wetu Abass Khalfan Mang'ulo Kisomo hicho kitafanyika siku ya Jumamosi August 22, 2015 katika Masjid Al Baqi 148 Fort Pleasant Avenue, Springfield, Mass kuanzia saa 10 jioni. Ukipata taarifa hii tafadhali wafikishie na wengine. Tunatanguliza shukran. Kwa habari zaidi unaweza kuwasiliana na Isaac Kibodya 413.219.1153

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani