SHUKURANI NA MWALIKO KATIKA IBADA YA MISA TAKATIFU KWA AJILI YA MAREHEMU LEEFORD C. CENGE SIMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-O44HNL2oUwM/U1ggO5r8qkI/AAAAAAAFclA/LK_ZlgPRx8w/s72-c/IMG-20140307-WA0000.jpg)
Mhe. Sophia M. Simba (Mb) na Familia yake, anatoa shukrani zake za dhati kwa wote walioshirikiana naye katika kipindi kigumu cha kumuuguza mtoto wake mpendwa LEEFORD C. CENGE SIMBA (pichani), hadi alipoiaga dunia tarehe 06 Machi, 2014 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na kuzikwa tarehe 08 Machi, 2014 katika makaburi ya Kinondoni.
Kwa heshima kubwa tunatoa shukrani za dhati kwa Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mohamed Gharib Bilal Makamu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo19 Oct
ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahili
Mnakaribishwa sana kwenye ibada ya misa takatifu kwa lugha ya kiswahili
Ibada itafanyika katika kigango cha
Capuchin College4121 Harewood Road, NE, Washington, DC, 20017
Jumapili Tarehe 25 Octoba 2015. Saa nane kamili mchana (2:00 PM).
Karibu sana na unaombwa uwataarifu na kuwakaribisha ndugu, marafiki na jamaa zako.
Unakaribishwa kujiunga kwa mawasiliano ya barua pepe na Wakatoliki DMV anwani. Tupatie mawasiliano yako kwenda kwa:-WauminiWakatoliki@gmail.com
Kwa niaba ya Fr. Leandry Kimario, ni...
11 years ago
Michuzi08 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nozn-mp0yJQ/VJ2Ckl014DI/AAAAAAAG57I/ZXtGmyKOGBk/s72-c/Untitled2.png)
TAARIFA YA IBADA TAKATIFU YA KISOMO CHA AROBAINI YA MAREHEMU ANDREA CONSTANTINE LUPILYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-nozn-mp0yJQ/VJ2Ckl014DI/AAAAAAAG57I/ZXtGmyKOGBk/s1600/Untitled2.png)
AIDHA, IBADA HII ITAJUMUISHA IBADA TAKATIFU YA KUMUOMBEA MTOTO WA MAREHEMU BWANA ANTHONY LUPILYA ALIYEFARIKI LEO TAREHE 25/12/2014.
FAMILIA YA MAREHEMU KWA HESHIMA KUBWA...
10 years ago
VijimamboMisa ya Shukurani Arubaini ya Marehemu Mzee Samuel N. Luangisa
Saturday August 8, 2015.
Familia ya Marehemu Mzee Luangisa na New York Tanzania Community, inawakaribisha kwenye MISA ya Shukurani au Arubaini ya Marehemu Mzee wetu, Baba yetu na Kiongozi wetu Mzee Samuel Ntambala Luangisa (83),
Siku: Saturday August 8th, 2015
Saa: 4pm
Address: Luangisa Residence: 374 Hawthorne Terrace, Mt. Vernon, NY 10552
Misa itaongozwa na Mchungaji Mama Butiku
Mpe taarifa mwenzako...
10 years ago
Vijimambo13 Mar
IBADA YA KUMBUKUMBU NA SHUKURANI YA MAISHA YA MAREHEMU MR. WILBARD W. KENTE DMV
Ibada itafanyika hapa Washington, DC Jumamosi, tarehe 21 March, 2015 kuanzia saa tisa mchana (3 pm) Anuani ya kanisa ni Universal Holiness Church 2426 Elvans Rd. SE,Washington, DC 20020
Kwa habari zaidi, unaweza kuwasiliana na Deo Mosha: 240 441...
10 years ago
VijimamboIBADA YA KUMBUKUMBU NA SHUKURANI YA MAISHA YA MAISHA YA MAREHEMU WILBARD KENTE DMV
9 years ago
MichuziMISA TAKATIFU YA KUMBUKUMBU YA NYAMITI LUSINDE BALTIMORE, MARYLAND
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-G1wijvOIaOE/UxsphuTk_QI/AAAAAAAFSAU/k_u-mpXaV1c/s72-c/5.jpg)
Rais Kikwete awaongoza viongozi mbali mbali na mamia ya waombolezaji kumfariji Mh. Sophia Simba kwa kufiwa na Mwanae Leeford Simba
![](http://1.bp.blogspot.com/-G1wijvOIaOE/UxsphuTk_QI/AAAAAAAFSAU/k_u-mpXaV1c/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F0eJK6_sLhc/UxsqAiqYkXI/AAAAAAAFSB8/w4vw7Bk1k3U/s1600/9.jpg)