Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA YA KAMANDA KOVA KUZUIA MAANDAMANO YA UVCCM WILAYA YA ILALA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo  maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).


Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...

 

10 years ago

Michuzi

Naibu Kamanda wa UVCCM Wilaya ya Moshi vijijini ampongeza Rais Kikwete

Na Bakari Issa,Dar es Salaam
Naibu Kamanda wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM),Wilaya ya Moshi vijijini,Innocent Melleck amempongeza Rais Jakaya Kikwete na Serikali kwa ujumla kwa kuwajali wananchi wa kijiji cha Mwakata wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga waliopatwa na janga la kubomokewa na nyumba zao kutokana na mvua iliyoambatana na mawe makubwa na upepo mkali.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Melleck amesema kitendo cha Rais Kikwete kuahidi kuwajengea nyumba...

 

11 years ago

Michuzi

INNOCENT MELLECK ASIMKWA KUWA NAIBU KAMANDA WA UVCCM WILAYA YA MOSHI VIJIJINI

Innocent Melleck akikaribishwa na chipukizi katika uwanja wa Ghala -Himo wilaya ya Moshi vijijini kwa ajili ya kusimikwa kuwa naibu kamanda wa UVCCM katika wilaya hiyo. Mbunge wa jimbo la Moshi vijijini Dk Cyril Chami (katikati) Innocent Melleck ,Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Moshi vijijini Moris Makoi na viongozi wengine wa CCM wakipunga mkono kwa wananchi (hawapo pichani) wakati wa shughuli ya kumsimika naibu kamanda wa UVCCM wilaya ya Moshi vijijini. Mbunge wa jimbo la Moshi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Samwel Nakei, aapishwa kuwa kamanda wa UVCCM wilaya mpya ya Mkalama, Mkoani Singida aahidi kuleta neema kwa Vijana

apishwa

Katibu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhan Kapeto akimwapishwa Samwel Nakei kuwa kamanda wa UVCCM Wilaya ya Mkalama jana.

naapa

Samweli Nakei akila kiapo cha kuwa Kamanda wa (UVCCM) Wilaya ya Mkalama.

Na Hillary Shoo, MKALAMA

VIJANA Wilayani Mkalama Mkoani Singida wametakiwa kujiunga kwenye vikundi mbalimbali vya ujasiriamali ili waweze kukopesheka kirahisi badala ya mtu mmoja mmoja.

Changamoto hiyo imetolewa jana Wilayani hapa na Kamanda Mpya ya Umoja wa vijana wa (UVCCM) Wilaya ya Mkalama,...

 

11 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA AZINDUA PIKIPIKI YA HERO DAWN 125 CC

  Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (katikati), na  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya  Astarc Motors Tanzania Ltd, Sameer Musale (kushoto), akifungua kitmbaa kuashiriauzinduzi wa pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc katika hafla yailiyofanyika jijini Dar es Salaam jana.   Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akijaribu moja ya pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc katika hafla ya uzinduzi wa pikipiki hiyo jijini Dar es Salaam jana....

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri amsuta Kamanda Kova kuhusu Panya Road

>Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema Watanzania wamepoteza imani na Jeshi la Polisi na ameliagiza kujitathmini na kutoa majibu kuhusu kukamatwa kwa vijana 1,200 wa kikundi cha uhalifu maarufu Panya Road.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamanda Kova hawajui Mbwa Mwitu, Panya Road?

MIONGONI mwa matukio makubwa yanayotikisa Jiji la Dar es Salaam sasa ni uvunjifu wa amani katika maeneo mbalimbali ya jiji yanayofanywa na vijana wanaojiita Mbwa Mwitu na Panya Road. Vijana...

 

10 years ago

GPL

KOVA APIGA MARUFUKU MAANDAMANO YA VIJANA WA CUF

Kamishna Kova akizungumza na wanahabari (hawapo pichani)
Wanahabari wakimsikiliza Kamishna Kova (hayupo pichani) KAMISHNA wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar e s Salaam, Suleiman Kova leo ametoa tamko mbele ya wanahabari juu ya maandamano ya vijana wa Chama cha…

 

11 years ago

GPL

KAMANDA KOVA AZINDUA PIKIPIKI YA HERO DAWN 125 CC‏

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (katikati) na  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya  Astarc Motors Tanzania Ltd, Sameer Musale (kushoto), wakifungua kitambaa kuashiria uzinduzi wa pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akijaribu moja ya pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani