Halmashauri Dodoma zaagizwa kutafuta wawekezaji katika Zabibu.
Na Magreth Tengule,
Dodoma.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameiagiza Manispaa ya Mkoa wa Dodoma na Halmashauri za wilaya kwa ujumla kutafuta wawekezaji wa viwanda ili kutatua kilio cha muda mrefu cha wakulima wa Zabibu kukosa soko la zao hilo.
Waziri Mkuu ametoa agizo huo alipokuwa akizungumza na Askofu Mndolwa wa Kanisa Anglikana Dayosisi ya Tanda na Askofu Dickson Chilongani wa Dodoma pamoja na waumini wa kanisa hilo walipotembelea shambani kwa kiongozi huyo eneo la Zuzu mkoani...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Halmashauri zaagizwa kuwekeza michezoni
10 years ago
Habarileo21 Jan
Halmashauri zaagizwa kikundi kazi kuziba uvujaji
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, imetaka halmashauri zote nchini kuanzisha kikundi kazi maalumu cha kufanya utafiti, kupitia, kuhakiki na kufanyia tathmini vyanzo vya mapato kubaini mianya ya uvujaji.
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Halmashauri zaagizwa kupima ardhi ya kila mtu
10 years ago
MichuziKONYAGI YAWASOMESHA WANAFUNZI WA WAKULIMA WA ZABIBU DODOMA
10 years ago
Dewji Blog15 Apr
Konyagi yasomesha watoto wa wakulima wa Zabibu Dodoma
Mratibu wa Mpango wa Somesha mtoto wa Mkulima wa zabibu ulidhaminiwa na Tanzania Distillaries LTD (TDL) Saimon Chibehe akizungumza jambo na wakulima wa zabibu pamoja na wanafunzi wa Kata ya Handari wilayani Chamwino, Mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki.
Mratibu wa Mpango wa Somesha Mtoto wa Mkulima wa zabibu unaodhaminiwa na Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distillaries LTD (TDL), Saimon Chibehe akizungumza jambo akizungumza na Wazazi, Walezi ambao ni wakulima wa zabibu pamoja na wanafunzi...
10 years ago
Habarileo28 Dec
Wilaya za Dodoma zaagizwa kujipanga kwa kilimo
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa a m e z i a g i z a wilaya kujipanga ili kuweza kufanikisha shughuli za kilimo na hata kuwahimiza wakulima kutumia vizuri mvua zinazonyesha.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aH75CoXp83Q/VLTx3wr08TI/AAAAAAAAx8g/l1HAqSc8tYo/s72-c/Chibehe.jpg)
KONYAGI WATEMBELEA MASHAMBA YA WAKULIMA WA ZABIBU DODOMA AMBAO WATOTO WAO WANAFADHILIWA KIMASOMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-aH75CoXp83Q/VLTx3wr08TI/AAAAAAAAx8g/l1HAqSc8tYo/s1600/Chibehe.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EpKESauqbeM/VLTx36s2cNI/AAAAAAAAx9A/bexazRpqD_4/s1600/festo.jpg)
9 years ago
Habarileo20 Oct
Halmashauri zatakiwa kutafuta vyanzo vipya
HALMASHAURI za wilaya zimetakiwa kujipanga upya na kutafuta vyanzo vingine vya mapato, kwani wakiingia madarakani watafuta ushuru na kodi zote zinazowakera wananchi, hasa wale wafanyabiashara wadogo.
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Viongozi wa Anglican watembelea shamba la Waziri Mkuu Zuzu Dodoma kujifunza kilimo bora cha Zabibu na Embe