Halmashauri zaagizwa kupima ardhi ya kila mtu
Waziri wa Ardhi, Nyumba, Maendeleo na Makazi, William Lukuvi amesema Serikali ya Awamu ya Tano imejipanga kuhakikisha ardhi yote inapimwa ili kila Mtanzania mwenye eneo apate hati ya kulimiliki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Halmashauri zaagizwa kuwekeza michezoni
10 years ago
Habarileo21 Jan
Halmashauri zaagizwa kikundi kazi kuziba uvujaji
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, imetaka halmashauri zote nchini kuanzisha kikundi kazi maalumu cha kufanya utafiti, kupitia, kuhakiki na kufanyia tathmini vyanzo vya mapato kubaini mianya ya uvujaji.
10 years ago
StarTV15 Feb
Halmashauri Dodoma zaagizwa kutafuta wawekezaji katika Zabibu.
Na Magreth Tengule,
Dodoma.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameiagiza Manispaa ya Mkoa wa Dodoma na Halmashauri za wilaya kwa ujumla kutafuta wawekezaji wa viwanda ili kutatua kilio cha muda mrefu cha wakulima wa Zabibu kukosa soko la zao hilo.
Waziri Mkuu ametoa agizo huo alipokuwa akizungumza na Askofu Mndolwa wa Kanisa Anglikana Dayosisi ya Tanda na Askofu Dickson Chilongani wa Dodoma pamoja na waumini wa kanisa hilo walipotembelea shambani kwa kiongozi huyo eneo la Zuzu mkoani...
10 years ago
Habarileo04 Jul
Kanda zaagizwa kutumia vifaa vya kisasa vya kupimia ardhi
SERIKALI imeagiza kila kanda kuwa na vifaa vya kisasa vya kupimia ardhi ambavyo vitawekwa katika halmashauri mbalimbali nchini, ili viweze kutumiwa na vijana wanaohitimu vyuo wenye taaluma ya masuala ya ardhi.
10 years ago
Habarileo31 May
Gharama za kupima ardhi kupunguzwa
SERIKALI imesema katika mwaka ujao wa fedha itapunguza gharama za upimaji ardhi kwa zaidi ya nusu ili kuwawezesha wanachi kupima maeneo yao, hali ambayo inaonekana itapunguza migogoro ya ardhi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3vgFu3FnjSg/VUm9zJFNKnI/AAAAAAAHVrw/BacOq5UY8oI/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
WANANCHI NA TAASISI WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI WANAPOTAKA KUPIMA MAENEO YAO YA ARDHI KUEPUKA KUTAPELIWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3vgFu3FnjSg/VUm9zJFNKnI/AAAAAAAHVrw/BacOq5UY8oI/s1600/Picha%2Bna%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zjBI5Vl6vjU/VUm9zFFyELI/AAAAAAAHVro/IZ3ePzhU3ag/s1600/Picha%2Bna%2B2.jpg)
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Lukuvi aagiza halmashauri kutenga ardhi kwa NHC
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Wn6ZAlqBrLg/XuG9dY0jGxI/AAAAAAAEHlo/5P2FdmhTBTAKT5zn7yFd8HztbdmfckmWQCLcBGAsYHQ/s72-c/3-10-768x448.jpg)
HALMASHAURI ZATAKIWA KUWA NA OPERESHENI MAALUM YA UPIMAJI ARDHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wn6ZAlqBrLg/XuG9dY0jGxI/AAAAAAAEHlo/5P2FdmhTBTAKT5zn7yFd8HztbdmfckmWQCLcBGAsYHQ/s640/3-10-768x448.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akishangaa utunzaji Nyaraka na Majalada ya Ardhi kwenye ofisi za Ardhi ya Halmashauri ya Wilaya ya Tarime mkoa wa Mara alipokuwa katika ziara ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi jana.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4-8.jpg)
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akitoka kwenye Ofisi za Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Tarime alipokuwa katika ziara yake ya kukagua utendaji kazi wa sekta ya ardhi mkoani Mara jana.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6UTQWKNGj0U/Vm3L4ed9uGI/AAAAAAAIMLQ/XxxybshF2cQ/s72-c/images.png)
JE KILA UNACHOKUBALIANA NA MTU NI MKATABA KISHERIA ?
![](http://2.bp.blogspot.com/-6UTQWKNGj0U/Vm3L4ed9uGI/AAAAAAAIMLQ/XxxybshF2cQ/s400/images.png)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10