Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WIMBI LA WATOTO WA MITAANI LAZIDI KUONGEZEKA JIJINI DAR

Watoto wa mitaani katika pitapita zao jijini. ...Wakivuka barabara katika mishemishe za kwenda kuomba fedha. KAMERA ya Global ilibaini wimbi la watoto wa mitaani bado linaongezeka pale ilipowakuta watoto watatu wakizurura eneo la Chang'ombe jijini Dar es Salaam. (PICHA NA HARUN…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

GOLA KUWAONDOA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA


Afisa ustawi wa jamii na Maendeleo ya jamii jijini Arusha Mwantumu Dossi akitembelea mradi wa shamba la mahindi unaoendeshwa na taasisi ya Gola Foundation jana katika kituo cha Kufikia watoto wa mitaani,katikati ni Mkurugenzi wa shirika hilo Elisha Maghembe

habari picha na libeneke la kaskazini blog

Mkurugenzi wa shirika lisilokua la kiserikali la Gola Foundation Elisha Maghembe amesema kuwa wameanza zoezi la kuwaondoa watoto wa mitaani walioko jijini Arusha na kuwafikisha kwenye vituo...

 

10 years ago

GPL

SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI LA TMT JIJINI DAR LAZIDI KUNOGA

Baadhi ya washiriki wa shindano la (TMT)wakijadili Script waliyopewa .
Baadhi ya wahudumu wa shindano wakiwa katika meza wakati wa usaili unaoendelea.
Jaji wa shindano hilo la TMT, Haji Salum 'Mboto' akifanya mahojiano na mshiriki wa shindano baada ya kutoka katika chumba maalum cha usaili hatua ya pili.…

 

9 years ago

Michuzi

Taswira za mitaani jijini Dar

 Ajali ya Pikipiki na Taxi kama ilivyonaswa na Kamera yetu ya Mtaa kwa Mtaa jijini Dar es Salaam. Ohoooooo.......Ajali ya pikipiki na Tax katika barabara ya  Samora (Askari Moment) kama walivyonaswa na Kamera ya Mtaa kwa Mtaa jijini Dar es Salaam.Picha Zote na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.

 

10 years ago

Michuzi

FISA USTAWI WA JAMII NA MAENDELEO YA JAMII AKITEMBELEA MRADI WA SHIRIKA LA KUSAIDIA WATOTO WA MITAANI JIJINI ARUSHA

 Afisa ustawi wa jamii na Maendeleo ya jamii jijini Arusha  Mwantumu Dossi akitembelea mradi wa shamba la mahindi unaoendeshwa na taasisi ya Gola Foundation jana katika kituo cha Kufikia watoto wa mitaani,katikati ni Mkurugenzi wa shirika hilo  Elisha Maghembe.Picha na Mahmoud Ahmad
.

 

10 years ago

Vijimambo

BANDA LA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI LAZIDI KUNG’ARA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA JIJINI DAR ES SALAAM

Afisa Habari Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Rose Mdami (kulia) akitoa maelezo kwa mmoja wa wageni waliotembelea banda la Mamlaka hiyo kuhusu huduma zinazotolewa na Mamlaka hiyo, katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jjijini Dar es Salaam. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Mwananchi aliyetembelea Banda la Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), akipewa maelezo na Afisa Habari Mkuu wa Mamlaka hiyo, Rose...

 

9 years ago

Vijimambo

BUNGE LA WATOTO OYSTERBAY SHULE YA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE


Abdallah Waziri - ambaye ni mmoja wa watoto wa mitaani aliyerudishwa shule kwenye kikao cha leo.

Abdallah Waziri, Asia Mtibua na Mwalimu Gaudensia Igoshalimo wakimkaribisha Abdallah Waziri shuleni.

Mmoja wa wajumbe akitoa maoni yake katika kikao cha bunge katika shule ya oysterbay mkoani manyara

Mbunge Nasri Selemani akifuatilia hoja kwa makini.wakati kikao cha bunge la watoto likiendelea katika shule ya oysterbay mkoani manyara

Mbunge Nasri Selemani ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa...

 

9 years ago

Michuzi

BUNGE LA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE


Abdallah Waziri - ambaye ni mmoja wa watoto wa mitaani aliyerudishwa shule kwenye kikao cha leo.Abdallah Waziri, Asia Mtibua na Mwalimu Gaudensia Igoshalimo wakimkaribisha Abdallah Waziri shuleni.Mmoja wa wajumbe akitoa maoni yake katika kikao  cha bunge katika shule ya oysterbay mkoani manyara.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tusiwanyanyapae watoto wa mitaani

HIVI sasa kuna wimbi la watoto wa mitaani katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam ambao hawana uangalizi  kama walivyo watoto wengine. Ni fursa sasa kwa jamii kujiuliza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani