Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kundi la baba watoto lazidi kuibua vipaji vya wasanii

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AIRTEL TRACE MUSIC STAR KUIBUA VIPAJI VYA KUIMBA

Ommy Dimpoz akiwa katika pozi na bendi ya Yamoto. Yamoto wakitumbuiza. Raia wa…

 

11 years ago

Mwananchi

Sakata la kampeni za kuwania urais 2015 lazidi kuibua mapya CCM

Siku nne baada ya Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye kueleza kuwa amekata rufaa Kamati Kuu (CCM) kupinga adhabu ya onyo aliyopewa kwa kuanza mapema kampeni za urais, wenzake watano waliokumbwa pia na adhabu hiyo wamesita kufanya hivyo

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barrick watakiwa kuibua vipaji

KAMPUNI ya African Barrick Gold Mine Ltd inayomiliki mgodi wa dhahabu wa Buzwagi wa mjini hapa, imetakiwa kuanzisha mashindano ya michezo kuibua vipaji kwa vijana. Wito huo ulitolewa juzi na...

 

11 years ago

Mwananchi

Umisseta itumike kuibua vipaji, kujenga umoja

Michezo ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) inaendelea kwenye viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha mkoani Pwani na inatarajiwa kumalizika wiki ijayo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JAFFARY NDAME: Mbabe wa ndondi aliyeamua kuibua vipaji

NDONDI ni mchezo unaopendwa na wengi, lakini kutokana na jinsi unavyochezwa, watu wengi wanaukimbia. Hii kwa sababu wanahofia kupigwa na kuumizwa. Mbali ya kukimbiwa, ndondi imekuwa silaha ya kujihami kupambana...

 

10 years ago

Mwananchi

UWEKEZAJI SOKA: Real Madrid, NSSF kuibua vipaji

>Real Madrid na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wamesaini mkataba wa miaka 18 wa kujenga kituo cha michezo kwa gharama ya Sh16 bilioni kwa lengo la kuibua na kuendeleza vipaji vya soka kwa vijana Tanzania.

 

10 years ago

Michuzi

Vodacom, EATV wafagiliwa kuibua vipaji Dance 100%

Hassan Tofi mmoja wa washiriki wa Shindano la Dance 100% wa Kundi la Best Boys la Kigamboni jijini Dar es Salaam,akiwaongoza wenzake katika mazoezi yao yanayofanyika katika Viwanja vya Don Bosco Upanga ikiwa ni sehemu ya kujindaa na fainali ya shindano hilo litakalofanyika hivi karibuni. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
WADAU wa muziki nchini wamewapongeza waratibu wa shindano la Dance 100% ambalo limefikia hatua ya fainali, baada ya makundi matano...

 

10 years ago

GPL

VODACOM NA EATV WAFAGILIWA KUIBUA VIPAJI DANCE 100%‏

Washiriki wa shindano la dance 100% wa kundi la ”The Winners Crew” la jijini Dar es Salaam, wakionesha umahiri wao wa kudansi wakati wa mchuano wa nusu fainali ya shindano hilo linaloadaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lililofanyika  kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay. WADAU wa muziki nchini wamewapongeza waratibu wa shindano la Dance 100% ambalo limefikia hatua ya fainali, baada ya makundi...

 

10 years ago

Habarileo

Dk Slaa: Wazazi tambueni vipaji vya watoto

WAZAZI na walezi nchini wameshauriwa kuwalea watoto wakitambua vipaji walivyo navyo ili viweze kutumika vyema kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo. Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa alitoa ushauri huo jana Dar es Salaam katika siku ya wahisani ya Chama cha Kitume cha Wanafunzi wa Kikatoliki (TYCS) Jimbo Kuu la Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani