Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Slaa: Wazazi tambueni vipaji vya watoto

WAZAZI na walezi nchini wameshauriwa kuwalea watoto wakitambua vipaji walivyo navyo ili viweze kutumika vyema kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo. Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa alitoa ushauri huo jana Dar es Salaam katika siku ya wahisani ya Chama cha Kitume cha Wanafunzi wa Kikatoliki (TYCS) Jimbo Kuu la Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wanawake, watoto tambueni haki zenu’

WANAWAKE na watoto wametakiwa kuzitambua haki zao za kimsingi katika jamii ili kuepukana na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia vinavyokithiri wilayani Karagwe. Mkurugenzi Mtendaji wa asasi isiyo ya kiserikali ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wazazi pelekeni watoto vyuo vya ufundi’

WAZAZI na walezi wametakiwa kuwapeleka watoto wao waliohitimu kidato cha nne katika vyuo mbalimbali vikiwemo  vya ufundi na utalii, ili kuwaongezea utaalamu zaidi. Kauli hiyo ilitolewa jana na Diwani  wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wazazi wawapeleke watoto wao vyuo vya ufundi ili wajiajiri!!

Mkuu wa Chuo cha VETA Makete, Ramadhan Sebo akitoa nasaa kwa wanafunzi wanaoingia mtaani kujiajiri. Watanzania  wametakiwa kuwapelewa watoto wao katika vyuo mbalimbali vya ufundi stadi elimu inayo zalisha ajira nyingi kuliko vyuo vikuu
hapa nchini ili kuepukana na tatizo la ajira.Inadaiwa kuwa watu wanaojiajiri ni wengi wanao toka katika
vyuo vya ufundi kuliko wanano maliza vyuo vikuu kutokana na wanao toka vyuo
vikuu wanategenea kuajiliwa huku wa vyuo vya ufundi wakijikita...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wazazi wanapaswa kuwaambia ukweli watoto wao

Taarifa nyingi kila kukicha kuhusu virusi vya corona vinawafanya watu wengi kuwa na hofu, watoto wakiwa miongoni mwao.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI UMMY AWASIHI WAZAZI KUWASIMAMIA WATOTO KATIKA MATUMIZI YA VIFAA VYA KIELETRONIKI



Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dodoma kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika (kushoto) ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Mtoto, Sebastian Kitiku.Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Mtoto Sebastian Kitiku akifafanua jambo kwa...

 

11 years ago

Michuzi

TIMU NZIMA YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAELEKEA MKOANI MWANZA KWAAJILI YA KUANZA ZOEZI LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA

Timu nzima ya Tanzania Movie Talents kutoka kampuni ya Proin Promotions Limited wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza safari ya kuelekea Mwanza kwaajili ya shindano la kutafuta Vipaji vya Uigizaji Tanzania ambapo shindano hili litaanzia katika Kanda ya Ziwa katika Mkoa wa Mwanza Kuanzia tarehe 5 April 2014 mahali ni Isamilo Lodge. Mdau Karimu Muhidin Michuzi na Baadhi ya vijana wa kazi katika timu ya kusaka vipaji wakiwa tayari kwa safari ya Mwanza. Mabasi yakiwa tayari kwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la Usonji watakiwa kuwapenda watoto hao

Mama-Salma-Kikwete

Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete.

Na Anna Nkinda – Maelezo

 Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la usonji (Autism) nchini wametakiwa kuwapenda, kuwatunza  na kuwapa mahitaji yao kama watoto wengine kwani ni makusudi na mapenzi ya Mwenyezi Mungu kuwapa watoto hao.

Mwito huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati akiongea na walimu, walezi na wazazi wa watoto hao katika Shule ya Msingi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani