Dk Slaa: Wazazi tambueni vipaji vya watoto
WAZAZI na walezi nchini wameshauriwa kuwalea watoto wakitambua vipaji walivyo navyo ili viweze kutumika vyema kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo. Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa alitoa ushauri huo jana Dar es Salaam katika siku ya wahisani ya Chama cha Kitume cha Wanafunzi wa Kikatoliki (TYCS) Jimbo Kuu la Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
‘Wanawake, watoto tambueni haki zenu’
WANAWAKE na watoto wametakiwa kuzitambua haki zao za kimsingi katika jamii ili kuepukana na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia vinavyokithiri wilayani Karagwe. Mkurugenzi Mtendaji wa asasi isiyo ya kiserikali ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/pFeeZkVwsAs/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
‘Wazazi pelekeni watoto vyuo vya ufundi’
WAZAZI na walezi wametakiwa kuwapeleka watoto wao waliohitimu kidato cha nne katika vyuo mbalimbali vikiwemo vya ufundi na utalii, ili kuwaongezea utaalamu zaidi. Kauli hiyo ilitolewa jana na Diwani wa...
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Wazazi wawapeleke watoto wao vyuo vya ufundi ili wajiajiri!!
![](http://2.bp.blogspot.com/-rDsut8U_jLA/VlrdlMB0XYI/AAAAAAAAKX4/pqw5bmIuzlY/s320/IMG_20151128_132253.jpg)
hapa nchini ili kuepukana na tatizo la ajira.Inadaiwa kuwa watu wanaojiajiri ni wengi wanao toka katika
vyuo vya ufundi kuliko wanano maliza vyuo vikuu kutokana na wanao toka vyuo
vikuu wanategenea kuajiliwa huku wa vyuo vya ufundi wakijikita...
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
Virusi vya Corona: Wazazi wanapaswa kuwaambia ukweli watoto wao
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cuo7Ldeqge4/Xufhot-fDZI/AAAAAAALt9k/XzLYbotbIbAnKtdoChmO5_7M0Tjq1CwlwCLcBGAsYHQ/s72-c/26d4f0a0-7631-47f5-81c8-e7e7c721b1fc.jpg)
WAZIRI UMMY AWASIHI WAZAZI KUWASIMAMIA WATOTO KATIKA MATUMIZI YA VIFAA VYA KIELETRONIKI
![](https://1.bp.blogspot.com/-cuo7Ldeqge4/Xufhot-fDZI/AAAAAAALt9k/XzLYbotbIbAnKtdoChmO5_7M0Tjq1CwlwCLcBGAsYHQ/s640/26d4f0a0-7631-47f5-81c8-e7e7c721b1fc.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dodoma kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika (kushoto) ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Mtoto, Sebastian Kitiku.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/90f2b199-5371-437c-961d-f09b7779a91d.jpg)
11 years ago
MichuziTIMU NZIMA YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAELEKEA MKOANI MWANZA KWAAJILI YA KUANZA ZOEZI LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA
11 years ago
Dewji Blog15 May
Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la Usonji watakiwa kuwapenda watoto hao
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo
Wazazi wenye watoto ambao wanatatizo la usonji (Autism) nchini wametakiwa kuwapenda, kuwatunza na kuwapa mahitaji yao kama watoto wengine kwani ni makusudi na mapenzi ya Mwenyezi Mungu kuwapa watoto hao.
Mwito huo umetolewa leo na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati akiongea na walimu, walezi na wazazi wa watoto hao katika Shule ya Msingi...