Barrick watakiwa kuibua vipaji
KAMPUNI ya African Barrick Gold Mine Ltd inayomiliki mgodi wa dhahabu wa Buzwagi wa mjini hapa, imetakiwa kuanzisha mashindano ya michezo kuibua vipaji kwa vijana. Wito huo ulitolewa juzi na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Umisseta itumike kuibua vipaji, kujenga umoja
Michezo ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) inaendelea kwenye viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha mkoani Pwani na inatarajiwa kumalizika wiki ijayo.
10 years ago
Mwananchi27 Jan
UWEKEZAJI SOKA: Real Madrid, NSSF kuibua vipaji
>Real Madrid na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wamesaini mkataba wa miaka 18 wa kujenga kituo cha michezo kwa gharama ya Sh16 bilioni kwa lengo la kuibua na kuendeleza vipaji vya soka kwa vijana Tanzania.
10 years ago
MichuziVodacom, EATV wafagiliwa kuibua vipaji Dance 100%
Hassan Tofi mmoja wa washiriki wa Shindano la Dance 100% wa Kundi la Best Boys la Kigamboni jijini Dar es Salaam,akiwaongoza wenzake katika mazoezi yao yanayofanyika katika Viwanja vya Don Bosco Upanga ikiwa ni sehemu ya kujindaa na fainali ya shindano hilo litakalofanyika hivi karibuni. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
WADAU wa muziki nchini wamewapongeza waratibu wa shindano la Dance 100% ambalo limefikia hatua ya fainali, baada ya makundi matano...
WADAU wa muziki nchini wamewapongeza waratibu wa shindano la Dance 100% ambalo limefikia hatua ya fainali, baada ya makundi matano...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
JAFFARY NDAME: Mbabe wa ndondi aliyeamua kuibua vipaji
NDONDI ni mchezo unaopendwa na wengi, lakini kutokana na jinsi unavyochezwa, watu wengi wanaukimbia. Hii kwa sababu wanahofia kupigwa na kuumizwa. Mbali ya kukimbiwa, ndondi imekuwa silaha ya kujihami kupambana...
9 years ago
Vijimambo10 years ago
GPLAIRTEL TRACE MUSIC STAR KUIBUA VIPAJI VYA KUIMBA
Ommy Dimpoz akiwa katika pozi na bendi ya Yamoto. Yamoto wakitumbuiza. Raia wa…
10 years ago
GPLVODACOM NA EATV WAFAGILIWA KUIBUA VIPAJI DANCE 100%
Washiriki wa shindano la dance 100% wa kundi la â€The Winners Crew†la jijini Dar es Salaam, wakionesha umahiri wao wa kudansi wakati wa mchuano wa nusu fainali ya shindano hilo linaloadaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lililofanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay. WADAU wa muziki nchini wamewapongeza waratibu wa shindano la Dance 100% ambalo limefikia hatua ya fainali, baada ya makundi...
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Twanga Pepeta: Miaka 20 ya uhai wake ikikuza vipaji, kuibua vipya
Kuzaliwa na kufa siyo tukio linalojitokeza katika maisha ya binadamu pekee bali hata kwa makundi mbalimbali ya kijamii hata burudani.
10 years ago
MichuziJKT YAZIDI KUIBUA MIRADI
Kaimu Mkurugenzi wa habari na Mahusiano Jeshi la kujenga Taifa (JKT) Kaptaini Javan Bwai akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika uzinduzi wa baadhi ya miradi ya Jeshi hilo. Kushoto ni Afisa Mteule daraja la kwanza, Injinia Fredrick Kaaya, Msemaji wa wizara ya ulinzi na usalama Jeshi la kujenga Taifa (JKT) Meja Josephat Musira na wa mwisho ni Afisa wa Idara ya habari MAELEZO, Fatma Salum.
Mhandisi wa miradi Jeshi la kujenga Taifa (JKT) ,Coplo Lazaro...
Mhandisi wa miradi Jeshi la kujenga Taifa (JKT) ,Coplo Lazaro...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania