Win on sight for Chadema, CCM in Arusha, Tanga
Chadema was headed for a landslide victory in the early results announced by the time we went to press yesterday’s belated election for the Arusha Urban MP, as a CCM candidate in Handeni, Mr Omar Kigoda headed for victory as well.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
AllAfrica.Com14 Dec
Tanzania: Win on Sight for Chadema, CCM in Arusha, Tanga
AllAfrica.com
Arusha — Chadema was headed for a landslide victory in the early results announced by the time we went to press yesterday's belated election for the Arusha Urban MP, as a CCM candidate in Handeni, Mr Omar Kigoda headed for victory as well.
9 years ago
TheCitizen02 Nov
Chadema Bunge loser to challenge CCM win in court
10 years ago
Michuzi05 Jan
ALIYEWAHI KUGOMBEA UBUNGE CHADEMA MKOANI TANGA AHAMIA CCM.
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
CCM na Chadema ‘waungana’ Arusha
MAHASIMU wa kisiasa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama Cha Demokarisa na Maendeleo (Chadema) mko
Paul Sarwatt
9 years ago
TheCitizen12 Nov
Chadema, CCM eye Arusha seat
10 years ago
Vijimambo23 Feb
Kigogo CCM Arusha ajiunga Chadema
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nassari-23Feb2015.jpg)
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM na Kamati ya Siasa Mkoa wa Arusha, Francis Ikayo, amejiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Mwanasiasa huyo aliyekuwa mmoja wa wana CCM waliowania uteuzi wa kuwania ubunge Jimbo la Longido mwaka 2010 na kuangushwa na Mbunge wa sasa Lekelu Laizer, alijiunga Chadema jana, akitaja sababu kuu tatu zilizomfanya kuchukua uamuzi huo.
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la Namanga, mpakani...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Diwani CCM Arusha atimkia CHADEMA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) jijini Arusha kimepata pigo baada ya aliyewahi kuwa Diwani wake, Amos Mwanga kutimkia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mwanga alisema jana ameamua kujiunga na CHADEMA...
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
CCM, Chadema mchuano mkali Arusha
WAKATI kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu zikishika kasi katika m
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mtanzania10 Aug
Vigogo CCM Arusha watimkia Chadema
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Onesmo Ole Nangole na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Mkoa huo, Isack Joseph, wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Ole Nangole na Joseph walifikia uamuzi huo jijini hapa jana na kusema kwa nyakati tofauti wamelazimika kuchukua uamuzi huo kwa kuwa utaratibu wa kumpata mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ulikiukwa.
Kwa mujibu wa wana CCM hao, wakati wa mchakato...