Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Winga mafisadi

Ninapanda jukwaani, ni kero nimekereke, Haya yataisha lini, au yanaimarika, Kwanuka kote nchini, Wakenya tunanung’unika, Tushike misu na ngao, tuwawinge mafisadi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Winga Ngassa apewa mkono wa heri Yanga

Baada ya mshambuliaji wa Yanga Mrisho Ngassa kugoma kumwaga wino wa kuichezea klabu hiyo msimu ujao, uongozi wa klabu hiyo umepa mkono wa kwaheri.

 

10 years ago

GPL

WINGA Mbeya City aitaka jezi ya Simba kwa Sh 45m

Kiungo mshambuliaji wa Mbeya City, Deus Kaseke. Na Wilbert Molandi
KAMA kweli Simba na Yanga zinataka kumsajili kiungo mshambuliaji wa Mbeya City, Deus Kaseke basi zijiandae kuvunja benki na kumlipa daua la shilingi milioni 45 ili ajiunge na moja kati ya timu hizo. Mkataba wa Kaseke na Mbeya City unafikia tamati mwishoni mwa msimu huu, tayari Simba na Yanga zimeshaonyesha nia ya kumsajili Kaseke lakini zilishindwa kuvunja...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Magufuli: Mafisadi kukiona

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli (55), amewaahidi Watanzania kuwa atawatumikia pasipo kujali itikadi zao za kisiasa na kwamba endapo atakuwa Rais, serikali yake haitavumilia wazembe, wala rushwa na wabadhirifu.

Akizungumza katika nyakati tofauti baada ya kuchaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCM kuwa mgombea wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Magufuli alisema amepokea kitendo hicho kwa unyenyekevu mkubwa na kwamba hatawaangusha...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Watumishi mafisadi kitanzini



 Serikali yaibuka na mwongozo mpya Tume ya Maadili yapewa meno makali
NA WILLIAM SHECHAMBO
SERIKALI imeendelea na mikakati ya kuwadhibiti viongozi wa umma wanaokiuka maadili na kushiriki kwenye vitendo vya wizi na ufisadi, ambapo sasa imeunda mwongozo mpya utakaotumika kuwabana.
Mwongozo huo ambao unatajwa kuwa suluhisho na mwarobaini wa watumishi wezi na wanaokwenda kinyume, pia utaipa meno zaidi ya kiutendaji, Sekretari ya Maadili ya Viongozi wa Umma, tofauti na ilivyo sasa.
Kwa sasa sheria na...

 

9 years ago

Mwananchi

Msirubuniwe na mafisadi - Dk Magufuli

Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli amewatahadharisha wananchi kuwa makini siku ya kupiga kura, akiwataka wasikubali kurubuniwa na mafisadi akidai wana wasiwasi kuwa endapo ataingia Ikulu, atawashughulikia.

 

10 years ago

Habarileo

Kinana akerwa mafisadi kulindwa

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekemea watu wanaotumia siasa kama kichaka cha kuficha dhambi zao kwa kufanya ufisadi, lakini wanapobainika, hujitetea kwa kusema wanafanyiwa hivyo kutokana na siasa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mafisadi wa IPTL kuanikwa Nov 26

HATIMA ya vigogo wanaotuhumiwa kuchota fedha zaidi ya sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), itajulikana Novemba 26 mwaka huu, wakati ripoti ya...

 

10 years ago

GPL

TUIBEZE CHADEMA AU TUKUMBATIE MAFISADI?

Viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo. MWAKA 2008 niliandika makala kuhusu hali halisi ya mwenendo wa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Bihalamulo. Makala hayo yalisababisha tafrani kati yangu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).Uhusiano wangu na baadhi ya viongozi wa chama hicho, hasa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee uliyumba. Uliyumba si kwa sababu nilichoandika hakikuwa sahihi bali ni kawaida ya wanasiasa kutopenda...

 

9 years ago

Mwananchi

Mchakato mahakama ya mafisadi waanza

Utekelezaji wa ahadi za Rais John Magufuli unazidi kushika kasi baada ya kuanza kwa mchakato wa kuanzisha mahakama maalumu ya kuwashughulikia mafisadi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani